Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Sante umenena

Mkuu hawa watu wananchekesha sana, wengi wao ata Dar hawajafika kisha wanaizungumzia zenjy kama wanaijua. Bahari wakivuka wanashangaa. Nawaona wakija zenjy katika boti dah, wanaona kama wanakuja ulaya kumbe apo tu.
 
Tambua Wazenji ni Mabingwa wa Ulalamishi Duniani hawana mpinzani ,pili ni wajuaji Hakuna mfano, Ni Nchi gani itaweza kuwavumilia? Oman wao ni wachapa kazi, hawakai vibarazani kupiga soga, kunywa Gahawa na kucheza bao,Oman hawawezi kuwataka Zenji hata kwa nini kwani Zenji inalishwa na Tanganyika kwa 96% pesa zinatoka hazina kuendesha Serikali na huduma za jamii, Tanganyika ina rasilimali nyingi ikiwemo rasilmali watu, hata wazenji wengi wanaishi Tanganyika wanapata pesa huku wanawahudumia ndugu zao wa zenji, Zenji ni ka-Nchi kadogo sana lakini cha ajabu kana Wabunge Utitiri ! Eneo la mbunge Zenji ni sawa na eneo la m/kiti wa kitongoji huku Tanganyika,Wabunge wa zenji wanatafuna Posho Dodoma, lakini wabunge wa Tanganyika ni marufuku kusogea baraza la wakilishi ( yaani ni Changu ni changu chako ni cha wote ) Tanganyika ni koloni la Zenji Pia ni buzi inachunwa na zenji mpaka haijitambui ! Wazenji ni wabaguzi kule zenji Myanganyika ni marufuku kumiliki kiwanja, lakini huku Tanganyika ni ruksa mzenji kumiliki kiwanja. Siku Muungano ukifariki kila mtu aludi kwao hakika watanganyika watafaidi Mali za wapemba mpaka basi, kule unguja wataambulia patupu kwani watanganyika hawana viwanja wala Mali nyingi zenji. Tanganyika ni Nchi Tajiri sana nje ya muungano, lakini ndani ya muungano ni Nchi masikini kutokana na Mzigo iliobeba wa kuilea na kuitunza Zenji kwa mapesa mengi .

Tanzania nchi tajiri nje ya muungano? Hahahaa acha utani, zanzibar ilikuwa tajiri mpaka ikikopesha mataifa kabla ya muungano. Miji ya pwani yenyewe mmejengewa na zanzibar. Eti 96% mnatulisha. Kwa kipi? Vitu viko jirani tu apo ghali kuliko tunavoenda kuchukua india uko. Zenjy bila ya muungano itafika mbali sana, muhimu isiongizwa kutoka dodoma tu. Kujenga hamjui, nyie wenyewe mna njaa, walimu wenu mnashindwa kuwalipa mtaweza wapi kuhudumia smz serikali yenu?

Sawa sisi tunakaa katika migahawa lakini tunamazungumzo ya busara, nyie mnaokesha mabaa na kuziacha familia zenu vipi? :-D
 
Tanzania nchi tajiri nje ya muungano? Hahahaa acha utani, zanzibar ilikuwa tajiri mpaka ikikopesha mataifa kabla ya muungano. Miji ya pwani yenyewe mmejengewa na zanzibar. Eti 96% mnatulisha. Kwa kipi? Vitu viko jirani tu apo ghali kuliko tunavoenda kuchukua india uko. Zenjy bila ya muungano itafika mbali sana, muhimu isiongizwa kutoka dodoma tu. Kujenga hamjui, nyie wenyewe mna njaa, walimu wenu mnashindwa kuwalipa mtaweza wapi kuhudumia smz serikali yenu?

Sawa sisi tunakaa katika migahawa lakini tunamazungumzo ya busara, nyie mnaokesha mabaa na kuziacha familia zenu vipi? :-D

Umenena vizuri sana! Hawa WATANGANYIKA urithi wao ni POMBE "bia ya safari lager na ya Kilimanjaro"
 
Mkuu hawa watu wananchekesha sana, wengi wao ata Dar hawajafika kisha wanaizungumzia zenjy kama wanaijua. Bahari wakivuka wanashangaa. Nawaona wakija zenjy katika boti dah, wanaona kama wanakuja ulaya kumbe apo tu.

Wakiona boti wanaona Ndio ndege, kama ulaya
 

Attachments

  • 1411239758258.jpg
    1411239758258.jpg
    36.1 KB · Views: 107
  • 1411239780168.jpg
    1411239780168.jpg
    10.1 KB · Views: 98
  • 1411239796558.jpg
    1411239796558.jpg
    12.4 KB · Views: 96
  • 1411239816973.jpg
    1411239816973.jpg
    9.7 KB · Views: 96
  • 1411239851009.jpg
    1411239851009.jpg
    9 KB · Views: 92
  • 1411239867018.jpg
    1411239867018.jpg
    9.4 KB · Views: 95
Ni znz ndiko nilikoona mwanaume anamtongoza mwanaume mwenzie. the way mwanaume anavyomtongoza mwanamke. Nilishangaa sana siku hiyo.

Labda alikuona umejichubua na kuweka wave sasa akajua ndio mmoja wapo umekuja kutafuta soko la kiua chako!?

Kumbukeni wazanzibar kwa 99% ni waislamu na dini yao ndio dini pekee ambayo moja ya makatazo yake ni hilo jambo na limeekewa amri na adhabu Kali sana na mungu wao sasa mzanzibar kwa uhalisia wake hilo jambo hata kuliwazia hawezi.

Jee mnajua kwa nini wazanzibar wengi wanauchukia muungano na hawautaki tena hata kuusikia???

Ni kwasababu kama hizo za kumiminika kwa wingi mashoga, machangudoa na majambazi!!

Wakati watanganyika walipokuwa wanaenda kwa passport ZNZ haya mambo yalikuwa hakuna kabisa na hata huu utitiri wa kila hatua kumi linaanzishwa kanisa hata kama halina waumini na badala yake wanasafirishwa kila J'mosi na J'pili kwa meli kutoka Tanganyika ili waende wakasali na kuyajaza jaza! Sasa wazanzibar wameshayachoka haya ndio maana wanataka nchi yao ili wawe na uwezo wa kudhibiti mambo Kama haya.
 
oman ni moja ya nchi maskini duniani labda ni hao wazanzibar wanaodhan kua kila mwarabu ni tajiri au kila nchi ya kiarabu ni tajiri, kuna nchi za kiarabu maskini sana kama hao oman na yemen!!!

Ndio maana pesa yao ni kama shilingi ya Tanzania, pumbafff
 
Swali la msingi liko pale pale

Kwa nini Serikali ya Oman haijawasaidia ZNZ hata kujenga infrastructure za maana?

Hivi Oman kwa mwaka inawapa ZNZ kiasi gani na wameinvest kiasi gani?

Leteni facts toka records za wizara ya fedha ya Zanzibar.
 
Wakristo wa Tanzania ni kichefuchefu. Saa nyingine wanaongea mambo mpaka unashangaa ni hawa kweli wanaodaiwa wamesoma sana? Hivi wanaohalalisha ushoga mpaka wanasimikwa Kuwa maaskofu ni akina nani?


uarabu ni uarabu na uislam ni uislaam , uarabu hauwezi kuwa uislaamu na uislaam hauwezi kuwa uarabu? sasa kuna mjinga mmoja hapa anachanganya uislaamu wake na uarabu mpaka anakera
 
swali la msingi liko pale pale

kwa nini serikali ya Oman haijawasaidia ZNZ hata kujenga infrastructure za maana ?

Hivi Oman kwa mwaka inawapa ZNZ kiasi gani na wameinvest kiasi gani?

Leteni facts toka records za wizara ya fedha ya znz

Ukweli ni kwamba oman imeshindwa kuisaidia zanzibar kifedha kutokana na mkono wa buyu Tanganyika lazima fedha zipite kwake katika bank kuu.
Hivyo fedha hizo kufika zanzibar ni asilimia 4.5 japokuwa fedha ni mradi wa zanzibar.

Kama mtakumbuka ile ishu ya fedha bilioni 200 kutoka emirate ambazo za ujenzi wa airport ya zanzibar, zilitakiwa kutiwa saini na waziri wa mambo ya nje zije zanzibar, membe alikataa na serikali ya muungano, na walitaka fedha hizo zingie bank kuu tanzania, zanzibar ilikataa hilo,kwani fedha ni za zanzibar, hivyo suala hilo liligonga ukuta.

Ndio ukaona wazanzibari wanataka mamlaka kamili, moja ya mambo ambayo yanarudisha nyuma ni hilo.
 
ndio maana pesa yao ni km shilingi ya tz,pumbafff

Kwa akili kama hizi wazungu watawaibia raslimali zenu sana huku CCM ikiendelea kuwaburudha wanavyotaka!!!

Hebu angalia hapa kipato chako wewe na cha muomani halafu utajua kuwa wewe ni ZUZU maana unalinganisha thamani ya maziwa na togwa.

http://www.nairaland.com/1309868/list-poorest-richest-country-world

https://www.gfmag.com/global-data/economic-data/the-poorest-countries-in-the-world
 
swali la msingi liko pale pale

kwa nini serikali ya Oman haijawasaidia ZNZ hata kujenga infrastructure za maana ?

Hivi Oman kwa mwaka inawapa ZNZ kiasi gani na wameinvest kiasi gani?

Leteni facts toka records za wizara ya fedha ya znz

Omani itaisaidia vipi ZNZ kwa lazima ikiwa ikiwa watanganyika ambao ndio wanaojifanya serikali ya muungano zimewajaa roho mbaya kwa Zanzibar.

Watanganyika hawapendi ZNZ Kama nchi kuendelea hivyo huzuia misaada yote inayokuja kwa jina la ZNZ au umesahau kadhia iliyomkuta Salmin Amour pale alipojiunga na OIC!??
 
na akienda muscut wanambagua wanamwona kama nyani. wanaishia kutumikishwa tu kama watumwa. huwa nawaonea huruma sana na waarabu ni watumikishaji balaa. kuna migahawa mingi hapa dsm ya waarabu utakuta wameajiri mababa mazima ya kibantu, libaba lijitu lizima linatuhudumia chai, wali, biriani,pilau yaani hadi unawaonea huruma na wao wameridhikaaa kuwa karibu na mwarabu wanajiona kana kwamba na wao wamekuwa waarabu vile na hadi lafudhi imebaidilika wanaongea kama mwarabu. wanatumikishwa kama watumwa mwarabu kakaa mezani kuandika risiti tu na kupokea hela. hii dunia hii///

Ww ulitaka mibaba yote ihudumie bar kufungulia wazungu bia na viroba ndio ungewaona wamaana?
 
Waznz ni watumwa. Watabakj kuwa watumwa na wanalilia utumwa. Utunwa wa akli,utumwa wa dini, utumwa wa ujinga.

Pamoja na watumwa hawa,Tanganyika haiwezi kuwaachia kwaajiii ya stability. Pia ua!!

Remember where you came from
 
Mnyamwezi atakayesema 2pac mjomba wake, hana tofauti na atakayesema mabruki wa omani ami yake, wote watumwa wa akili.

Waarabu walifuata meno ya tembo na watumwa ila wale waliopenda tende zao wakaomba undugu kwao.

Hapa hamna suala la udini hata kidogo.

Inakuwaje mama sijui wa nani asili yake Zenji wakati Zenji hamna mwenye asili ya hapo.

Asili yako wap we au ndo kwa yesu Wtf
 
Sio kweli. Hii mada umeileta kwa malengo yako binafsi na lazima udini unakusumbua. Nipo Zanzibar hapa wiki ya tatu sasa. (Njoo hapa Golf hotel karibu na Gymkhana club/bar jirani na ofisi za UWT utanikuta)
Wazanzibari hawana mawazo hayo. Tena wanajiona ni Watanzania hasa. Nimeenda maskani ya CUF kidoooogo wao wanausifia uzanzibari wao ingawa nao wanajiona ni watanzania. Pale maskani ya kisonge penyewe ni utanzania umeshamiri. Wazanzibar wenyewe kwa wenyewe wanaishi kwa upendo sana kama Watanzania. Hawajatubagua sisi Wanyakyusa wala wale wasukuma. Sote ni watanzania. Na hata ukiwasoma ndani ya mioyo na sura zao ni WATANZANIA. Hakuna u-oman wala uarabu.

:thumbup::thumbup:
 
Mtoa made eleza vizur na umesoma io mnaita history..... Uthiariwe na utash wako speak ukwel ulizia watu wanao kaa znz wanakwambia and tatzo ni mfumo wa utawala
 
Ukweli ni kwamba oman imeshindwa kuisaidia zanzibar kifedha kutokana na mkono wa buyu Tanganyika lazima fedha zipite kwake katika bank kuu.
Hivyo fedha hizo kufika zanzibar ni asilimia 4.5 japokuwa fedha ni mradi wa zanzibar.

Kama mtakumbuka ile ishu ya fedha bilioni 200 kutoka emirate ambazo za ujenzi wa airport ya zanzibar, zilitakiwa kutiwa saini na waziri wa mambo ya nje zije zanzibar, membe alikataa na serikali ya muungano, na walitaka fedha hizo zingie bank kuu tanzania, zanzibar ilikataa hilo,kwani fedha ni za zanzibar, hivyo suala hilo liligonga ukuta.

Ndio ukaona wazanzibari wanataka mamlaka kamili, moja ya mambo ambayo yanarudisha nyuma ni hilo.


Issues mbili hapa unazungumzia

1. Msaada

2. Investments (FDI)

Siamini kuwa Wahisani hawapeleki misaada znz kwa sababu haifiki kwenye miradi husika ingekuwa hivyo USA, INDIA, CHINA, UK na znginezo wasinge kuwa wanapeleka misaada ya maendeleo znz Kama unazo fact based evidence kuwa Oman walitaka kujenga hospital ya 10MILLION USD na serikali ya Tanganyika ikakataa tulee tuone hapa

Kuhusu FOREIGN DIRECT INVESTMENTS (FDI) kwenda znz siamini kuwa serikali ya ZNZ inakatazwa kusign bilateral au multilateral agreements za investment projects na serikali ya OMAN kwa sababu Membe kawakataza

ingekuwa hivyo mbona wa CHINA wametoa finance ya airport znz na kazi inaendelea? sasa Oman wameshindwa vipi hilo?

tusipeane majibu mepesi

kama una document yoyote ya kuback up hija zako plse tuleteee
 
Issues mbili hapa unazungumzia

1. Msaada

2. Investments (FDI)

Siamini kuwa Wahisani hawapeleki misaada znz kwa sababu haifiki kwenye miradi husika ingekuwa hivyo USA, INDIA, CHINA, UK na znginezo wasinge kuwa wanapeleka misaada ya maendeleo znz Kama unazo fact based evidence kuwa Oman walitaka kujenga hospital ya 10MILLION USD na serikali ya Tanganyika ikakataa tulee tuone hapa

Kuhusu FOREIGN DIRECT INVESTMENTS (FDI) kwenda znz siamini kuwa serikali ya ZNZ inakatazwa kusign bilateral au multilateral agreements za investment projects na serikali ya OMAN kwa sababu Membe kawakataza

ingekuwa hivyo mbona wa CHINA wametoa finance ya airport znz na kazi inaendelea? sasa Oman wameshindwa vipi hilo?

tusipeane majibu mepesi

kama una document yoyote ya kuback up hija zako plse tuleteee

Labda hii itakusaidia kujua namna ya Omani inavyowekeza ZNZ na Tanzania kwa ujumla.

Pia utafahamu jinsi Zanzibar inavyofaidika na kuwapo na mahusiano ya damu na waomani.

Soma hapa chini ili hiyo kasumba mliyonayo iwapunguwe japo kidogo.

http://ikulublog.com/2012/10/tanzania-and-oman-signed-various-agreements-aimed-at-enhancing-political-and-economic-ties-between-the-two-countries/

http://www.tanzaniaembassyoman.com/pages/8


http://main.omanobserver.om/?p=91894

http://books.google.co.tz/books?id=9yCSamtUeiAC&pg=PA196&lpg=PA196&dq=oman+investment+in+zanzibar&source=bl&ots=MKdW-7Ozke&sig=WWR45H4MPWsbUmxgb9sEA1LYuC4&hl=en&sa=X&ei=c0weVMrILNfuaP_7gZAC&redir_esc=y
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom