mgoloko
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 4,802
- 3,996
Mkuu umenikumbusha hakuna rais aliyeingia kwa mbwembwe kama huyu tuliyenaye. Eti nawaonyesha salary slip yangu ipo wapi mbona sijawahi kuiona au Mkuu malaika alikuita ikulu uione?11. Nikirudi Dar nitawaonyenya salary slip yangu,mpaka leo ajawai kuitoa.