Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Asili yako wap we au ndo kwa yesu Wtf
mwarabu mweusi!

mtumwa akiachiwa huru akili yake bado ipo utumwani. Atatafuta mtu mwingine atumike.

Historia inatuonyesha si ajabu kwa mtumwa kukumbuka masufuria ya nyama, tende na halua, hivyo kurudi kwa tajiri wake wa awali, hapo atatobolewa na uma sikioni na hadhi yake itakuwa si ya utumwa tena bali karibu na ndugu kwa tajiri: mwarabu mweusi.

Maalim usiogope uma unaweza kuwa dini, unapokuwa na mtumwa akafuata dini ya tajiri yake anatakiwa kuwa ndugu, ila hampo pekeyenu hata kongo ni watumwa wa akili pia tofauti na wewe wao wana asili.
 
Sio kweli. Hii mada umeileta kwa malengo yako binafsi na lazima udini unakusumbua. Nipo Zanzibar hapa wiki ya tatu sasa. (Njoo hapa Golf hotel karibu na Gymkhana club/bar jirani na ofisi za UWT utanikuta)
Wazanzibari hawana mawazo hayo. Tena wanajiona ni Watanzania hasa. Nimeenda maskani ya CUF kidoooogo wao wanausifia uzanzibari wao ingawa nao wanajiona ni watanzania. Pale maskani ya kisonge penyewe ni utanzania umeshamiri. Wazanzibar wenyewe kwa wenyewe wanaishi kwa upendo sana kama Watanzania. Hawajatubagua sisi Wanyakyusa wala wale wasukuma. Sote ni watanzania. Na hata ukiwasoma ndani ya mioyo na sura zao ni WATANZANIA. Hakuna u-oman wala uarabu.

Ndugu nadhani umeenda kama mtalii wiki tatu hazitoshi kuyajua yaliyo kwenye mioyo ya watu.
Binafsi nimetembelea visiwa vya unguja na Pemba na nimefanya kazi kwa miaka zaidi ya mitatu alichosema mleta uzi kina ukweli kuna matabaka yanajiona kama wao ni waarabu na kuna wengine wao wapo wapo tu hasa ngozi nyeusi wao wanafuata ipepo.
Kilichonishangaza wanakuwa tayari kumshambulia mwanamke mweusi aliyevaa suruali ya kubana na kumshangilia mzungu aliyevaa kichupi?????!!
Pia siasa za CCM na CUF zimewaharibu wengi akili
 
mwarabu mweusi!

mtumwa akiachiwa huru akili yake bado ipo utumwani. Atatafuta mtu mwingine atumike.

Historia inatuonyesha si ajabu kwa mtumwa kukumbuka masufuria ya nyama, tende na halua, hivyo kurudi kwa tajiri wake wa awali, hapo atatobolewa na uma sikioni na hadhi yake itakuwa si ya utumwa tena bali karibu na ndugu kwa tajiri: mwarabu mweusi.

Maalim usiogope uma unaweza kuwa dini, unapokuwa na mtumwa akafuata dini ya tajiri yake anatakiwa kuwa ndugu, ila hampo pekeyenu hata kongo ni watumwa wa akili pia tofauti na wewe wao wana asili.

Historia ipi ambayo umeisoma na kukuonyesha hivyo!!??? Tuwekee hapa na sisi tuisome.

Au historian hiyo iko kanisani tu!!?? Maana kanisani ndiko kwenye historia ya uwongo na upotoshaji mkubwa na wanayafanya haya kwa maslahi yao binafsi ya kidini.

Nenda pale kanisa la kianglikana pale mkunazini unguja wakupe historia ya utumwa, UTASHANGAA KWELI.

watakupa porojo za hapa watumwa walikuwa wanafanywa hivi pale hivi alimradi ukitoka pale chuki zimekujaa juu ya waarabu na dini yao.

Maskini wanafikiri wanawazuga watu huku wakisahau kuwa hilo kanisa lilijengwa pale baada ya mtawala Wa Zanzibar wakati huo ambae alikuwa ni MWARABU NA MUISLAMU kutoa eneo na ruhusa ya kujenga hili kanisa, sasa sijui ilikwendaje kwendaje sehemu ya wakristo ya kumuabudu mungu wao iwe sehemu ya kuhifadhi watumwa.

Lakini ni kawaida ya uwongo siku zote ni lazima kuna baadhi ya mambo hayawezi kuwa na uhalisia
 
Ndugu nadhani umeenda kama mtalii wiki tatu hazitoshi kuyajua yaliyo kwenye mioyo ya watu.
Binafsi nimetembelea visiwa vya unguja na Pemba na nimefanya kazi kwa miaka zaidi ya mitatu alichosema mleta uzi kina ukweli kuna matabaka yanajiona kama wao ni waarabu na kuna wengine wao wapo wapo tu hasa ngozi nyeusi wao wanafuata ipepo.
Kilichonishangaza wanakuwa tayari kumshambulia mwanamke mweusi aliyevaa suruali ya kubana na kumshangilia mzungu aliyevaa kichupi?????!!
Pia siasa za CCM na CUF zimewaharibu wengi akili

Huu sasa ni uongo mwengine wa mchana kweupe, waongopee hao hao ambao wanaisikia kwenye redio! Zunguka Zanzibar nzima utaona jinsi machangudoa kutoka bara wanaokuja kila msimu wa utalii jinsi wanavyotembea uchi wa nyama kushinda hata hao wazungu unaosema.

Kuhusu siasa za CCM na CUF kuwaharibu akili nadhani hilo sikosa maana wazanzibar wanaamini siasa kwao ndio maisha! Ukiwa na siasa nzuri hali ya maisha inatengenea Kama vile kutakuwa na Uhuru wa kuabudu, matibabu bora, elimu bora n.k

Kwa upande wa pili watanganyika wengi wameharibiwa akili na Pombe, umalaya na bangi! Na ndio maana wazungu wako bize kuwaibia raslimali zao na kuzipeleka kwao huku wakiwaacha watanganyika wakiendelea na umasikini wa kutupwa.
 
Hao ma US na Ma UK na Ma Imperialisti na Western Churchs ndiyo walio waua na kuwa fukuza waarabu !!! sasa unataka waje kufanya nini tena?
Looh, naona mnawatamaani WAARABU warudi tena ? ( rahaa kuwa mutumwa eeenh ) Kweli umewakumbuka waOmani !! JOFFREY BARATHEON
 
Last edited by a moderator:
Tambua Wazenji ni Mabingwa wa Ulalamishi Duniani hawana mpinzani ,pili ni wajuaji Hakuna mfano, Ni Nchi gani itaweza kuwavumilia? Oman wao ni wachapa kazi, hawakai vibarazani kupiga soga, kunywa Gahawa na kucheza bao,Oman hawawezi kuwataka Zenji hata kwa nini kwani Zenji inalishwa na Tanganyika kwa 96% pesa zinatoka hazina kuendesha Serikali na huduma za jamii, Tanganyika ina rasilimali nyingi ikiwemo rasilmali watu, hata wazenji wengi wanaishi Tanganyika wanapata pesa huku wanawahudumia ndugu zao wa zenji, Zenji ni ka-Nchi kadogo sana lakini cha ajabu kana Wabunge Utitiri ! Eneo la mbunge Zenji ni sawa na eneo la m/kiti wa kitongoji huku Tanganyika,Wabunge wa zenji wanatafuna Posho Dodoma, lakini wabunge wa Tanganyika ni marufuku kusogea baraza la wakilishi ( yaani ni Changu ni changu chako ni cha wote ) Tanganyika ni koloni la Zenji Pia ni buzi inachunwa na zenji mpaka haijitambui ! Wazenji ni wabaguzi kule zenji Myanganyika ni marufuku kumiliki kiwanja, lakini huku Tanganyika ni ruksa mzenji kumiliki kiwanja. Siku Muungano ukifariki kila mtu aludi kwao hakika watanganyika watafaidi Mali za wapemba mpaka basi, kule unguja wataambulia patupu kwani watanganyika hawana viwanja wala Mali nyingi zenji. Tanganyika ni Nchi Tajiri sana nje ya muungano, lakini ndani ya muungano ni Nchi masikini kutokana na Mzigo iliobeba wa kuilea na kuitunza Zenji kwa mapesa mengi .

