Kwanini Nyerere hakumkubali Lowassa?


Ni mmeru sio mchaga wala mmasai!
 
hata msemeje tumeziba maskio,lowasa ni fisadi na kamwe hawezi kuwa rais wa nchi hii na kwa taarifa yako tumeshajua nguvu zake zinakotoka zaidi licha ya marekani pia tumegundua ni agent na tumeanza vita vya kiroho mpaka kieleweke! si unajua vita vyetu si juu ya damu na nyama bali juu ya..................... na.................................
 

Mtolewa bana!, Nguvu zake zinatoka wapi vile?
 
Acheni NYERERE aitwe NYERERE!!! Hakun kiongoz yyt anaeweza kucmama nae hapa Tz, alikuw anashika jembe analima, na bado hakuna asset yyt unaeza mnyooshea kidole kuw ni mali yake na amekuw magogoni 25 yrs, leo EL uwaziri mkuu tu hata 5yrs haijfika bt mali zake chungu nzima, NYERERE alikuw mzalendo wa ukweli na mwenye kuona mbali, aliyoyapinga yote cc 2kajiona wajanja leo yanatutokea puani, nasikia mpk KIA EL ataka kununua, kisa inasemekana KIA yote pale ni Tanzanite full, wana lowasa kwa hili la Nyerere mmegonga mwamba kajpangeni upya!!!!!!!!!!!!!!
 
Nilimpenda sana Lowassa ila kwa Kumchjafua Nyerere naona Bora nimpende Mtikila
 
Kwa hiyo ulitaka waziri mkuu atembelee baiskeli na sungusungu ndiyo wawe walinzi wake?

Kwani sasa EL anatembelea nini na kilichomfanya aende na msafara ule ni nini? Angemtembelea marehemu ng'ombe wake aliyekufa kama anavyotembelea ng'ombe zake leo bila msafara ingekuwa na ubaya gani?
Hata hivyo hukuielewa mantiki yangu. Nilitaka kuonyesha ubinafsi alionao kiasi cha kuona mali za umma si kitu muhimu kama ng'ombe wake mmoja.
 

Hebu wacha kututania yakheeeeeeee!
 

Mwanzisha Mada kaomba Mada yake ifungwe
 
Hakuna ubishi kuwa Tanzania ni ya watanzania wote, kila mtu anayo haki ya kuchaguliwa na kuchagua kiongozi, hii ni pamoja na Mhe. Lowassa anayo haki ya kugombea kuwa Rais ndani ya nchi yake ilimradi ikitimiza matakwa ya kanuni na taratibu za kugombea nafasi hiyo kisha kuweza kuwashawishi wapiga kura wampigie kura. Lakini kama nchi tumekubaliana kuwa Mwl. Nyerere tumpe heshima ya kuwa baba wa taifa letu kutokana na kutuongoza kwa uwadilfu kwa miaka 27 tangu nchi ipate uhuru. Sasa baba wa taifa amekufa bila ya kutengua kauli yake ya kuwakataa Lowassa na John wasigombee nafasi ya urais wa Tanzania kutokana na maono yake.

Je, tukimruhusu Lowassa agombee urais, ipi itakuwa nafasi ya Nyerere kuwa baba wa taifa? Je, bado tutaendelea kuenzi fikra zake? Je, yakitokea yale aliyoyakataa Nyerere kwa Lowassa kuwa rais tutamlaumu nani?

CCM chagueni moja kati ya Lowassa au Nyerere
 
Wewe inaelekea historia ktk akili yako.Nyerere hakumkataza Lowassa asiwe Rais wa TZ.jikumbushe vizuri.alihoji pesa aliokuwa nayo.na kumbuka wagombea walikuwa wengi hivo ilibidi apatikane mmoja na sio lazima Lowassa kipindi kile.mbona hata kikwete aliambiwa asubilie?kwani alitengua kauli yake kabla ya kufa?Lowassa huu ndio muda wake wa kuwa rais wa nchi hii kuanzia 2015.suala la utajiri sio ishu kwa vile hata hao maskini viongozi hawajasaidia lolote zaidi ya kujitajirisha wakiingia madarakani.na pia ufisadi wa lowassa anaotuhumiwa juu ya richmond kumbuka maamuzi hayo asingeweza kuyapitisha peke yake bila boss wake kujua.Ebu mwacheni lowassa awe rais na lazima awe.
 
Lowassa atashinda kugombea urais ndani ya ccm kwa kuwa hakuna wa kumgusa ndani ya chama! Pia kawanunua wajumbe wote wa mikutano halali ya chama hicho!
 

julius nyerere alikuwa na mtu wake mkapa nisingetarajia amsifie kikwete au yeyote,kama azimio la arusha alikubali litupwe,sembuse kauli zake
 

-Kama hawezi kujibu suala la pesa zake alikozipata ataweza nini?

-Kama mkataba mmoja wa RICHMOND ataweza nini?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…