Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Waznz ni watumwa. Watabakj kuwa watumwa na wanalilia utumwa. Utunwa wa akli,utumwa wa dini, utumwa wa ujinga.

Pamoja na watumwa hawa,Tanganyika haiwezi kuwaachia kwaajiii ya stability. Pia ua!!

Ikiwa unaona wazanzibari wanalilia utumwa wa uarabu na uislamu na nyinyi watanganyika hamuko mbali kwa kulilia utumwa wa uzungu na ukiristo.

Angalia sasa biashara ya makanisa ilivyojiri, na angalia munavyotaka kuwa weupe na kujibandika manywele ya singa au kuweka relaxer angalau zishabihiane na hizo. Tena wake kwa waume

Ama kweli nyani haoni kund*le!!!!!!!!
 
eebwana niliwahi kutembelea zenji ------- wengi kweli

Isijekuwa ulikuja kutafuta bwana wa kukuoa hasa baada ya kusikia mmasai mmoja alichezea kifiro pale alipoambiwa akatafute Malaya yeye akajibu kwani mimi haifai!!??? Ndipo wakampa kifiro cha nguvu sasa isijekuwa ulienda kule kwa tamaa ya dola 200 zilizomponza mmasai kwa wataliano kiwengwa
 
INATEGEMEA!!! Kama unaongea na Mswahili mwenye nywele za kipilipili kisha akajinasibisha na Oman basi huyo atakuwa mwehu lakini kama utaongea na Watanzania Waarabu basi hao wakijanasibisha na Oman hawapo mbali na ukweli kwavile ndio ukweli ulivyo! Kutokana na ukweli huo, ndio maana hata ukienda Oman, huwezi kumaliza siku bila ya kukutana na Mwarabu anayeongea Kiswahili.... hawa ni wale Waarabu Wazanzibari au Wanzabari Waarabu... waite utakavyo!

Kuna wakati kule Oman kulikuw na mjadala hususani kwenye mitandao ya kijamii! Mada ilikuwa ni kupotea kwa lugha ya Kiswahili nchini Oman hususani kwa vijana! Wengi walikuwa wanawalaumu wazazi kwamba wameacha kutumia Kiswahili kwahiyo si rahisi watoto wa siku hizi kufahamu Kiswahili! Hivyo basi, Waarabu wa Zanzibar wana mafungamano makubwa na Oman.... na majority wana ndugu wenye undugu ulio active pande zote mbili

Kwamba kujinasibisha kwao na Oman basi kungekuwa na investment lukuki kutoka Oman hiyo si hoja ya msingi! Uhusiano ulipo kati yao ni uhusiano wa kindugu... uhusiano wa damu na sio uhusiano wa kibishara!

Muongo, acha kujikomba.
 
Niko hapa Unguja lakini kila ninayezungumza naye anapenda kujinasabisha na wa Oman kwa kila namna kwa kiasi nilidhani ni mambo ya SLAVE MENTALITY SYNDROME maana sijakutana na mzanzibari (including ndugu zangu) hapa ambao wako proud na uAfrica wao.

N akinachonishangaza historia ya hapa inakuwa inaanza baada ya kuja mwarabu sasa nashangaaa kwani kabla ya kuja mwarabu hapa kulikuwa hakuna binadam au vipi?

Lakini kwa wanzaibari kupenda kujinasibisha na waarabu na hususana wa Oman nilitegemea kungekuwa na investments luluki toka Oman kwenye Infrastructure, Energy, Services etc lakini wapi. Sioni kitu na naona wawekezaji wakubwa hapa ni toka UK, China, Kenya na kwa mbali USA. Hivi tatizo la hapa ni ZIPA au ndio hao waarabu washawatosa na hawana habari nao?

Anyway niko hapa Sea Breaze natazama upepo wa bahari huku nahudumiwa na wa fanyakazi toka Kenya!

Sio kweli. Hii mada umeileta kwa malengo yako binafsi na lazima udini unakusumbua. Nipo Zanzibar hapa wiki ya tatu sasa. (Njoo hapa Golf hotel karibu na Gymkhana club/bar jirani na ofisi za UWT utanikuta)
Wazanzibari hawana mawazo hayo. Tena wanajiona ni Watanzania hasa. Nimeenda maskani ya CUF kidoooogo wao wanausifia uzanzibari wao ingawa nao wanajiona ni watanzania. Pale maskani ya kisonge penyewe ni utanzania umeshamiri. Wazanzibar wenyewe kwa wenyewe wanaishi kwa upendo sana kama Watanzania. Hawajatubagua sisi Wanyakyusa wala wale wasukuma. Sote ni watanzania. Na hata ukiwasoma ndani ya mioyo na sura zao ni WATANZANIA. Hakuna u-oman wala uarabu.
 
Mimi kiliochangu nakielekeza kwa waasisi wa kutoka ZNZ waliokubali kuvichukuwa visiwa vya Zanzibar na kuviunganisha na Tanganyika yenye MANYANG'AU (kauli ya raisi wakwanza wa Kenya) ambayo yamelala FOFOFO na yakiamka ni KUPIGA ULABU huku wakiwaacha wazungu wakiondoka na maliasili zao huku wao wakileta UNYANG'AU WAO katika mitandao ya jamii.

Mtoa mada badala ya kufikiria namna ya kuwaamsha MANYANG'AU wenzake ili waweze kutafuta namna ya kuzuia wizi Wa raslimali zao yeye badala yake analeta fitna!!!

Sasa mtoa mada nibora angalitumia huu muda aliotumia kuandika huu utumbo hapa kwa kufanya mzunguko wa vijiji vya ZNZ na kuvifananisha na vijiji vya Tanganyika ambavyo vingi Kama si vyote vina hali duni sana nyumba zao ni vibanda amvavyo huu ni mchanganyiko wa dongo na nyasi na milango ya matembe huku nchi ikiwa Ina raslimali za kila aina.
 
Ni znz ndiko nilikoona mwanaume anamtongoza mwanaume mwenzie. the way mwanaume anavyomtongoza mwanamke. Nilishangaa sana siku hiyo.

Mkuu zama za kuandika uongo ns pumba zikome! Wazanzibari wanaheshimu imani zao za dini zinazokataza vikali sana mambo hayo. Mashoga wapo popote tu sio specifically Znz. Zanzibar ni eneo zuri sana kwa mstaarabu kuishi! Hapa darajani kuna influx ya watu wa kila aina, staha zimeshamiri. Husikii matusi ya makondakta wala lugha chafu. Usiwachafue wazanzibari
 
Mimi kiliochangu nakielekeza kwa waasisi wa kutoka ZNZ waliokubali kuvichukuwa visiwa vya Zanzibar na kuviunganisha na Tanganyika yenye MANYANG'AU (kauli ya raisi wa Kenya) ambayo yamelala FOFOFO na yakiamka ni KUPIGA ULABU huku wakiwaacha wazungu wakiondoka na maliasili zao huku wao wakileta UNYANG'AU WAO katika mitandao ya jamii.

Mtoa mada badala ya kufikiria namna ya kuwaamsha MANYANG'AU wenzake ili waweze kutafuta namna ya kuzuia wizi Wa raslimali zao yeye badala yake analeta fitna!!!

Sasa mtoa mada nibora angalitumia huu muda aliotumia kuandika huu utumbo hapa kwa kufanya mzunguko wa vijiji vya ZNZ na kuvifananisha na vijiji vya Tanganyika ambavyo vingi Kama si vyote vina hali duni sana nyumba zao ni vibanda amvavyo huu ni mchanganyiko wa dongo na nyasi na milango ya matembe huku nchi ikiwa Ina raslimali za kila aina.
Wewe sio Mzanzibar. Wazenji hawako kama wewe
 
na akienda muscut wanambagua wanamwona kama nyani. wanaishia kutumikishwa tu kama watumwa. huwa nawaonea huruma sana na waarabu ni watumikishaji balaa. kuna migahawa mingi hapa dsm ya waarabu utakuta wameajiri mababa mazima ya kibantu, libaba lijitu lizima linatuhudumia chai, wali, biriani,pilau yaani hadi unawaonea huruma na wao wameridhikaaa kuwa karibu na mwarabu wanajiona kana kwamba na wao wamekuwa waarabu vile na hadi lafudhi imebaidilika wanaongea kama mwarabu. wanatumikishwa kama watumwa mwarabu kakaa mezani kuandika risiti tu na kupokea hela. hii dunia hii///

Walio ijenga oman ni wazanzibar kama hufahamu wewe, baada ya mapinduzi walio Ondoka kutokana na ubaguzi wa viongozi wakati huo, oman haikuwa na wasomi wengi na miaka ya 1964 oman ilikuwa jangwa maisha magumu sana, hata hayo mafuta wameanza miaka 30 ilipita kuwafaidisha.

Hivyo hivi sasa katika serikali ya oman kuna mawaziri ambao wasomi wwlisomeshwa na serikali ya zanzibar, hivi Ndio maendeleo yalopatikana.

Oman inatambua history ya zanzibar na watu wake, wana watambua wazanzibari kama Ndugu zao, hivi sasa oman inatoa scholarship kila mwaka kwa zanzibar watu 50, pia kuna scholarship nyengine zinatoka ndani ya oman kwa wazanzibari, UnafanyA maombi kwao.

Kuna msikitini mkubwa ambao utakuwa unatoa elimu ya dini zanzibar unajengwa na oman.

Na mengine yanakuja ila kutokana kutokuwa na serikali aminifu, na isio na ubaguzi Ndio ilichangia oman hapo nyumba kushindwa kutoa misaada.

Ukiwa muarabu wewe zanzibar Unaonekana mpinzani, na Sultani, Mpaka leo ndani ya Bunge kuna ubaguzi, juzi keisy kaitwa muarabuuu.
 
Wewe sio Mzanzibar. Wazenji hawako km ww

Mimi niwe mzanzibar nisiwe mzanzibar ukweli utabakia kuwa hivyo!

Nyinyi watanganyika mko radhi raslimali zenu wabebe wazungu kisa ni wakristo lakini sio mwarabu ambae ni muislamu!

Si unakumbuka yaliyomkuta raisi Mwinyi na waziri wake kisa LOLIONDO.
 

Attachments

  • 1411234844235.jpg
    1411234844235.jpg
    82.7 KB · Views: 138
  • 1411234879632.jpg
    1411234879632.jpg
    63.6 KB · Views: 134
Sio kweli. Hii mada umeileta kwa malengo yako binafsi na lazima udini unakusumbua. Nipo Zanzibar hapa wiki ya tatu sasa. (Njoo hapa Golf hotel karibu na Gymkhana club/bar jirani na ofisi za UWT utanikuta)
Wazanzibari hawana mawazo hayo. Tena wanajiona ni Watanzania hasa. Nimeenda maskani ya CUF kidoooogo wao wanausifia uzanzibari wao ingawa nao wanajiona ni watanzania. Pale maskani ya kisonge penyewe ni utanzania umeshamiri. Wazanzibar wenyewe kwa wenyewe wanaishi kwa upendo sana kama Watanzania. Hawajatubagua sisi Wanyakyusa wala wale wasukuma. Sote ni watanzania. Na hata ukiwasoma ndani ya mioyo na sura zao ni WATANZANIA. Hakuna u-oman wala uarabu.
Mzito Kabwela umesema kweli,mimi ni mnyamwezi wa Tabora na niko Zanzibar huu mwaka wa kumi na sijaona ubaguzi wa aina yeyote dhidi yangu.Ila nilichoona ni maingiliano makubwa yaliyopo baina ya raia wa Oman na Zanzibar.

Kwa kweli kuna maelfu ya familia ambazo ndugu zao wanaishi baina ya sehemu hizi mbili kama kwao.Hii ni vile vile na kwa Wangazija ambao Watanzania tuna maingiliano nao makubwa.Sasa kumkuta mtañzania mwenye asili ya Comoro ni kawaida sana,na wala si kwamba anajikweza.
 
Isijekuwa ulikuja kutafuta bwana wa kukuoa hasa baada ya kusikia mmasai mmoja alichezea kifiro pale alipoambiwa akatafute Malaya yeye akajibu kwani mimi haifai!!??? Ndipo wakampa kifiro cha nguvu sasa isijekuwa ulienda kule kwa tamaa ya dola 200 zilizomponza mmasai kwa wataliano kiwengwa

Ebana si ndo mr.ebo alitoa nyimbo akasema anaogopa kuja zenjy kisa bahari kumbe habari aliipata walichomfanyia wa mkoani mwenzake
 
Waoman hawaoni haja ya kuinvest sehemu ambayo nyerere aliwaua na kuweka serikali yenye kusifia mapinduzi ya waoman. Na wazanzibari wengi wanaasili ya kioman na wanajamaa zao oman ndio maana unaona wanajisanibisha na oman. Ata wewe ungekuwa marekani mababu zako watanzania ungejinasibu na tanzania. Wazanzibari hatuchukii kuwa waafrika ata kidogo kwa sababu iyo ni geographical position. Tatizo nyinyi hamuna mababu kutoka ujerumani na uingereza.
 
By the way investment opportunity zinatokea nyingi zenjy lakini tatizo madubu ya CCM yanatekeleza amri za dodoma. Mlipata habari kuwa mfalme wa Qatar alikuja kutaka kuinvest zenjy? Yeye alikuja na ndege mwanawe kaja na private yatch, lakini ndo ivo hii midubu. Tulipewa proposal ya kuweka umeme wa baharini lakini midubu sijui imefanya nini mpango haukufanyika. Tupo na makhanatha ya kisonge ikiandika mipasho!
 
By the way investment opportunity zinatokea nyingi zenjy lakini tatizo madubu ya CCM yanatekeleza amri za dodoma. Mlipata habari kuwa mfalme wa Qatar alikuja kutaka kuinvest zenjy? Yeye alikuja na ndege mwanawe kaja na private yatch, lakini ndo ivo hii midubu. Tulipewa proposal ya kuweka umeme wa baharini lakini midubu sijui imefanya nini mpango haukufanyika. Tupo na makhanatha ya kisonge ikiandika mipasho!

Sante umenena
 
ninachoshangaa, hizo hela za kujenga mitaa kama hiyo watazipata wapi, mafuta wanayodai yapo imekuwa confirmed hakuna hata tone la kujipaka, wanategemea utalii wakati wazungu wanaokuja kutalii wanawamwagia tindikali na wameanza kupungua soon hotel nyingi zitafungwa na wazanzibari watabaki wakitegemea mapato ya pesa za madawa ya kulevya au misaada inayotoka kwa magaidi. zanzibar haina future wakiondoka kwenye muungano. mtakuja kujuta na mtakuwa mmechelewa.

Unatokea mkoa gani mkuu? Nani kakudanganya watalii wamepungua Zanzibar? Mbona ndo kwanza wanamiminika kitu ambacho hukiona kwenu? Tindikali njama yenu imepuuzwa na watalii, ukweli wanaujua. Mara ya mwisho kuja Zanzibar lini? Mbona kila kukicha hoteli ndo zinajengwa kwa wingi? Mji mkongwe karibuni utakuwa mji wa hoteli mana kila kukicha jengo linaangushwa kufanywa hoteli....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom