Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

Hapa nadhani nitapata mengi kuhusiana na hii ya kwenda mwezini.
 
Nilisikia hawa jamaa ni waongo kuhusu hiyo kitu ya kwenda mwezini

Mkuu usiwe mjinga kufuata mkumbo? Unajua ni Kina nani walioleta hii theory ya NASA kutokufika mwezini? Unajua kuna wenzetu kwa mujibu wa dini zao wanaamini ile ni sehemu takatifu ambayo binadamu hawezi kwenda? Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Exactly!... Na kama ni wali-stage everything, watu hawajiulizi katika uongo mkubwa kama huo, waliwezaje kushindwa kuzuia loopholes kama upepo na chupa ya cocacola?. I dont think walikuwa too stupid to notice that when they were allegedly 'shooting' that video.

Mkuu unaamini kabisa kwa teknolojia ya miaka ya 60 kulikuwa na uwezekano wa kupata picha live moja kwa moja toka mwezini yapata kilometa laki nne?
 
Mkuu unaamini kabisa kwa teknolojia ya miaka ya 60 kulikuwa na uwezekano wa kupata picha live moja kwa moja toka mwezini yapata kilometa laki nne?

Im a computer science expert. And i can say Kulikuwa na uwezekano. Ingawa haukuwa as easy as it is now. Well, to be honest im also not 100% sure that it happened. Lakini najaribu kuhoji tu kwamba, kwa evidences za u-fake zinazotajwa, mbona kama ni too reckless not to be seen by NASA themselves. Mfano, chupa ya coke, imewezaje wasione kosa hilo wakiwa wana-shoot that video kama kweli wali-just shoot?... Ingawa siwezi kuthibitisha hili, naona kama hawa conspiracy theorists wamestage this. I mean if you cant trust NASA for that, why would you trust these theorist people? How would you know if thats the real and original video?...
 
Mkuu usiwe mjinga kufuata mkumbo? Unajua ni Kina nani walioleta hii theory ya NASA kutokufika mwezini? Unajua kuna wenzetu kwa mujibu wa dini zao wanaamini ile ni sehemu takatifu ambayo binadamu hawezi kwenda? Akili za kuambiwa changanya na zako.

Ningefurahi kama kiraia usingeweka neno "MJINGA" maana post yangu imeanza na neno "NILISIKIA" kwa mantiki sina uhakika na hilo. So what the issue ku-come up na conclusion ya mjinga?
 
Last edited by a moderator:
Ningefurahi kama kiraia usingeweka neno "MJINGA" maana post yangu imeanza na neno "NILISIKIA" kwa mantiki sina uhakika na hilo. So what the issue ku-come up na conclusion ya mjinga?

Sijasema wewe ni mjinga ila nimesema usiwe mjinga kwa kufuata mkumbo, nikimaanisha ukiwaamini hao nawe utakua mjinga kama wao.
 
Last edited by a moderator:
ni waafrika tu na uwezo wetu wa kuelewa ulivyo mdogo ndio tunabisha watu hawakwenda mwezin, tecknolojia ipo no doubt about it its just its that hakuna haja tena maana hakuna life ndo mana sasa ivi wako bize kwenda kutafuta life ktk sayar nyingine!!
 
NASA bado wanaenda mwezini kama kawa na kulikuwa na appolo 19 na 20 na appolo 20 ilirudi na miili ya some aliens walioyoikuta huko. The problem is kuna aliens huko na wanamitambo yao ndo maana at some point Astronauts wanaogopa ogopa kwenda. According to my view.
 
There are so many things about the Universe and the gallaxy tunafichwa na governments hasa USA na Rassia. They have a lot going on in the sky. May be China will tell the truth someday
 
Ingia YouTube kuna clips kibao za documentaries kwamba ni uongo uliopikwa vizuri miaka hiyo, hakuna aliyewahi kufika mwezini, watakuonesha hata ufeki wa zile video za NASA

Kwanini uwaamini youtube na sio NASA??

How credible is youtube compared to NASA??
 
Kwa upande wangu under simple logic is that, there is nothing more to explore in the moon, no possibilities of life, its just a desert with nothing to wonder.

There are massive wonderful objects to explore in the universe, there are possibilities possibilities of life across all planets, its what NASA should do.
 
There are so many things about the Universe and the gallaxy tunafichwa na governments hasa USA na Rassia. They have a lot going on in the sky. May be China will tell the truth someday

What i wish in life is to see life in the other planets.
 
Kwanini uwaamini youtube na sio NASA??

How credible is youtube compared to NASA??

YouTube kwa maana ya kwamba documentaries zimekuwa uploaded pale, not amateur stuff, crews walioenda 'mwezini' wamehojiwa hakuna aliyetoa majibu kutokana na evidence waliyopewa.
 
NASA bado wanaenda mwezini kama kawa na kulikuwa na appolo 19 na 20 na appolo 20 ilirudi na miili ya some aliens walioyoikuta huko. The problem is kuna aliens huko na wanamitambo yao ndo maana at some point Astronauts wanaogopa ogopa kwenda. According to my view.

Miili ya Alliens waliyoikuta!!!!!!!! Duh wewe umezidi uongo.
 
Kaka ile ilikuwa ni uongo, kuna documentary moja ya BBC uingereza ilionesha facts jinsi isivyokuwa kweli. Ile walioonesha waliiandaa marekani na eneo walofanyia hiyo movie ni sealed hakuna ruksa kuingia

Kuna waafrika wajinga humu Duniani, sijapata ona!
 
Exactly!... Na kama ni wali-stage everything, watu hawajiulizi katika uongo mkubwa kama huo, waliwezaje kushindwa kuzuia loopholes kama upepo na chupa ya cocacola?. I dont think walikuwa too stupid to notice that when they were allegedly 'shooting' that video.

mkuu katika kila uongo kuna ignorance....!! uongo mkubwa lazima uwe na mpenyo wa kukudhalilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom