Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

Exactly!... Na kama ni wali-stage everything, watu hawajiulizi katika uongo mkubwa kama huo, waliwezaje kushindwa kuzuia loopholes kama upepo na chupa ya cocacola?. I dont think walikuwa too stupid to notice that when they were allegedly 'shooting' that video.
Kwa hiyo mwezini kuna upepo mpaka bendera ipepee kwa upepo?
 
Nadhani lengo la USA kwenda mwezini ilikuwa ni kushinda tu space race. Kwamba kwa kuwa Warusi wamekuwa wa kwanza kwenda angani basi sisi twende ambako hawajafika.
Ikumbukwe pia dunia iliwahi kuwa na supersonic passenger plane ila leo hatuna. Kwa hiyo tuconclude kwamba hakukuwahi kuwa na Tupolev Tu-144 au Concorde kisa leo hazipo na hamna ndege ya ku achieve supersonic speed?
 
Ni kweli, tangu lini bendera imapepea mahala ambako hakuna hewa? Pia nasikia kwenye video clip zao kulionekana kopo la Coca-Cola mchangani. Mambo ya Nevada hayo!
Ahaha naomba link mkuu
 
Wamerekani wanao mission ya kwenda mwezini 2024- NASA Artemis programme .Tuvute subira ndugu wananchi.
 
Ni kweli, tangu lini bendera imapepea mahala ambako hakuna hewa? Pia nasikia kwenye video clip zao kulionekana kopo la Coca-Cola mchangani. Mambo ya Nevada hayo!
Ndugu,
Nimekuita ndugu makusudi,
Usipende kuibana akili yako..kua mtumwa wa maarifa..
Naishia hapo.



sent from Samsung Galaxy A30
 
Kwahiyo unataka tuamini kwamba NASA walipeleka mwanadamu mwezini?

Kuna video 3 nimeweka hapo juu kutoka Youtube. Angalia! Kama hautoziamini hizo basi tena. Yaani hao walisadikiwa kwenda mwezini wanaulizia TV sets zipo teyari? Talk? Prototype ya mwezini na space shuttle data simulator, n.k.

Swali la kizushi: mwaka 1969 walipita kwenye ukanda wenye mionzi ya sumu inakuwaje miaka 30 baadae watangaze kwamba wanaogopa kupeleka watu juu kwani ule ukabda ni tishio? Walipitaje mwaka ule?

P. S. If you can't make it fake it!
Ziko wapi mkuu?
 
Yaan chupa ya koka ndo iwe fact ya kubisha kuwa n uongo?

Je, km ni chupa waliyotoka nayo duniani?

Kuna vitu bila kujiongexa hutoboi
 
Wakuu na kama lile kopo la coca cola lililoonekan
Si kwamba ndo walikua na hicho kinywaj baada ya wao kutumia ndo wakalitupa hadi kutokea kuonekana?? Kuna ushahid gan kua c kweli walienda huko mwezini??? Hao bbc kam wao ndo wameamua ku editing tusemeje hapo nan wa kumwamini hapa NASA or BBC?????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom