Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Huoni ungekuwa umefanya jambo la maana endapo ungejibu maswali yangu? Kwa upande mwingine, hudhani huo ushauri ulionipa ungeutekeleza wewe mwenyewe ili ujionee ni namna gani huku bara tulivyo na umaskini wa kutisha? Narudia, ni ujinga Tanzania hii watu wa upande mmoja kujiona wapo juu wakati si lolote si chochote na kuwaona watu wa upande mwingine ndio hoe hae wasio na mbele wala nyuma wakati karibu wote hali zao zinafanana!! Watu wa bara (Tanganyika excluding mikoa ya pwani) ni hodari sana kuwasemanga watu wa Pwani na Zanzibar kwamba wanakesha vibarazani kunywa kahawa huku wao wakisahau kwamba wanakesha kwenye vilabu vya komoni, mbege, wanzuki, ulanzi na n.k... what's the difference!? Nafahamu, wengi wenu mnasumbuliwa na chuki, tena wengine chuki za kidini... nothing else! Kuna wengine wanakosa ujasiri wa kuelezea chuki zao za kidini wazi wazi na badala yake wanaamua kutumia mgongo wa Zanzibar au watu wa Pwani!

100% unasema kweli!

Mwengine anakuja na maneno ambayo hata mwendawazimu hawezi kuyatamka! Eti wazanzibar wengi hawana kazi hivyo wanategemea ndugu zao walioko ulaya kuwaletea Michele, maharage na mambo mengine!!! Huku mchangiaji wa hoja hii akisahau kuwa katanguliza neno "NDUGU ZAO" sasa suala ni hili:- Kama asiponisaidia ndugu zangu wakati nina shida sasa ninani mwengine atakaenisaidia!?? Au anataka tuwe na udugu Wa Samaki kujuana ndani ya sufuria!!!???

Kumbuka Zanzibar haina raslimali kama ambazo watanganyika wanazo! Lakini hiyo raslimali chache zilizopo Zanzibar "karafuu, mwani na utalii" basi maisha ya mzanzibari yako afadhali kulinganisha na ya mtanganyika!! Tembelea vijiji vyote vya Zanzibar huwezi kumkuta mzanzibar anaishi kwenye nyumba ambayo ni full suti ya udongo a.k.a TEMBE.
 
lakini bado hamjaleta official data toka wizara ya fedha ya SMZ ku support arguments zenu. Maswali ni haya:

Je SMZ kwa mwaka huu wa fedha ilikusanya kiasi gani? Nipe tuu round figure in USD

Bajeti yake ilikuwa kiasi gani?

Na je katika hiyo bajeti, je wanapata kiasi gani toka kwa nchi wahisani?

Ambayo ni sawa na asilimia ngapi?

Hizo nchi wahisani zinazoisaidia bajeti ya SMZ ni zipi?

Je Oman inatoa kiasi gani kwenye budget support basket ya SMZ?


Tuje kwenye Investments:

Tutajie 5 major infrastructure projects in Znz

Kila project ina worth kiasi gani?

Nani katoa financing ya hizo projects?

Kati ya hizo zipo ziko financed na Oman?

Naomba utuletee data za Wizara ya Finance ya SMZ


Ukishaleta then tuendelee na mjadala wetu kuchambua pumba ni zipi na mchele ni upi.

Na kama mleta mada katu mialead then dawa yake ni ku counter na facts zenye ushahidi.

Kama mkiweza mnaweza kuichukua hii mada mkaipeleka kwenye forum ya wazanzibari ya mzalendo.net perhaps mnaweza kupewa data zaidi kisha njooni nazo huku tuzichambue.
.

wazanzibari njooni mumjibu huyu na haya maswali yake
 
100% unasema kweli!

Mwengine anakuja na maneno ambayo hata mwendawazimu hawezi kuyatamka! Eti wazanzibar wengi hawana kazi hivyo wanategemea ndugu zao walioko ulaya kuwaletea Michele, maharage na mambo mengine!!! Huku mchangiaji wa hoja hii akisahau kuwa katanguliza neno "NDUGU ZAO" sasa suala ni hili:- Kama asiponisaidia ndugu zangu wakati nina shida sasa ninani mwengine atakaenisaidia!?? Au anataka tuwe na udugu Wa Samaki kujuana ndani ya sufuria!!!???

Kumbuka Zanzibar haina raslimali kama ambazo watanganyika wanazo! Lakini hiyo raslimali chache zilizopo Zanzibar "karafuu, mwani na utalii" basi maisha ya mzanzibari yako afadhali kulinganisha na ya mtanganyika!! Tembelea vijiji vyote vya Zanzibar huwezi kumkuta mzanzibar anaishi kwenye nyumba ambayo ni full suti ya udongo a.k.a TEMBE.
Watanzania kutoka mikoa ya bara (upcountry) ni watu wenye dharau sana dhidi ya watu wa Zanzibar na hata Tanganyika wa mikoa ya Pwani. Wao ndio wanataka kujiona ndio wasomi na wasio maskini wakati majority ya watu wa huko wana umaskini wa kutisha na wala kuta za darasa hawazijui! Yaani wale wasomi wachache kutoka Kilimanjaro na Kagera na wachache zaidi kutoka Mbeya ndo basi tena wanataka kusema watu wa huko ni wasomi na hawana shida wakati tunaishi nao humu uswahilini na majority ya hata hao "waliosoma" wakiwa wanapata monthly pay ya sh. 600K... halafu bado wanakuja wapumbavu hapa na kujiona wao ni bora wakati wakirudi vijijini kwao wengine wanafikia kwenye nyumba zisizo hata na madirisha huku zingine zikiwa zimekandikwa na kinyesi cha ng'ombe!
 
.

wazanzibari njooni mumjibu huyu na haya maswali yake
Kama angekuwa anataka majibu ya hayo maswali angewasiliana moja kwa moja na Wizara na sio kuyaleta hapa coz' hata yeye akiulizwa maswali hayo hayo kwa upande wa bara hawezi kuwa na majibu! Maswali mengine ni ya kuendeleza ubishi usio na maana na hata ukimuuliza huyo si ajabu akawa Mluguru manake ndo wapenda ubishi hao!
 
.

wazanzibari njooni mumjibu huyu na haya maswali yake

Unataka ajibiwe mara ngapi au wewe umeshamuona jamaa ni kichwa hivyo masuali yake hayajibiki kirahisi!??

Wacha kumfikiria ni zaidi kumbe sivyo! Majibu alishapewa na ndio maana ukamuona yuko kimya! Na wewe Kama uayahitaji hayo majibu basi haya hapa yapitie kwa umakini mkubwa ili uelewe kila kitu.

Soma hapa:-


http://www.zanzibarassembly.go.tz/budget/2014/ministerial/HOTUBA-WIZARA-FEDHA-2014.pdf
 
hawa hapa waarabu wa zanzibar wakiwa kwao Maskati
taqah2.jpg

Hahahahahahahahahahahahaahahahaahahaaa......dah kweli mtu mweusi ni kiumbe cha hovyo kuliko viumbe vyote vilivyomo duniani..!!
 
Kama angekuwa anataka majibu ya hayo maswali angewasiliana moja kwa moja na Wizara na sio kuyaleta hapa coz' hata yeye akiulizwa maswali hayo hayo kwa upande wa bara hawezi kuwa na majibu! Maswali mengine ni ya kuendeleza ubishi usio na maana na hata ukimuuliza huyo si ajabu akawa Mluguru manake ndo wapenda ubishi hao!

Wazanzibari wanna sifa kubwa ya kuwa detailed kwenye kupanga hoja zao.

Lakini baada ya kuulizwa maswali mepesi wameshindwa kuja kujibu maswali ambayo wamepewa ruksa wayapeleke kwenye discussion forum ya wazanzibari ya mzalendo.net

Patiently waiting for data and info to my questions.
 
Unataka ajibiwe mara ngapi au wewe umeshamuona jamaa ni kichwa hivyo masuali yake hayajibiki kirahisi!??

Wacha kumfikiria ni zaidi kumbe sivyo! Majibu alishapewa na ndio maana ukamuona yuko kimya! Na wewe Kama uayahitaji hayo majibu basi haya hapa yapitie kwa umakini mkubwa ili uelewe kila kitu.

Soma hapa:-


http://www.zanzibarassembly.go.tz/budget/2014/ministerial/HOTUBA-WIZARA-FEDHA-2014.pdf

Hayo sio majibu ya maswali

Alichoweka ni link

Ninachotaka hapa ni majibu kisha chini aweke sources za hayo majibu yake
 
Hahahahahahahahahahahahaahahahaahahaaa......dah kweli mtu mweusi ni kiumbe cha hovyo kuliko viumbe vyote vilivyomo duniani..!!

Alaaaa....ila wale wamarekani weusi wakiitwa nigga tu tayar wamebaguliwa na hadi nyinyi kamavi huku munalalamika kuhusu racism...loh mtakufa na vijiba vya rohoo...uarabu unawaumaaa na badoo
 
Hayo sio majibu ya maswali

Alichoweka ni link

Ninachotaka hapa ni majibu kisha chini aweke sources za hayo majibu yake

Sasa hiyo link ina kitu gani!!!??

Ni link ambayo IMO hotuba nzima ya waziri Wa fedha wa Zanzibar huu ya bajeti ya 2014/2015, hivyo ifungue utapata majibu yako yote na utajua vyanzo vya mapato ya Zanzibar na nani anaisaidia Zanzibar kibajeti.

Kama hii huitaki sasa unataka tutowe ya kichwani ambayo sio ya kweli!? Wengine sio kawaida yetu kubuni mambo ya uongo.
 
Sasa hiyo link ina kitu gani!!!??

Ni link ambayo IMO hotuba nzima ya waziri Wa fedha wa Zanzibar huu ya bajeti ya 2014/2015, hivyo ifungue utapata majibu yako yote na utajua vyanzo vya mapato ya Zanzibar na nani anaisaidia Zanzibar kibajeti.

Kama hii huitaki sasa unataka tutowe ya kichwani ambayo sio ya kweli!? Wengine sio kawaida yetu kubuni mambo ya uongo.

Kashavaa jezi achana nae
 
Basically wazanzibari wa JF wameshindwa kujibu simple primary school questions.

Lakink tungeuliza maswali kuhusu maalim seif au qabus wangeleta mpaka DNA sequence zao.

Hawa ndio tegemeo la znz
 
Wazanzibari wanna sifa kubwa ya kuwa detailed kwenye kupanga hoja zao.

Lakini baada ya kuulizwa maswali mepesi wameshindwa kuja kujibu maswali ambayo wamepewa ruksa wayapeleke kwenye discussion forum ya wazanzibari ya mzalendo.net

Patiently waiting for data and info to my questions.
Una majibu ya maswali sawa na hayo kwa upande wa bara? Mada kama hizi ni za kutumia human brain na sio kutaka data as if tunafanya dissertation data ambao hata wewe mwenyewe hauna kwa upande wa bara. Ukisikia mtu anaitwa msomi lakini hajaelimika basi ndo watu dizaini yenu! Nakurejeshea baadhi ya maswali wewe mwenyewe ututupatie majibu hapa jamvini with genuine data source link:

  • Tutajie 5 major infrastructure projects in Tanganyika
  • Kila project ina worth kiasi gani?
  • Nani katoa financing ya hizo projects?
  • Kati ya hizo zipo ziko financed na UK or German?

Toa kwanza majibu ya hayo maswali. Nawamba Wa-Zanzibar wafanye declaration kwamba hawana majibu ya huyu jamaa lakini badala yake nao wamtake huyu Msomi Mtanganyika mwenzangu atoe majibu ya maswali haya kwa upande wa Tanganyika. Na kwavile tunasema Zanzibar ni mnyonyaji, mheshimiwa nakuongezea swali la ziada:
  • Pato la Mtanganyika kwa sasa ni kiasi gani?
  • Na kama isingekuwa unyonyaji unaofanywa na Zanzibar, pato la Mtanganyika kwa mwaka lingekuwa kiasi gani?

Jibu kwanza hayo maswali ili tuthibitishe kwamba hata maswali uliyouliza ni relevant kwa mjadala huu.
 
Niko hapa Unguja lakini kila ninayezungumza naye anapenda kujinasabisha na wa Oman kwa kila namna kwa kiasi nilidhani ni mambo ya SLAVE MENTALITY SYNDROME maana sijakutana na mzanzibari (including ndugu zangu) hapa ambao wako proud na uAfrica wao.

N akinachonishangaza historia ya hapa inakuwa inaanza baada ya kuja mwarabu sasa nashangaaa kwani kabla ya kuja mwarabu hapa kulikuwa hakuna binadam au vipi?

Lakini kwa wanzaibari kupenda kujinasibisha na waarabu na hususana wa Oman nilitegemea kungekuwa na investments luluki toka Oman kwenye Infrastructure, Energy, Services etc lakini wapi. Sioni kitu na naona wawekezaji wakubwa hapa ni toka UK, China, Kenya na kwa mbali USA. Hivi tatizo la hapa ni ZIPA au ndio hao waarabu washawatosa na hawana habari nao?

Anyway niko hapa Sea Breaze natazama upepo wa bahari huku nahudumiwa na wa fanyakazi toka Kenya!

Historia ya wazanzibari haijaanza baada ya kuja warabu wa Oman,historia ya zanzibar inasema kuwa wenyeji zanzibar waliwaita warabu wa Oman kuja kuwasaidia kupigana na Wareno..

Sijakufahamu nini umekusudia kwa kusema kuwa Waoman hawaja invest katika na infatructure na maendeleo mengine ya Zanzibar,Mwengereza na Mjarumani kaitawala kwa muda mrefui tu Tanganyika sasa kwanini hatuwaoni hatuwaoni waingereza na wajarumani kuja kutengeneza infastructure na maendeleo mengine hapo Tanganyika

Halafu unatakiwa ujue kuwa sultan wa Zanzibar alipopinduliwa hakukimbilia Oman bali alichukuliwa kama mkimbizi UK,kwanini hakukukimblia Oman,,,,, kwasababu alikuwa sio muomani alikuwa ni mzanzibari mwenye asili ya kiomani

Binafsi sioni vibaya kwa Mchaga kujinasibu kuwa kuwa yeye ni mchaga
 
Una majibu ya maswali sawa na hayo kwa upande wa bara? Mada kama hizi ni za kutumia human brain na sio kutaka data as if tunafanya dissertation data ambao hata wewe mwenyewe hauna kwa upande wa bara. Ukisikia mtu anaitwa msomi lakini hajaelimika basi ndo watu dizaini yenu! Nakurejeshea baadhi ya maswali wewe mwenyewe ututupatie majibu hapa jamvini with genuine data source link:

  • Tutajie 5 major infrastructure projects in Tanganyika
  • Kila project ina worth kiasi gani?
  • Nani katoa financing ya hizo projects?
  • Kati ya hizo zipo ziko financed na UK or German?

Toa kwanza majibu ya hayo maswali. Nawamba Wa-Zanzibar wafanye declaration kwamba hawana majibu ya huyu jamaa lakini badala yake nao wamtake huyu Msomi Mtanganyika mwenzangu atoe majibu ya maswali haya kwa upande wa Tanganyika. Na kwavile tunasema Zanzibar ni mnyonyaji, mheshimiwa nakuongezea swali la ziada:
  • Pato la Mtanganyika kwa sasa ni kiasi gani?
  • Na kama isingekuwa unyonyaji unaofanywa na Zanzibar, pato la Mtanganyika kwa mwaka lingekuwa kiasi gani?

Jibu kwanza hayo maswali ili tuthibitishe kwamba hata maswali uliyouliza ni relevant kwa mjadala huu.

Safi mkuu maana wakati mwengine suali hujibiwa na suali, hata YESU nae aliulizwa suali majibu yake yakawa ni suali.

Kapewa link yenye hotuba nzima ya waziri wa fedha Zanzibar ya 2014/2015 asome ili spate majibu ya suala lake lakini hataki! Bado tu anaendeleza ubishi wa watu wasiotahiriwa.
 
Una majibu ya maswali sawa na hayo kwa upande wa bara? Mada kama hizi ni za kutumia human brain na sio kutaka data as if tunafanya dissertation data ambao hata wewe mwenyewe hauna kwa upande wa bara. Ukisikia mtu anaitwa msomi lakini hajaelimika basi ndo watu dizaini yenu! Nakurejeshea baadhi ya maswali wewe mwenyewe ututupatie majibu hapa jamvini with genuine data source link:

  • Tutajie 5 major infrastructure projects in Tanganyika
  • Kila project ina worth kiasi gani?
  • Nani katoa financing ya hizo projects?
  • Kati ya hizo zipo ziko financed na UK or German?

Toa kwanza majibu ya hayo maswali. Nawamba Wa-Zanzibar wafanye declaration kwamba hawana majibu ya huyu jamaa lakini badala yake nao wamtake huyu Msomi Mtanganyika mwenzangu atoe majibu ya maswali haya kwa upande wa Tanganyika. Na kwavile tunasema Zanzibar ni mnyonyaji, mheshimiwa nakuongezea swali la ziada:
  • Pato la Mtanganyika kwa sasa ni kiasi gani?
  • Na kama isingekuwa unyonyaji unaofanywa na Zanzibar, pato la Mtanganyika kwa mwaka lingekuwa kiasi gani?

Jibu kwanza hayo maswali ili tuthibitishe kwamba hata maswali uliyouliza ni relevant kwa mjadala huu.

Mada sio kuhusu Tanganyika mada ni kuhusu znz.
 
Napita tu, maana nilipata wakati mzuri sana pale seed international airport oman
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom