Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

Nadhani lengo la USA kwenda mwezini ilikuwa ni kushinda tu space race. Kwamba kwa kuwa Warusi wamekuwa wa kwanza kwenda angani basi sisi twende ambako hawajafika.
Ikumbukwe pia dunia iliwahi kuwa na supersonic passenger plane ila leo hatuna. Kwa hiyo tuconclude kwamba hakukuwahi kuwa na Tupolev Tu-144 au Concorde kisa leo hazipo na hamna ndege ya ku achieve supersonic speed?
Concorde vipo kwenye mpango wa kurudishwa tena kazin kama zaman
 
Wakuu nimeona NASA wanaendelea kufanya majaribio ya kwenda Anga za mbali lakini sijawahi kuona tena wamefanya jaribio la kurudi mwezini toka enzi za akina Amstrong ,mwenye uelewa wa hili anijuze tafadhari

Fatilia nina Uzi unaitwa a journey to mars utapata majibu kiasi chake.. safari ya kwenda mirihi.. search kwa kutype hivyo utaupata..
 
Hakuna haja ya kurudi mwezini kisayansi, hivyo hakuna sababu ya kuhatarisha maisha ya watu. NASA walitua mwezini mara 6 kati ya 1969 na 1972.
Cold war ndio ilichochea marekani kwenda mwezini.Baada ya cold war hakuna aliyetamani kurudi mwezini
 
Wakuu nimeona NASA wanaendelea kufanya majaribio ya kwenda Anga za mbali lakini sijawahi kuona tena wamefanya jaribio la kurudi mwezini toka enzi za akina Amstrong ,mwenye uelewa wa hili anijuze tafadhari
valid question
 
Kati ya siri nzito mojawapo ni ukweli kuhusu muonekano au umbo la sayari.
 
Sababu gan cold war adi ichochee hao marekani kwenda mwezini
Ni gharama sana kwenda mwezini.Mwaka1969 iligharami dola bilioni 20 kutua mwezini.
Na kwa sasa inasadikiwa zinahitajika bilioni 120.
Pia NASA bajeti ya NASA imepungua toka adilimia 4 mpaka 0.4 %.

Utaalamu wa kufika upo ila bajeti haipo.Vita baridi ya miaka ya 60 iliwachochea wamarekani wajibane wapate hizo bilioni 20.Lakini kwa sasa kurudi nwezini sio kipaumbele cha Marekani.Tangu mwaka 1969 mpaka mwaka 1970 wamerekani walipeleka vyombo vyombovitano mwezini na jumla ya watu 12 wamefika mwezini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom