cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 117,672
- 191,640
Sina mtaji.Jiajiri mkuu
Sina mtaji.Jiajiri mkuu
Saawa pambanaSina mtaji.
Ahsantee, [emoji120]Saawa pambana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mingi hivyo? Yaan anavyoenda jela na mie natafuta wa kudeveleka nae siku hiyo hiyo.
Yaan mie kulia lia kisa mapenzi, huo mda cna.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaa.Yaan mie kulia lia kisa mapenzi, huo mda cna.
Ntalia na kutafuta maokoto, sio nyege zinisumbue, akati wakataji wa nyege wako had wa mafunguu.
Nehiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaaa! Uzuri wake naishi kwa kujijali mie kwani, sina mda wa kuhangaika na kiumbe chenye akili na utashi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaa.
Ukifunga ndoa utaacha huu mtazamo.
Wewe na Winnie Mandela lenu moja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaaa! Uzuri wake naishi kwa kujijali mie kwani, sina mda wa kuhangaika na kiumbe chenye akili na utashi.
Yaan mie akiwa anatimiza kila kitu cha muhimu ndani, hata akitaka kuzamia huko nje up to yeye.
Sina mda wa kumfatilia mie, maana hata mie nikitaka kwenda nje nawezaa pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huenda yeye ni Role model wangu.Wewe na Winnie Mandela lenu moja
Hainqga ratiba bana😅Kawaida ndio kwa wiki mara ngapi
Ikiloa inakaushwa chap😂Hainqga ratiba bana😅
Naunga mkono hojaUsiwahi kumsamehe mwanamke aliekusaliti
Makosa yanayo sameheka ni kuchelewa kupika na kuunguza mboga na mfano wa hayo.
Akikusaliti maana yake mapenzi yameisha kwako acha aende kwa amani na wewe ishi maisha yako kwa amani wala usimchukie au kuweka kisasi nae ila usifikirie hata siku moja kumrudia tena.
Me niko good dearNmeamka poa kabisa sijui wewe mamy?
Nafurahi kwa hilo ikawe siku njema kwakoMe niko good dear
Santee, you too dearNafurahi kwa hilo ikawe siku njema kwako
Shukrani mama 😘Santee, you too dear
Usituletee degree ya gentleman please 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] hata usijar, ntaweka uzi hapa kuwaalika wana JF wote mje mjumuike.
Lastborn wa JF navaa joho. [emoji91][emoji91]
Kati ya wanaume wa winnie dali mpofu ndo alikuwa kinara , hata barua iliyodakwa na mzee mandela na iliyosababisha divorce ilikuwa ya winnie kwenda kwa dali,akimlaumu dali kwa kutomjali ilhali anajua kuwa. Hakuna mahusiano mazuri na mzee mandelaSasa si angechagua chaka lake moja la kujifichia kuliko kuwa na wengi
Pole Sana, Kama nakuona unavyo shindwa kunywa Hata uji🤣😂😁😀tena nilichapika haswaaa😃😃😃