SoC01 Kwanini ndoa nyingi za nyakati hizi huwa hazidumu

Stories of Change - 2021 Competition
Jul 29, 2021
81
158
Hivi ni kwanini ndoa nyingi siku hizi zinavunjika? Yaani unakuta watu wameoana haipiti hata miaka miwili unasikia wameachana.

Mfano ni ndoa ya wasanii wetu wa Tanzania , kama Ndoa ya Ali Salehe Kiba maarufu kama “ALIKIBA” na mke wake kutoka Kenya , na ndoa ya Judith Wambura maarufu kama “LADY JAYDEE” na mume wake wa zamani Gardener G. Abashi , na ndoa Zuwena Mohamed maarufu kama “SHILOLE”.

Tatizo hili lipo hata nje ya nchi , mfano ndoa ya mastaa wakubwa wanajulikana kama Kim Kardashian na Kanye West. Na mara nyingi wanawake ndio wanao laumiwa kwa ndoa zao kuvunjika kuwa Ni kosa lao, wao sio wavumilivu na mengine mengi.

Lakini sio kweli kuwa wanawake ndio chanzo cha ndoa hizi kuvunjika, kwasababu kudumutokudumu kwa mahusiano ya ndoa ni tatizo ambalo limetokana na tofauti kati ya nyakati.

Kuna tofauti kubwa kwa jinsi maisha yalivyokuwa nyakati zile na maisha jinsi to alivyo sasa
Nyakati zile wanawake walikuwa hawana ufahamu kuhusu haki zao katika ndoa na maisha yao kwa ujumla, hivyo ilikuwa rahisi kudumu na kuvumilia kwenye ndoa hata kama hunyanyaswa na kukandamizwa kwenye ndoa hizo, kwasababu hivyo ndivyo ambavyo wameambiwa mwanamke anatakiwa awe kutokana na mafundisho ya nyakati hizo.

Ukweli ni kwamba ili ndoa idumu inabidi Kuna upande ukubali kukandamizwa na kuwa chini, na hivyo ndivyo imekuwa kwa muda mrefu Sasa. Na muda wote maisha yamekuwa nyakati hizo yakimuinua mwanaume sana na kumkandamiza mwanamke.

Mfano mzuri wanawake wengi wamekuwa wakiweka maisha yao pembeni na kufuata ndoto za mwanaume baada ya kuolewa, pia walikuwa hawapewi haki hata ya kwenda shule kupata elimu, huku wanaume tu wakiruhusiwa kwenda shule . Lakini kwa nyakati hizi, Kutokana na elimu kutolewa wanawake wamegundua kuwa wao pia ni watu sawa na wenye haki zao za msingi Kama wanaume.

Na sio kuvumilia kila kitu
Wanawake walikuwa hata hawana haki ya kuchagua nani wa kuolewa nae: Zamani wanawake walikuwa hawana haki kabisa ya kuchagua nani wa kuolewa nae na hata Ni muda gani wa kuolewa.

Maamuzi yote hayo yalikuwa katika mikono ya wanaume yaani baba wa mwanamke na upande wa mwanaume ambaye alikuwa antaka kumuoa mwanamke huyo. Ilikuwa nikitendo cha baba kuja na kumtaarifu binti yake na mama wa binti huyo kuwa amepokea mahali kutoka kwa mtu Fulani au familia Fulani hivyo ajiandae kwenda kwa mumewe siku inayofuata au siku iliyopangwa na mwanamke hakuwa na Hali yoyote ya kupinga.

Wanaume kupiga wake zao, wanaume kuzuia wanawake wao kuenda kazini au kufanya kazi za ujasiliamali, wanaume kutoka nje ya ndoa zao na ile Hali ya kwamba kwakuwa mwanaume ndio kichwa Cha familia kila atakachokisema ndio kitakachokuwa hata Kama ni kinyume au ni kibaya au mwanamke hakubaliani nacho na mengineyo.

Haya Ni baadhi ya mambo ambayo wanaume huyafanya ambayo sio sahihi kabisa katika mahusiano ya ndoa lakini kwa nyakati hizo wanawake walifundishwa kuwa haya ni mambo ya kawaida na hutokea Sana kwenye ndoa na hivyo hawana budi kuyavumilia na kuendelea kuheshimu kwakuwa ndivyo wanaume wote walivyo na hatuna cha kufanya zaidi ya kuvumilia.

Kitu ambacho wanawake wa nyakati hizi ambao wameelimika hawako tayari kabisa kukikalia kimya na ndio maana ndoa hazidumu.

Tukija kwenye nyakati tunazoishi hivi Sasa wanawake wanawake wamepewa kipaumbele sana katika sekta mbalimbali, kuanzia kwenye Elimu,Kazi, Ajira Serikalini, kwenye uongozi

Kwahiyo Sababu kuu inayofanya ndoa zivunjike Ni ile dhana ambayo wanaume wa nyakati hizi wanazozichukua wakati wa kuingia katika ndoa. Kama mwanaume anaingia na dhana kwamba, “kwakuwa mimi ndio kichwa cha familia ninachokitaka ndo kitakacho kiwe ndio kitakachokuwa na siwezi kuisikiliza mwanamke, kwakuwa mimi ndio baba”. Hapa tusitegemee kabisa ndoa kudumu kwasababu wanawake wameelimika Sasa na wanajua haki zao na hawako tayari kukandamizwa.

Hivyo ushauri wangu Ni kwamba mnapoingia kwenye ndoa inabidi tujue kuwa nyakati zimebadilika kuondoa hizi fikra za mfumo dume, yule ni mke wako, ubavu wako ni usawa wako na sawa na mwenye haki Kama wewe, muheshimu kama utakavyotaka kuheshimiwa na mtendee yale ambayo utakayotaka kutendewa. Na pia mkimshirikishe Mungu ,Nina amini kuwa ndoa yenu itadumu na itahimili mitikisiko yote.
 
Hivi ni kwanini ndoa nyingi siku hizi zinavunjika? Yaani unakuta watu wameoana haipiti hata miaka miwili unasikia wameachana.

Mfano ni ndoa ya wasanii wetu wa Tanzania , kama Ndoa ya Ali Salehe Kiba maarufu kama “ALIKIBA” na mke wake kutoka Kenya , na ndoa ya Judith Wambura maarufu kama “LADY JAYDEE” na mume wake wa zamani Gardener G. Abashi , na ndoa Zuwena Mohamed maarufu kama “SHILOLE”.

Tatizo hili lipo hata nje ya nchi , mfano ndoa ya mastaa wakubwa wanajulikana kama Kim Kardashian na Kanye West. Na mara nyingi wanawake ndio wanao laumiwa kwa ndoa zao kuvunjika kuwa Ni kosa lao, wao sio wavumilivu na mengine mengi.

Lakini sio kweli kuwa wanawake ndio chanzo cha ndoa hizi kuvunjika, kwasababu kudumutokudumu kwa mahusiano ya ndoa ni tatizo ambalo limetokana na tofauti kati ya nyakati.

Kuna tofauti kubwa kwa jinsi maisha yalivyokuwa nyakati zile na maisha jinsi to alivyo sasa
Nyakati zile wanawake walikuwa hawana ufahamu kuhusu haki zao katika ndoa na maisha yao kwa ujumla, hivyo ilikuwa rahisi kudumu na kuvumilia kwenye ndoa hata kama hunyanyaswa na kukandamizwa kwenye ndoa hizo, kwasababu hivyo ndivyo ambavyo wameambiwa mwanamke anatakiwa awe kutokana na mafundisho ya nyakati hizo.

Ukweli ni kwamba ili ndoa idumu inabidi Kuna upande ukubali kukandamizwa na kuwa chini, na hivyo ndivyo imekuwa kwa muda mrefu Sasa. Na muda wote maisha yamekuwa nyakati hizo yakimuinua mwanaume sana na kumkandamiza mwanamke.

Mfano mzuri wanawake wengi wamekuwa wakiweka maisha yao pembeni na kufuata ndoto za mwanaume baada ya kuolewa, pia walikuwa hawapewi haki hata ya kwenda shule kupata elimu, huku wanaume tu wakiruhusiwa kwenda shule . Lakini kwa nyakati hizi, Kutokana na elimu kutolewa wanawake wamegundua kuwa wao pia ni watu sawa na wenye haki zao za msingi Kama wanaume.

Na sio kuvumilia kila kitu
Wanawake walikuwa hata hawana haki ya kuchagua nani wa kuolewa nae: Zamani wanawake walikuwa hawana haki kabisa ya kuchagua nani wa kuolewa nae na hata Ni muda gani wa kuolewa.

Maamuzi yote hayo yalikuwa katika mikono ya wanaume yaani baba wa mwanamke na upande wa mwanaume ambaye alikuwa antaka kumuoa mwanamke huyo. Ilikuwa nikitendo cha baba kuja na kumtaarifu binti yake na mama wa binti huyo kuwa amepokea mahali kutoka kwa mtu Fulani au familia Fulani hivyo ajiandae kwenda kwa mumewe siku inayofuata au siku iliyopangwa na mwanamke hakuwa na Hali yoyote ya kupinga.

Wanaume kupiga wake zao, wanaume kuzuia wanawake wao kuenda kazini au kufanya kazi za ujasiliamali, wanaume kutoka nje ya ndoa zao na ile Hali ya kwamba kwakuwa mwanaume ndio kichwa Cha familia kila atakachokisema ndio kitakachokuwa hata Kama ni kinyume au ni kibaya au mwanamke hakubaliani nacho na mengineyo.

Haya Ni baadhi ya mambo ambayo wanaume huyafanya ambayo sio sahihi kabisa katika mahusiano ya ndoa lakini kwa nyakati hizo wanawake walifundishwa kuwa haya ni mambo ya kawaida na hutokea Sana kwenye ndoa na hivyo hawana budi kuyavumilia na kuendelea kuheshimu kwakuwa ndivyo wanaume wote walivyo na hatuna cha kufanya zaidi ya kuvumilia.

Kitu ambacho wanawake wa nyakati hizi ambao wameelimika hawako tayari kabisa kukikalia kimya na ndio maana ndoa hazidumu.

Tukija kwenye nyakati tunazoishi hivi Sasa wanawake wanawake wamepewa kipaumbele sana katika sekta mbalimbali, kuanzia kwenye Elimu,Kazi, Ajira Serikalini, kwenye uongozi

Kwahiyo Sababu kuu inayofanya ndoa zivunjike Ni ile dhana ambayo wanaume wa nyakati hizi wanazozichukua wakati wa kuingia katika ndoa. Kama mwanaume anaingia na dhana kwamba, “kwakuwa mimi ndio kichwa cha familia ninachokitaka ndo kitakacho kiwe ndio kitakachokuwa na siwezi kuisikiliza mwanamke, kwakuwa mimi ndio baba”. Hapa tusitegemee kabisa ndoa kudumu kwasababu wanawake wameelimika Sasa na wanajua haki zao na hawako tayari kukandamizwa.

Hivyo ushauri wangu Ni kwamba mnapoingia kwenye ndoa inabidi tujue kuwa nyakati zimebadilika kuondoa hizi fikra za mfumo dume, yule ni mke wako, ubavu wako ni usawa wako na sawa na mwenye haki Kama wewe, muheshimu kama utakavyotaka kuheshimiwa na mtendee yale ambayo utakayotaka kutendewa. Na pia mkimshirikishe Mungu ,Nina amini kuwa ndoa yenu itadumu na itahimili mitikisiko yote.
Sawa basi nyie wanawake "mlioelimika" wenye vijielimu vyenu msiolewe sasa kama kuolewa mnaonewa kwenye ndoa. Mbona kila kukicha mnahangaika kutafuta wa kuwaoa ?! Endeleeni kua na kopo ya kutunza shaha.wa malaya nyie muaache wanawake watiifu waole.
 
Kaka yani mimi haya mafeminist uchwara hua yananikera, na nikijua jianamke linajifanya na memmtality za kifeminist hua nayaapproach nalitomba afu nalimwaga shenzi kabisa.
na Chief wao mkuu Hangaya anazidi kuwapumbaza
 
"Kabla ya mtu kuoa ni lazima afikiri kwanza atamwoa nani. Je. atamwoa kwa sababu ni mzuri wa sura au umbo na kumbe tabia si njema? Au atamwoa kwa sababu ni mwanamke wa nyumba kubwa? Basi Mtume wetu Muhammad s.a.w. ametoa mwongozo akasema:- “Mwanamke anaolewa kwa mambo manne: (1) kwa sababu ya mali yake. (2) kwa sababu ya utukufu wa ukoo wake. (3) kwa sababu ya uzuri wake na (4) kwa sababu ya tabia yake nzuri na dini yake.

Basi jipatie ufaulu kwa kumpata yule mwenye tabia nzuri” (Bukhari). Hii ndiyo hekima iliyo ghali sana kupatikana. Watu Wengi hawajui siri hii.

Kusema kweli maisha yenye raha na mafanikio yanategemea mke mwenye tabia njema na mwenendo wa murua.

Bila ya hayo, kama mtu hakuangalia anaweza kumaliza wanawake chungu nzima na asipate raha. Basi njia bora ni hi tu aliyofundisha Mtume s.a.w. ya kwamba tuwapate wanawake wenye tabia njema ambao wanaweza kuwa mama za watoto wema na hata watoto wetu wapate mafunzo mema kwao, na sisi tupate raha, furaha na starehe" Kwa hisani ya H.H. MBYANA
 
Tatizo linaanzia kwenye aina ya mahusiano mahusiano yaliyopelekea hizo ndoa

Taratibu na Misingi ya ndoa imeharibika, wanaoowana hawajui hata majukumu na nafasi zao kwenye ndoa, wanapenda vitu kwanza kabla ya wao wenyewe halafu wanajikuta werevu kuliko wakubwa zao na kuliko Mungu pia
 
Hivi ni kwanini ndoa nyingi siku hizi zinavunjika? Yaani unakuta watu wameoana haipiti hata miaka miwili unasikia wameachana.

Mfano ni ndoa ya wasanii wetu wa Tanzania , kama Ndoa ya Ali Salehe Kiba maarufu kama “ALIKIBA” na mke wake kutoka Kenya , na ndoa ya Judith Wambura maarufu kama “LADY JAYDEE” na mume wake wa zamani Gardener G. Abashi , na ndoa Zuwena Mohamed maarufu kama “SHILOLE”.

Tatizo hili lipo hata nje ya nchi , mfano ndoa ya mastaa wakubwa wanajulikana kama Kim Kardashian na Kanye West. Na mara nyingi wanawake ndio wanao laumiwa kwa ndoa zao kuvunjika kuwa Ni kosa lao, wao sio wavumilivu na mengine mengi.

Lakini sio kweli kuwa wanawake ndio chanzo cha ndoa hizi kuvunjika, kwasababu kudumutokudumu kwa mahusiano ya ndoa ni tatizo ambalo limetokana na tofauti kati ya nyakati.

Kuna tofauti kubwa kwa jinsi maisha yalivyokuwa nyakati zile na maisha jinsi to alivyo sasa
Nyakati zile wanawake walikuwa hawana ufahamu kuhusu haki zao katika ndoa na maisha yao kwa ujumla, hivyo ilikuwa rahisi kudumu na kuvumilia kwenye ndoa hata kama hunyanyaswa na kukandamizwa kwenye ndoa hizo, kwasababu hivyo ndivyo ambavyo wameambiwa mwanamke anatakiwa awe kutokana na mafundisho ya nyakati hizo.

Ukweli ni kwamba ili ndoa idumu inabidi Kuna upande ukubali kukandamizwa na kuwa chini, na hivyo ndivyo imekuwa kwa muda mrefu Sasa. Na muda wote maisha yamekuwa nyakati hizo yakimuinua mwanaume sana na kumkandamiza mwanamke.

Mfano mzuri wanawake wengi wamekuwa wakiweka maisha yao pembeni na kufuata ndoto za mwanaume baada ya kuolewa, pia walikuwa hawapewi haki hata ya kwenda shule kupata elimu, huku wanaume tu wakiruhusiwa kwenda shule . Lakini kwa nyakati hizi, Kutokana na elimu kutolewa wanawake wamegundua kuwa wao pia ni watu sawa na wenye haki zao za msingi Kama wanaume.

Na sio kuvumilia kila kitu
Wanawake walikuwa hata hawana haki ya kuchagua nani wa kuolewa nae: Zamani wanawake walikuwa hawana haki kabisa ya kuchagua nani wa kuolewa nae na hata Ni muda gani wa kuolewa.

Maamuzi yote hayo yalikuwa katika mikono ya wanaume yaani baba wa mwanamke na upande wa mwanaume ambaye alikuwa antaka kumuoa mwanamke huyo. Ilikuwa nikitendo cha baba kuja na kumtaarifu binti yake na mama wa binti huyo kuwa amepokea mahali kutoka kwa mtu Fulani au familia Fulani hivyo ajiandae kwenda kwa mumewe siku inayofuata au siku iliyopangwa na mwanamke hakuwa na Hali yoyote ya kupinga.

Wanaume kupiga wake zao, wanaume kuzuia wanawake wao kuenda kazini au kufanya kazi za ujasiliamali, wanaume kutoka nje ya ndoa zao na ile Hali ya kwamba kwakuwa mwanaume ndio kichwa Cha familia kila atakachokisema ndio kitakachokuwa hata Kama ni kinyume au ni kibaya au mwanamke hakubaliani nacho na mengineyo.

Haya Ni baadhi ya mambo ambayo wanaume huyafanya ambayo sio sahihi kabisa katika mahusiano ya ndoa lakini kwa nyakati hizo wanawake walifundishwa kuwa haya ni mambo ya kawaida na hutokea Sana kwenye ndoa na hivyo hawana budi kuyavumilia na kuendelea kuheshimu kwakuwa ndivyo wanaume wote walivyo na hatuna cha kufanya zaidi ya kuvumilia.

Kitu ambacho wanawake wa nyakati hizi ambao wameelimika hawako tayari kabisa kukikalia kimya na ndio maana ndoa hazidumu.

Tukija kwenye nyakati tunazoishi hivi Sasa wanawake wanawake wamepewa kipaumbele sana katika sekta mbalimbali, kuanzia kwenye Elimu,Kazi, Ajira Serikalini, kwenye uongozi

Kwahiyo Sababu kuu inayofanya ndoa zivunjike Ni ile dhana ambayo wanaume wa nyakati hizi wanazozichukua wakati wa kuingia katika ndoa. Kama mwanaume anaingia na dhana kwamba, “kwakuwa mimi ndio kichwa cha familia ninachokitaka ndo kitakacho kiwe ndio kitakachokuwa na siwezi kuisikiliza mwanamke, kwakuwa mimi ndio baba”. Hapa tusitegemee kabisa ndoa kudumu kwasababu wanawake wameelimika Sasa na wanajua haki zao na hawako tayari kukandamizwa.

Hivyo ushauri wangu Ni kwamba mnapoingia kwenye ndoa inabidi tujue kuwa nyakati zimebadilika kuondoa hizi fikra za mfumo dume, yule ni mke wako, ubavu wako ni usawa wako na sawa na mwenye haki Kama wewe, muheshimu kama utakavyotaka kuheshimiwa na mtendee yale ambayo utakayotaka kutendewa. Na pia mkimshirikishe Mungu ,Nina amini kuwa ndoa yenu itadumu na itahimili mitikisiko yote.
Papa Franis alisema: Siri ya ndoa nzuri iko katika maneno matatu:
please, thanks and sorry
Tafadhali
Asante
Samhani
 
Ndoa za nyakati hizi zina dumu sana! tena tamu sana sijakosea!! ila timing zako tu! tatizo lako au la kijiji chako si la wote humu! sasa hivi watu tumechangamana saana !! ukija mjini unakaa tangu ulipo maliza chuo unapata kazi mpaka unakuwa mtu mzima lkn hola huolewi watu wanapiga una zaa mitoto kumi wanasepa zao!!

Hii umeingia mazingira mapya na watu tofauti sana na kule uliko kulia! Born town haoni tabu kukumwaga kwanza mmetoka mikoa tofauti!!! baadhi hamuaminiani, hasa malimbwata ya kutiana uzezeta, ili uishi mwenyewe baadaye, yanachangia pakubwa!

''ke mnaongoza kwa hili! mnaishi kwa timing za kuua WAanaume zenu sana!! mara ke amroge me'' kwa siri! iliarithi Mali na kwao mbali mmekutana mjini tu! zinakufa kwa sababu mwingine anafanywa kibarua tu wa mwingine hasa me!

Lkn kule home girl tunalishwa yamini km ukiniroga unaanza weye kwanza! tunapewa kinga kabisaa!! tunajenga kwetu kijijini au naoa mtoto wa shangazi yangu tulio kulia pamoja huyu hata akiniua atapata changamoto nyinyi ataogopa tu!

kingine kelele za haki za wanawake na maendeleo tuchape kazi weeee!!
 
Ndoa ni organization kama serikali; Mme ni head of a household, na mke ni msaidizi wake. Iwapo watakua na mitazamo tofauti kuhusu jambo na wakashindwa kuafikiana, basi mtizamo wa mme ndiyo utatekelezwa bila manung'uniko. Watoto wanasikiliza maagizo ya baba na mama, hakuna demokrasi kwenye organization ya nyumba. Sasa iwapo muundo huo ukivunjika, yaani nyumba inakuwa kama ya pwagu na pwaguzi: hajulikani nani mme hajulikani nani mke, basi ndoa hiyo haitodumu kabisa hata kama wahusika ni wavumilivu kiasi gani.
 
Na hili ndo tatizo kwa wanawake wengi kutaka kujilinganisha na wanaume eti 50 kwa 50
Mwanaume ni kichwa cha familia akitoa maagizo lazima yatekelezwe na mtekelezaji ni mwanamke

Maandiko yanasema mwanaume ampende mkewe
Napia mwanamke amtii mumewe sasa aya mambo ya 50 kwa 50 tunayatoa wapi

Mie shida naona inaanzia pale tunapotaka kukopi na kupest kutoka magharibi hao watu tamaduni za hazifai kuigwa ata kidogo

Mwisho kabisa mwanamke atakua chini ya mwanaume katika hali zote mvua au jua
 
Mume mpende mkeo na mke mtii mumeo basi hiyo ndio dawa mkitaka kudumu kwenye ndoa.
Hiyo ni cycle kamili; upendo huzaa heshima, na hesima huzaa upendo. Swali ni kwamba ni nini kinatangulia kupotea kati ya upendo na heshima. Watu wawili wanapooana huwa wanapendana, na in most cases, ndoa hutokana na msukumo wa mme kumpenda mwanamke, siyo kinyume chake. Yaani mwanamke kumependa sana mwanamme hakuwezi kuguarantee kuwa wataoana. Sasa kama walioana kwa kupendana, ndoa huanza kuingia ukakasi wakati mwanamke anakosa heshima kwa mme wake; hilo ndilo jambo linalosababisha mme akose mapenzi kwa mke wake, na spiralling effect inapelekea ndoa kuvunjika.
 
Back
Top Bottom