Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,816
Nyerere alimkataa lowassa kwa vile yeye na baba yake waliuza kijiji kizima na watu ndani huko umachame na baadaye kukimbilia ummasaini ambako walipata hifadhi na kulelewa na familia ya marehemu moringe sokoine. Jeje wajua lowassa ni mchagga wa machame? Jiulize ni kipi kilimfanya abadilishe kabila na kujiita mmasai?
Wamasai hawana tabia za ajabu zikiwemo uroho wa madaraka na wizi wa mali za umma.
mbona wengi wanalinda? sio tamaa ya fedha hiyo?