Tambua Wazenji ni Mabingwa wa Ulalamishi Duniani hawana mpinzani ,pili ni wajuaji Hakuna mfano, Ni Nchi gani itaweza kuwavumilia? Oman wao ni wachapa kazi, hawakai vibarazani kupiga soga, kunywa Gahawa na kucheza bao,Oman hawawezi kuwataka Zenji hata kwa nini kwani Zenji inalishwa na Tanganyika kwa 96% pesa zinatoka hazina kuendesha Serikali na huduma za jamii, Tanganyika ina rasilimali nyingi ikiwemo rasilmali watu, hata wazenji wengi wanaishi Tanganyika wanapata pesa huku wanawahudumia ndugu zao wa zenji, Zenji ni ka-Nchi kadogo sana lakini cha ajabu kana Wabunge Utitiri ! Eneo la mbunge Zenji ni sawa na eneo la m/kiti wa kitongoji huku Tanganyika,Wabunge wa zenji wanatafuna Posho Dodoma, lakini wabunge wa Tanganyika ni marufuku kusogea baraza la wakilishi ( yaani ni Changu ni changu chako ni cha wote ) Tanganyika ni koloni la Zenji Pia ni buzi inachunwa na zenji mpaka haijitambui ! Wazenji ni wabaguzi kule zenji Myanganyika ni marufuku kumiliki kiwanja, lakini huku Tanganyika ni ruksa mzenji kumiliki kiwanja. Siku Muungano ukifariki kila mtu aludi kwao hakika watanganyika watafaidi Mali za wapemba mpaka basi, kule unguja wataambulia patupu kwani watanganyika hawana viwanja wala Mali nyingi zenji. Tanganyika ni Nchi Tajiri sana nje ya muungano, lakini ndani ya muungano ni Nchi masikini kutokana na Mzigo iliobeba wa kuilea na kuitunza Zenji kwa mapesa mengi .