Ni kweli kabisa Mimi ata sibishi
 
abd=1. arabic for slave 2. arabic for a black person!

Pointless, Baseless, Useless (lugha ina maana yake na uhalisia wake) kila Kabila/Ukoo/taifa/nchi huwa lina wanyonge wao kwa wakati wao !! kwa mfano ututsi na wa hutu !! wanyamwezi na waha, !! wa Yao na wa goni !! wa Haya na Wa hangaza ! nk nk !! sasa nini la ajabu ! Japan iliwatawala wa china kwa mataifa yote ya Asia na kuwafanya watumwa karne zote !
 
swali la msingi liko pale pale

kwa nini serikali ya Oman haijawasaidia ZNZ hata kujenga infrastructure za maana ?

Hivi Oman kwa mwaka inawapa ZNZ kiasi gani na wameinvest kiasi gani?

Leteni facts toka records za wizara ya fedha ya znz

Swali nimelijibu long time mbona? Pitia post za nyuma. Nimesema kwa nini waoman huwakuti wamejenga au kuinvest Zanzibar. Ni kwa sababu hawaiamini SMZ ata kidogo serikali ambayo iliwachinja na kuwapora mali! Vipi waje wainvest kisha muwaue tena? Hawataki eti. Mi naijua familia ilikuwa inamiliki almost majumba yote ya Shangani lakini SMZ ikayachukua, fikra zako watakuja kuinvest watu kama hao? Nimezungumzia two biggest opportunity zilizotokea zanzibar zikawa wasted kwa upuuzi wa serikali ya mapinduzi kutoka dodoma visiwani zanzibar investment ambazo zingeipeleka Zanzibar mbali. Moja ni kutoka Qatar, na nyengine Denmark, sasa kama hizi zimekuwa wasted kwanini Oman aje ajitie zahma na SMZ? Subiri tuliangushe dudu la muungano kisha tusafishe uchafu wake ccm ya dodoma na ya kisiwandui, ndo mtajua. Huwezi kumfukuza mtu kwa kumnyanyasa katika nyumba kisha ukaenda kumuomba akusaidie au ajitolee, mana thamani kwake huna tena.
 
Wakiona boti wanaona Ndio ndege, kama ulaya

:-D mtihani sana hawa jamaa, ingia nao katika boti uwaone wanavotumbua macho na kushangaa shangaa hasa hasa wale wanaokuja for events purpose, ndo utawaenjoy, tena anakuja ijumaa mpaka jumapili anapanda boti kurudi kwao, akifika kwao anafungua JF anajiona kawa mjuzi wa Zanzibar!
 
oman ni moja ya nchi maskini duniani labda ni hao wazanzibar wanaodhan kua kila mwarabu ni tajiri au kila nchi ya kiarabu ni tajiri, kuna nchi za kiarabu maskini sana kama hao oman na yemen!!!

Ni nchi ya ngapi kwa umaskini? Ujue ata Bakhressa, Mengi, Manji nk ni maskini sana mbele ya BillGate, lakini hao wote wanauwezo wa kukulisha wewe, mkeo, watoto wako, wazee wako, mababu na mabibi zako, in short ukoo wako mzima wanauwezo wa kuushughulikia vizuri tu. Kwaiyo Oman sio maskini wa Tanzania, Oman ni maskini kwa mataifa kama Qatar, Saudia, wala usifananishe Oman na Yemen, yemen ni mbovu bor stone town ya unguja! Mmepewa $100m na serikali ya Oman angalau air tanzania kidogo muitunze mana mna dhahabu almasi gesi tanzanite lakini ndege moja imewashinda kisha unathubutu kuwaita maskini! Pumbaff maskini wewe na nchi yako kwa ujing.a wenu
 
Nulikuwa huko kipindi flani maisha yao ni magumu sana mtu mzima anafanya biashara za kashata ,
wanakaa vijiweni kubishana ,hawana moyo wa maendeleo wameridhika na wamerithi utamaduni wa kitumwa .wanahitaji ukombozi
 
:-D mtihani sana hawa jamaa, ingia nao katika boti uwaone wanavotumbua macho na kushangaa shangaa hasa hasa wale wanaokuja for events purpose, ndo utawaenjoy, tena anakuja ijumaa mpaka jumapili anapanda boti kurudi kwao, akifika kwao anafungua JF anajiona kawa mjuzi wa Zanzibar!

Ha ha ha
 
Nulikuwa huko kipindi flani maisha yao ni magumu sana mtu mzima anafanya biashara za kashata ,
wanakaa vijiweni kubishana ,hawana moyo wa maendeleo wameridhika na wamerithi utamaduni wa kitumwa .wanahitaji ukombozi

Tatizo hujafahamu siasa ya zanzibar, hivi tuhitaji ukombozi gani? Upinzani zanzibar tulishinda zaid ya mara mbili, mwaka 2001 mkapa kawauwa wazanzibari, hivi ukombozi upi tena unao taka wewe, nchi imemilikiwa na Dodoma, hivyo ni vigumu sana kuiyondoa ccm zanzibar, unless Chadema waiyondoe bara Ndio visiwani tunamaliza, ukitaka kumuuwa nyoka mpige kichwani,
 

Hao binamu limbukeni kweli, kazi kukaa chini ya miti na kanzu zao kuhesabu magari, kunywa gahawa, kwenda madrasa, au kufikiria kumwagia watu tindikali kama sio kutega vibomu ucharwa..
Wapo wapo tu, barabarani ukipishana nao ni kama wanatambaa, wavivu mpaka wanatia kinyaa, kazi hawapendi wala kilimo..Kichekesho wengi wao ambao wanajifanya asili yao ni Oman utakuta ni weusi kama rangi nyeusi ya viatu-kiwi!
Wanamawazo mgando sana mkuu, kuna tetesi nilisikia jamaa zao ulaya huwa wanatuma mchele, mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, chumvi na maji ya kunywa! Amini usiamini..
Hawa binamu ni mzigo tu, tena ingekuwa bomba kweli wangepewa uhuru wao, labda vichwa vyao vingeamka na kuchangamka...bure kabisa..
 
Issues mbili hapa unazungumzia

1. Msaada

2. Investments (FDI)

Siamini kuwa Wahisani hawapeleki misaada znz kwa sababu haifiki kwenye miradi husika ingekuwa hivyo USA, INDIA, CHINA, UK na znginezo wasinge kuwa wanapeleka misaada ya maendeleo znz Kama unazo fact based evidence kuwa Oman walitaka kujenga hospital ya 10MILLION USD na serikali ya Tanganyika ikakataa tulee tuone hapa

Kuhusu FOREIGN DIRECT INVESTMENTS (FDI) kwenda znz siamini kuwa serikali ya ZNZ inakatazwa kusign bilateral au multilateral agreements za investment projects na serikali ya OMAN kwa sababu Membe kawakataza

ingekuwa hivyo mbona wa CHINA wametoa finance ya airport znz na kazi inaendelea? sasa Oman wameshindwa vipi hilo?

tusipeane majibu mepesi

kama una document yoyote ya kuback up hija zako plse tuleteee


JF Senior Expert MemberArray

Join Date : 3rd February 2009

Location : European Union

Posts : 31,677

Rep Power : 429503358

Likes Received18686

Likes Given57019

Membe akalia bilioni 200 za Zanzibar

Kumbe zipo sababu nyingi kuwasikia wajumbe wetu wa BLW wanasema kwa ukali, ghazab na jazba wanapozungumzia haki ya Zanzibar ndani ya Muungano; dhulma inayofanyiwa Zanzibar ndani ya Muungano na kelele zinapokuwa nyingi, zinaundwa kamati. Mpaka sasa zimeundwa kamati 200 kutatua kero (KARO) za Muungano; karo hazijasafika.

Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa amekalia pesa za Zanzibar zipatazo 200bn/= zilizotolewa na wafadhili kwa ajili ya kuipa Zanzibar kuendeleza/kufufua specifically zile EPZ, maeneo huru ya kiuchumi Zanzibar.

Waliotoa pesa hizi wakiwemo UAE/Rasil Khemah ambao viongozi wetu wote watatu (Shein, Seif-1 na Seif-2) wamekuwa kiguu na njia kutafuta misaada. Imepatikana Membe laatul laah amezuia, just kutia saini tu ili pesa ziwe released.

Kipengelea kimoja kinachomfanya Membe ndiye atiwe saini/pesa za misaada, mikopo, zawadi n.k zinapoingia katika foreign currency au misaada kama hiyo Zanzibar hairuhusiwi kusaini, kwa sababu si nchi inatakaiwa TZ ndio imwage wino.

Huu ni mwezi wa pili, Membe amekalia barua yetu na pesa zetu, halali yetu. Baadaye wanakuja Zanzibar eti kujiliza baada ya meli kuzama.

Hiyo ndio TZ, na huo ndio Muungano wetu uliodumu miaka 48 kwa Bara kuidhulumu Zanzibar.
* Plus, jana tu Abubakar alikuwa anasema ndani ya BLW kuwa hao hao akina Membe wameinyima Zanzibar fursa ya kuhudhuria vikao muhimu vya kimataifa kwa kuwanyima wajumbe wake visa, just kwa sababu wao watanganyika hawakwenda au hawakutakiwa kuwemo.

Ushauri wangu: MAMBO YA NCHI Z ANJE IONDOSHWE KABISA KATIKA LIST YA MUUNGANO (GET ME RIGHT PLEASE, SIO SUALA LA KUGAWANA MABALOZI, LA HASHA). ONDOA FOREIGN AFFAIRS KATIKA LIST HIYO FOR GOOD.

Mbaya zaiid katika sakata hili la Membe kuzuia pesa zetu, naibu wake anaitwa Mahadhi Juma Maalim mzanzibari wa Muyuni/na Mungoni (huyu ni kambi ya NO vote katika referendum, na ndiye group la akina Samia, Haroun, Shamsi, Perera Ame Silima wanachochea watu wa kusini wasema NO serikali tatu au muungano wa mkataba). Mahadhi, Kazi ya uzinzi haifai na kutafuta wanawake kuowa. Kuwa na akili wewe, nchi yako inazamishwa.

Hizi habari za Membe kukalia 200bn/= zimeigusa BLW na cabinet ya Zanzibar ni habari zilizoleta ghazab sana, maana hili si la mwaka 1968 au 1980s au 1970s its only two months ago or less (jana na leo).

Naomba wana-mzalendo tujadili mada hii kwa kina na tuone impact yake. La kama mtaona abdisalum porojo sawa. Maana huko nyuma nilisema mengi mkaona ahhhh.huyu haipendi CCM + CUF na haitakai GNU tu. Leo akina Moyo, Jussa, Hamza, Mansour wanasema hayo hayo niliyosema mimi long time ago.

Mfano niliwahi kusema katika ukumbi huu kuwa ushirikiano wa kimataifa limeingizwa baada ya zahma ya Zanzibar kutaka kujiunga na OIC; awali ilikuwa haimo. Mzalendo walipinga baadhi yao juzi Moyo amelisema, na ameonekana champion/hero.

Hii ya membe sijui kama haitopingwa, lakini ulizeni wana-cabinet wa SMZ , muulizeni Mahadhi na huyo bosi wake Membe kweli si kweli?

CHANZO :-mzalendo.net
 
Nulikuwa huko kipindi flani maisha yao ni magumu sana mtu mzima anafanya biashara za kashata ,
wanakaa vijiweni kubishana ,hawana moyo wa maendeleo wameridhika na wamerithi utamaduni wa kitumwa .wanahitaji ukombozi


Hahahaaaaa kweli wewe ndio hamnazo kabisa kabisa yaani unafananisha maisha magumu ya watanganyika na kuyafananisha na yawazanzibar!???

Zunguka unguja na Pemba yote Kama utakuta mzanzibar ana uchafu kama huu hapa chini anauita nyumba!

Kumbuka huyo muuza kashata mwisho wake ndie huwa robo ya bajeti ya mtanganyika inamtegemea yeye aitoe! Au unafikiri walipa kodi wakubwa wa Tanganyika wanaasili ya Tanganyika!!??? Kama huwajui muulize kikwete anawajua


https://www.google.com/search?q=nyumba+za+wagogo&hl=en&source=lnms&tbm=isch&sa=X&ei=KYceVJ3XOYrsaPPPgXA&ved=0CAcQ_AUoAQ&biw=360&bih=451&dpr=3#facrc=_&imgrc=CYutn_4JwNWbyM%253A%3BUumkCd3wQzhpKM%3Bhttp%253A%252F%252F1.bp.blogspot.com%252F-K7lQcxPT9wQ%252FTi-zrZM_SQI%252FAAAAAAAAA4g%252Fl6fyj4ZS3Zc%252Fs640%252F50%252BY.jpg%3Bhttp%253A%252F%252Fcrispaseve.blogspot.com%252F2011%252F07%252Fmiaka-50-ya-uhuru-tanzania-watanzania.html%3B640%3B480


https://www.google.com/search?q=nyumba+za+wahaya&hl=en&source=lnms&tbm=isch&sa=X&ei=NYgeVKz3BcLcaqDXgMgC&ved=0CAcQ_AUoAQ&biw=360&bih=451#facrc=_&imgrc=VFPTlmFh0j01mM%253A%3Bq-EAMfw7NTFj2M%3Bhttp%253A%252F%252Fwww.zenjydar.co.uk%252F2008months%252F08march%252Fasilia%252Bwagogo.JPG%3Bhttp%253A%252F%252Fkapilimasniper.blogspot.com%252F2014_01_05_archive.html%3B400%3B300
 
Hao binamu limbukeni kweli, kazi kukaa chini ya miti na kanzu zao kuhesabu magari, kunywa gahawa, kwenda madrasa, au kufikiria kumwagia watu tindikali kama sio kutega vibomu ucharwa..
Wapo wapo tu, barabarani ukipishana nao ni kama wanatambaa, wavivu mpaka wanatia kinyaa, kazi hawapendi wala kilimo..Kichekesho wengi wao ambao wanajifanya asili yao ni Oman utakuta ni weusi kama rangi nyeusi ya viatu-kiwi!
Wanamawazo mgando sana mkuu, kuna tetesi nilisikia jamaa zao ulaya huwa wanatuma mchele, mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, chumvi na maji ya kunywa! Amini usiamini..
Hawa binamu ni mzigo tu, tena ingekuwa bomba kweli wangepewa uhuru wao, labda vichwa vyao vingeamka na kuchangamka...bure kabisa..

Heshima wewe, hiyo Tanganyika yako imejengwa na wazanzibari wasomi, na huo ustarabu wa kuvaa tshirt na jeans wazanzibari Ndio walo waletea ustarabu huo, miaka ya 1990 nyie munatembea na shuka tu, nakuja dar pale kariakoo tunafungua maduka ya nguo na saa, hakuna hata mtanganyika mmoja anae ijua Thailand na China washamba nyie.

Sisi Ndio tulowaletea tv na daki,radio, ma fridge freezers, nk.

Huna cha kuwaeleza wazanzibari, sisi tumeyaona maendeleo Zaid ya nyie na sisi ndo tulowaletea.

Hao unao waona wanakunywa kahawa kwa taarifa yako hao watu na mali zao, ushawahi kumuona mzanzibar omba omba Kama Ndugu zako kariakoo?

Acha upuuz
 
Heshima wewe, hiyo Tanganyika yako imejengwa na wazanzibari wasomi, na huo ustarabu wa kuvaa tshirt na jeans wazanzibari Ndio walo waletea ustarabu huo, miaka ya 1990 nyie munatembea na shuka tu, nakuja dar pale kariakoo tunafungua maduka ya nguo na saa, hakuna hata mtanganyika mmoja anae ijua Thailand na China washamba nyie.

Sisi Ndio tulowaletea tv na daki,radio, ma fridge freezers, nk.

Huna cha kuwaeleza wazanzibari, sisi tumeyaona maendeleo Zaid ya nyie na sisi ndo tulowaletea.

Hao unao waona wanakunywa kahawa kwa taarifa yako hao watu na mali zao, ushawahi kumuona mzanzibar omba omba Kama Ndugu zako kariakoo?

Acha upuuz


Sadakta maneno yako! Hawa watu wajinga sana! Leo wamesahau siku za sherehe zao, au sikukuu za kijamii ulikuwa hutafautishi yupi mwanamke yupi mwanamme wote ni MATENGE mkubwa mdogo.

Ni wazanzibar walioanza kuwabadilisha kidogo kidogo kwa kuanza kuwaletea suruali ya mchele mchele na viatu vya kito.

Pafyum na udi kwao yalikuwa ni mafuta ya mashetani!!! Hii mijitu haibebeki maana ni wachache wa shukurani
 
Swali nimelijibu long time mbona? Pitia post za nyuma. Nimesema kwa nini waoman huwakuti wamejenga au kuinvest Zanzibar. Ni kwa sababu hawaiamini SMZ ata kidogo serikali ambayo iliwachinja na kuwapora mali! Vipi waje wainvest kisha muwaue tena? Hawataki eti. Mi naijua familia ilikuwa inamiliki almost majumba yote ya Shangani lakini SMZ ikayachukua, fikra zako watakuja kuinvest watu kama hao? Nimezungumzia two biggest opportunity zilizotokea zanzibar zikawa wasted kwa upuuzi wa serikali ya mapinduzi kutoka dodoma visiwani zanzibar investment ambazo zingeipeleka Zanzibar mbali. Moja ni kutoka Qatar, na nyengine Denmark, sasa kama hizi zimekuwa wasted kwanini Oman aje ajitie zahma na SMZ? Subiri tuliangushe dudu la muungano kisha tusafishe uchafu wake ccm ya dodoma na ya kisiwandui, ndo mtajua. Huwezi kumfukuza mtu kwa kumnyanyasa katika nyumba kisha ukaenda kumuomba akusaidie au ajitolee, mana thamani kwake huna tena.

Labda hii itakusaidia kujua namna ya Omani inavyowekeza ZNZ na Tanzania kwa ujumla.

Pia utafahamu jinsi Zanzibar inavyofaidika na kuwapo na mahusiano ya damu na waomani.

Soma hapa chini ili hiyo kasumba mliyonayo iwapunguwe japo kidogo.

http://ikulublog.com/2012/10/tanzan...-and-economic-ties-between-the-two-countries/

http://www.tanzaniaembassyoman.com/pages/8


http://main.omanobserver.om/?p=91894

http://books.google.co.tz/books?id=...l=en&sa=X&ei=c0weVMrILNfuaP_7gZAC&redir_esc=y

Mnajua mmeulizwa maswali lakini bado hamjaleta official data toka wizara ya fedha ya SMZ.

Sasa nitamsaidia muuliza swali.

Je SMZ kwa mwaka huu wa fedha ilikusanya kiasi gani? Nipe tuu round figure in USD

Bajeti yake ilikuwa kiasi gani?

Na je katika hiyo bajeti, je wanapata kiasi gani toka kwa nchi wahisani?

Ambayo ni sawa na asilimia ngapi?

Hizo nchi wahisani zinazoisaidia bajeti ya SMZ ni zipi?

Je Oman inatoa kiasi gani kwenye budget support basket ya SMZ?


Tuje kwenye Investments:

Tutajie 5 major infrastructure projects in Znz

Kila project ina worth kiasi gani?

Nani katoa financing ya hizo projects?

Kati ya hizo zipo ziko financed na Oman?

Naomba utuletee data za Wizara ya Finance ya SMZ


Ukishaleta then tuendelee na mjadala wetu kuchambua pumba ni zipi na mchele ni upi.

Na kama mleta mada katu mialead then dawa yake ni ku counter na facts zenye ushahidi.

Kama mkiweza mnaweza kuichukua hii mada mkaipeleka kwenye forum ya wazanzibari ya mzalendo.net perhaps mnaweza kupewa data zaidi kisha njooni nazo huku tuzichambue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom