DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,184
- 2,597
Umekurupuka kutoka kwenye viroba wewe,oman nchi maskini? Unaota mchana
ndo shangaa sasa, majitu mengine bhana cjui lini yataelimika
Umekurupuka kutoka kwenye viroba wewe,oman nchi maskini? Unaota mchana
wew itakua una matatizo, mtu kama wew ni wa kupuuzwa
oman ni moja ya nchi maskini duniani labda ni hao wazanzibar wanaodhan kua kila mwarabu ni tajiri au kila nchi ya kiarabu ni tajiri, kuna nchi za kiarabu maskini sana kama hao oman na yemen!!!
Remember where you came from
Mkuu,historia ya Zanzibar huwezi kuizungumza bila mwarabu wa Oman,nusu ya wazanzibar wamechanganya damu na mwarabu wa oman,,Niko hapa Unguja lakini kila ninayezungumza naye anapenda kujinasabisha na wa Oman kwa kila namna kwa kiasi nilidhani ni mambo ya SLAVE MENTALITY SYNDROME maana sijakutana na mzanzibari (including ndugu zangu) hapa ambao wako proud na uAfrica wao.
N akinachonishangaza historia ya hapa inakuwa inaanza baada ya kuja mwarabu sasa nashangaaa kwani kabla ya kuja mwarabu hapa kulikuwa hakuna binadam au vipi?
Lakini kwa wanzaibari kupenda kujinasibisha na waarabu na hususana wa Oman nilitegemea kungekuwa na investments luluki toka Oman kwenye Infrastructure, Energy, Services etc lakini wapi. Sioni kitu na naona wawekezaji wakubwa hapa ni toka UK, China, Kenya na kwa mbali USA. Hivi tatizo la hapa ni ZIPA au ndio hao waarabu washawatosa na hawana habari nao?
Anyway niko hapa Sea Breaze natazama upepo wa bahari huku nahudumiwa na wa fanyakazi toka Kenya!
Kawakomesha eeenh? ha ha ha mlichamba waarabu kwa mbwembwe ha ha ha.Yakhe, huyu mleta mada hakusema wazungu hawana ubaguzi ati! Yeye kasema waarabu na wazanzibar sasa kisa cha kuwaleta wazungu huku ni nini? Ukitaka anzisha mada ya ubaguzi wa wazungu tuchangie! Usiwe kama yule n'nyama wa kule kwenu ma-------chi!
Huko Ulaya na Amerika ndio wanaoana kabisa makanisaniPia usisahau mambo ya waarabu na tigo za weusi kule walikopita - yaani Zanzibar, Tanga, Mombasa na Dar. Hadi leo utamaduni huu upo maeneo haya!
kama zile wanazovaa wakina mwanya sijui pango?Ukijifanya mwarabu wakati wewe ni mweusi, ukivaa kanzu, ukivaa kilemba kichwani ukidhani kuwa ni matakwa ya dini wakati ni desturi ya watu wa mashariki ya kati, basi wewe unakwenda mbinguni ukifa
Ngoma usoijua usiicheze.Niko hapa Unguja lakini kila ninayezungumza naye anapenda kujinasabisha na wa Oman kwa kila namna kwa kiasi nilidhani ni mambo ya SLAVE MENTALITY SYNDROME maana sijakutana na mzanzibari (including ndugu zangu) hapa ambao wako proud na uAfrica wao.
N akinachonishangaza historia ya hapa inakuwa inaanza baada ya kuja mwarabu sasa nashangaaa kwani kabla ya kuja mwarabu hapa kulikuwa hakuna binadam au vipi?
Lakini kwa wanzaibari kupenda kujinasibisha na waarabu na hususana wa Oman nilitegemea kungekuwa na investments luluki toka Oman kwenye Infrastructure, Energy, Services etc lakini wapi. Sioni kitu na naona wawekezaji wakubwa hapa ni toka UK, China, Kenya na kwa mbali USA. Hivi tatizo la hapa ni ZIPA au ndio hao waarabu washawatosa na hawana habari nao?
Anyway niko hapa Sea Breaze natazama upepo wa bahari huku nahudumiwa na wa fanyakazi toka Kenya!