BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,024
- 4,301
FOA Unajishusha ili iweje yeye atakavoreact uko nje ni yeye but i know nilichokifanya ni kwa baraka na neema ya mwenyezi Mungu,so lazima tujifunze kuwa wenye shukrani
Sawa kaka mkubwa. Nimeifufua ile blog yangu na sasa ninaandaa Telegram channel. Karibu kwa michango kama una chochote kitu.kila lenye heri ndugu yangu, tupo pamoja.
Sawa mkuuFOA Unajishusha ili iweje yeye atakavoreact uko nje ni yeye but i know nilichokifanya ni kwa baraka na neema ya mwenyezi Mungu,so lazima tujifunze kuwa wenye shukrani