Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
jamani.. Zinaibwaje? Zamani ilikuwa rahisi kwa sababu sanduku linapakizwa kwenye baskeli kwenda kuhesabiwa sehemu nyingine.. Siyo mnasema "wizi upo" kinadharia inawezekana lakini mtu aniambie unawezekana vipi? Wildcard anasema kuwa zanzibar waliiba ah wapi!, kuna suala la tume ya uchaguzi kuingiliwa hilo limetokea kenya na ninaamini ndilo lenye uwezekano mkubwa wa kutokea tanzania mwaka huu..
wizi unatokea pale mtu mwenye authority kama aliyokuwa nayo mwalimu nyerere mwaka 1995 kumshurutisha mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya zanzibara kutangaza kitu tofauti na hali halisi; kama ambavyo dtv walikuwa wajumlisha matokeo kutoka vito vyote na cuf kuibuka kidedea.
Hata mwaka huu dalili zinajionyesha kuwa wenye authority watatumia mamlaka waliyo nayo kuishurutisha tume ya uchaguzi kutangaza matokeo according to their wishes. je huu sio wizi wa kura? Kama sio puatie msamiaati wake mpya.