Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
kama nmekuelewa hiviiiiMhh embu nyie kuweni serious kidogo NASA wameenda mwezini???
kama nmekuelewa hiviiiiMhh embu nyie kuweni serious kidogo NASA wameenda mwezini???
Hakuna watu nisiowapenda kama wanaokataa NASA kwenda mwezini, conspiracy theorists hawafundishiki! Hizo sio facts ni speculation zisizo na msingi, kama unataka angalia kipindi cha Myth Busters kuna episode ya kujibu hizo conspiracy za mwezini.
Wakuu nimeona NASA wanaendelea kufanya majaribio ya kwenda Anga za mbali lakini sijawahi kuona tena wamefanya jaribio la kurudi mwezini toka enzi za akina Amstrong ,mwenye uelewa wa hili anijuze tafadhari
Hakuna watu nisiowapenda kama wanaokataa NASA kwenda mwezini, conspiracy theorists hawafundishiki! Hizo sio facts ni speculation zisizo na msingi, kama unataka angalia kipindi cha Myth Busters kuna episode ya kujibu hizo conspiracy za mwezini.
Mkuu sijakusoma bado hebu nifafanulieHili ndilo jambo nimeeleza sasa hivi. Warusi wameuteka mwezi. They have bases on the near side and on the far side of the moon. Warusi wametua on the moon unannounced in 1979. They have manned bases armed with particle beam weapons,na hakiruki kitu kutoka ardhini bila ruhusa ya Warusi. Wamarekani walitua mwezini mara mbili halafu sasa wamezuiwa.
I dont think so...teknology hawana....wao wenyewe wanaogopa. Lunar controlls climate and weather on earth, achilia mbali gravitational force na majira....kumbuka pia inareflect miali mikali ya jua na kuipoza inapotua duniani inakuwa haina ukali....wao si wajinga. Huko nyuma walimrusha roho mrusi leo hata wapewe hizo $110 hakuna astronaut atakayekubali kutia timu mwezini...Hujiulizi kwa nini wanang'angania kwenda sayari zingine lakini mwezini hawaendi....?
Mwezi si sayari, it is another thing perhaps dangerous.
Hapo kwenye red, nina mashaka ulichoandika hukijui?
Ha
Ha
Ha
Ha
Ha
Ha
Ha
Sababu za NASA kutokwenda mwezini ni hizi hapa :
1.vyanzo vingi vya mwanga.
Tujuavyo mwezini source ya light ni moja nayo ni jua,kwa maana hiyo kivuli cha vitu vyote kitakuwa upande mmoja,ukiangalia kwenye picha hapo chini utaona aina tofauti za mwelekeo wa vivuli hii ianonesha kwamba the video might have shot somewhere.![]()
2.The van Allen radiation belt.
hii ni mionzi hatari sana ambayo inauwezo wa kuyeyusha hata aluminium,swali la kujiuliza ni je hawa jamaa wa NASA walivuka vipi hapa?
![]()
3.Bendera inayopepea,jamaa wa NASA anaonekana amesimama pembeni mwa bendera inayopepea,swali la kujiuliza ikiwa kwenye mwezi hakuna hewa,je bendera iliwezaje kupepea?
![]()
4.vitu visivyoelezeka:
ukiangalia kwenye picha hapo chini kwenye helment ya astrounant utaona reflectio ya kitu kinachohang hewani kikiwa kimeshikiliwa kama na kamba hivi,hii ianonesha jinsi gani hawa jamaa walikua wanarekodi
![]()
5.kwenye picha hakuna nyota:
ukiangalia kwenye picha zao eti hakuna nyota wakati kila mtu anajua kwamba kwa umbali huo nyota zitakua kedekede.
![]()
6.Alama ya "C" kwenye muamba wa mwezini:
hii inaonesha jinsi gani wapiga picha walivyokuwa wanaweka alama zao kwa ajili ya ku-shoot,wenyewe walipoulizwa walikosa majibu.
![]()
7................n.k.
Wakuu nimeona NASA wanaendelea kufanya majaribio ya kwenda Anga za mbali lakini sijawahi kuona tena wamefanya jaribio la kurudi mwezini toka enzi za akina Amstrong ,mwenye uelewa wa hili anijuze tafadhari
Angalau wewe umesema unaamini, so huna uhakika.Ninacho amini mimi hawa jamaa wanakwenda space tu, lakini mwezini hawajafika wala hawato fika.
Nami pia nasubiria majibu.Samahani kama niko nje ya Mada..je vipi story za Yuri Gagarin wa Urusi??? Alifika mwezini au chenga tupu?