EDWARD NGOYAI LOWASSA aka LAIGHWANAN ameonyesha nia kubwa sana ya kutaka kwenda ikulu ili kuwakomboa watanzania na matatizo yao lukuki ambayo yanaongezeka kila uchao. LOWASSA amewatumia FRIENDS OF LOWASSA ambao wamemchangia mamilioni ya fedha ambazo katika kuonyesha yeye hana tama hakuzitumia yeye binafsi fedha hizo kama ambavyo wangefanya wengine bali bila kishadushadu wala hiana akazigawa kama alivyopewa kwa vikundi mbalimbali. Kwa kuonyesha yeye ni kiongozi bora na wakupigiwa mfano hakuzigawa kwa wakristo wenzake tu bali pia kwa waislam ab
Ambapo shule kibao za waislam na misikiti vimefaidika kwamisaada hiyo.Hakuishia hapo bali alitoa kwa vikoba na hakujali vikoba ni vyaArusha au lindi au kagera yeye alimwaga pesa. Alipoulizwa maswali ya kizushikuwa huenda fedha hizo zimetokana na money laundering akasema waulizwe FRIENDSOF LOWASSA na sio yeye na pia alipoulizwa je wamelipa kodi jibu lake likawa nihilohilo.
Juzi nilikutana na Mzee KONTWINYE MWAKIFUNGUTE ambae ni mzeewa miaka 81 na alikuwa mwanachama hai wa TANU na sasa CCM na anajuana sana naviongozi wote wa juu wa CCM. Mzee huyu alisema wote wanaodai nyerere hakumpendaLOWASSA na kuwa 1995 alikata jina lake ni waongo wakubwa. Anasema nyerereALIMPENDA SANA, SANA LOWASSA KWANI ALIMKUMBUSHA SOKOINE ambae nyerere alimgroomaje kuwa Rais but akafa. Anasema nyerere hakumtaka Malecela na akatishiakurudisha kadi sio lowassa.
MZEE AMESEMA TUMUENZI NYERERE KWA KUMPA LOWASSA URAIS