Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

This is staged fairly tale......kama walikwenda miaka ya 1960-70 kwa nini leo hawana technolojia ya kwenda huko?

Technology ipo tatizo pesa ,kwa sasa safari moja inakadiriwa ku cost $ 110 bIllion au zaidi na pia hawana wa kushindana nae tena zamani walikuwa wanashindanisha nguvu na soviet ya kina yuri gagarin
 
Technology ipo tatizo pesa ,kwa sasa safari moja inakadiriwa ku cost $ 110 bIllion au zaidi na pia hawana wa kushindana nae tena zamani walikuwa wanashindanisha nguvu na soviet ya kina yuri gagarin

I dont think so...teknology hawana....wao wenyewe wanaogopa. Lunar controlls climate and weather on earth, achilia mbali gravitational force na majira....kumbuka pia inareflect miali mikali ya jua na kuipoza inapotua duniani inakuwa haina ukali....wao si wajinga. Huko nyuma walimrusha roho mrusi leo hata wapewe hizo $110 hakuna astronaut atakayekubali kutia timu mwezini...Hujiulizi kwa nini wanang'angania kwenda sayari zingine lakini mwezini hawaendi....?

Mwezi si sayari, it is another thing perhaps dangerous.
 
enzi NASA wanatuma Apollo mpinzani mkubwa alikua Russia na tukio halikua siri,
ina maana miaka yote hiyo Russia walishindwa kujua kuwa ni fake..??
conpiracy theories ziko nyingi sana na hazina maana kuwa ni kweli.
 
Wakuu nimeona NASA wanaendelea kufanya majaribio ya kwenda Anga za mbali lakini sijawahi kuona tena wamefanya jaribio la kurudi mwezini toka enzi za akina Amstrong ,mwenye uelewa wa hili anijuze tafadhari

Hawakuwahi kufika mwezini ilikuwa fabricated story kama ccm walivyokujaga na gia ya babu wa loliondo ya kutibu magonjwa yote.
 
EVERYBODY on Earth was
watching, from the Russians (who, with their not-inconsiderable fleet of space
tracking/space event ships, would have lost no time in exposing it) to keen
astronomers around the world.
This alone tells you they went to the Moon.
 
Hawakuwahi kufika mwezini ilikuwa fabricated story kama ccm walivyokujaga na gia ya babu wa loliondo ya kutibu magonjwa yote.


evidence kubwa ni kuwa jamaa waliacha reflectors kule mwenzini na kuna cordinates zao ambazo ukimulika na high power-laser na light sensor zina reflect mwanga.
kifupi ni kuwa jamaa wana evidence za kufika kule na ingekua poa kama unge search google ziko pointed na zilikua tested
 
evidence kubwa ni kuwa jamaa waliacha reflectors kule mwenzini na kuna cordinates zao ambazo ukimulika na high power-laser na light sensor zina reflect mwanga.
kifupi ni kuwa jamaa wana evidence za kufika kule na ingekua poa kama unge search google ziko pointed na zilikua tested

nothing can beat your gullibility
 
haya mkubwa ila China na Japan waliverify landing sites ambazo Apollo walifika kwa picha walizopiga kwa kutumia spacecraft zao...labda tuseme tuu kuwa Soviet Union,China na Japan walipewa mpunga na NASA ili watudanganye kwa pamoja.
Ila uzuri ni kuwa jamaa walitoa evidence na wakaeleweka vizuri tuu.
 
Mambo ya dini yanatokea wapi tena hapa? Ama kweli nyie ndugu zetu mmelogwa. Sio bure. Yaani hakuna mnachowaza.

na mmelogwa pakubwa ninyi akina norkim kwa kuwamini wamarekani kwa kwenda mwezini kwani wanaubavu huo?mwezini mchezo kwani kuna ushoga kule.
 
na mmelogwa pakubwa ninyi akina norkim kwa kuwamini wamarekani kwa kwenda mwezini kwani wanaubavu huo?mwezini mchezo kwani kuna ushoga kule.

Huitendei haki ID yako mkuu!!
 
Usiamini kila kitu unachoambiwa, hata ukiambiwa uproe utaishia kukimbia tu,.

Eti evidence ni youtube.

Next time be critical in whatever you see.
...hata mimi simuamini Snowden wala eti wikileaks...naamini NSA
 
Inawezekana kweli hizo video zimetengenezewa Nevada au popote pale wanapojua wao ,kwa makosa Kama ya kuonekana kwa kopo la coca cola ,benderea kupepea na hiyo C mark kwenywe jiwe , The question is what if NASA deliraberately made that video to hide what they truly know ????
 
Nimejifunza mambo mengi sana ngoja nikipata muda nitadownload hizi videos nikaangalie
 
Inawezekana kweli hizo video zimetengenezewa Nevada au popote pale wanapojua wao ,kwa makosa Kama ya kuonekana kwa kopo la coca cola ,benderea kupepea na hiyo C mark kwenywe jiwe , The question is what if NASA deliraberately made that video to hide what they truly know ????

Ninacho amini mimi hawa jamaa wanakwenda space tu, lakini mwezini hawajafika wala hawato fika.
 
Ninacho amini mimi hawa jamaa wanakwenda space tu, lakini mwezini hawajafika wala hawato fika.

Mie hayo yote siyajui na sidhani Kama kuna wanao jua ukweli zaidi ya NASA na wanaowawakilisha ndio maana nkasema yote yanawezekana , hizo ni classified informations kwa hiyo wengi wetu tuna speculate tu
 
Im a computer science expert. And i can say Kulikuwa na uwezekano. Ingawa haukuwa as easy as it is now. Well, to be honest im also not 100% sure that it happened. Lakini najaribu kuhoji tu kwamba, kwa evidences za u-fake zinazotajwa, mbona kama ni too reckless not to be seen by NASA themselves. Mfano, chupa ya coke, imewezaje wasione kosa hilo wakiwa wana-shoot that video kama kweli wali-just shoot?... Ingawa siwezi kuthibitisha hili, naona kama hawa conspiracy theorists wamestage this. I mean if you cant trust NASA for that, why would you trust these theorist people? How would you know if thats the real and original video?...


Mkuu nakuunga mkono. Halafu watu wanasahau kuwa kulikuwa na "space race" kipindi hicho kati ya US na USSR kwa hiyo kila alichokuwa anafanya US kuhusu mambo ya anga kilikuwa scrutinized closely na USSR and vice versa hivyo US wasinge-risk kufanya uongo ambao USSR eventually wangekuja kuu-expose. Na hapo kwenye red ndio umeua kabisa "why trust a bunch of douchebags over NASA?"
 
Cheki hawa wendawazimu wamewapinga na sababu za ki msingi kabisa maee na bwasheee.
Krismasi ni mndenyi? au vingunguti?

[h=1]Mythbusters Moon Landing Hoax 1 HQ HD![/h]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom