-Kama hawezi kujibu suala la pesa zake alikozipata ataweza nini?
-Kama mkataba mmoja wa RICHMOND ataweza nini?
-Kama hawezi kujibu suala la pesa zake alikozipata ataweza nini?
-Kama mkataba mmoja wa RICHMOND ataweza nini?
Uwezo wako wa kufikiri ndio umeishia hapo?kweli dhambi ya kutaka kutoa uhai ni mbaya na ndiyo hiyo inakutafuna laiti kama zito asingekua ameaga kwao maskini leo tungekuwa tunazungumza mengine.Katubu!!
Hakuna ubishi kuwa Tanzania ni ya watanzania wote, kila mtu anayo haki ya kuchaguliwa na kuchagua kiongozi, hii ni pamoja na Mhe. Lowassa anayo haki ya kugombea kuwa Rais ndani ya nchi yake ilimradi ikitimiza matakwa ya kanuni na taratibu za kugombea nafasi hiyo kisha kuweza kuwashawishi wapiga kura wampigie kura. Lakini kama nchi tumekubaliana kuwa Mwl. Nyerere tumpe heshima ya kuwa baba wa taifa letu kutokana na kutuongoza kwa uwadilfu kwa miaka 27 tangu nchi ipate uhuru. Sasa baba wa taifa amekufa bila ya kutengua kauli yake ya kuwakataa Lowassa na John wasigombee nafasi ya urais wa Tanzania kutokana na maono yake.
Je, tukimruhusu Lowassa agombee urais, ipi itakuwa nafasi ya Nyerere kuwa baba wa taifa? Je, bado tutaendelea kuenzi fikra zake? Je, yakitokea yale aliyoyakataa Nyerere kwa Lowassa kuwa rais tutamlaumu nani?
CCM chagueni moja kati ya Lowassa au Nyerere
yahaya tatzo lako umetoka kufuwa zile chupi za joyce mukya,hujaona m dj analivyochakachuwa katiba,ngoja zitto anze kazi
URAIS WA NCHI HII 2015 NI KWA CDM tu , hizo sarakasi zao ni sawa na kupoteza muda tu .
wewe MASIKINI kama huwezi ku deal na uzi ulioko mezani umekuja kufanya nini ?
UNADHANI huo UFUKARA ULIO NAO UNAWEZA KWISHA KWA MATUSI ?
wewe MASIKINI kama huwezi ku deal na uzi ulioko mezani umekuja kufanya nini ?
wewe pesa zako za madawa ya kulevya ndiyo zainakufanya ujiite tajili?
Lowasa wa watanzania....
LOWASSA kamwe hawezi kuwa rais wa nji hii.
Shetani anataka uraisi wa nchi? Mungu atuepushe na laana hii. Nchi haitakalika naapa. Tutapigana kwa nguvu zote ili manyang'au yasichukue nchi.