FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Mlalahoi,
Mwaka jana kwenye kugombea nafasi ndani ya CCM, inaeleweka kuwa JM hakuondolewa kihalali, we ulikua hujui hilo?, na hata akigombea tena hawatampa, nimesikia sikia kuwa ana visasi, wanamuogopa. Kama ni uongo au kweli mi sijui. Jamani mtafanya tuandike tusiopenda kuandika, tunaomba hizi personal topics zifungwe!
Kwahiyo hiyo point ya pili nai crash, ile ya kwanza unaweza kuwa sahihi.
FD
Mwaka jana kwenye kugombea nafasi ndani ya CCM, inaeleweka kuwa JM hakuondolewa kihalali, we ulikua hujui hilo?, na hata akigombea tena hawatampa, nimesikia sikia kuwa ana visasi, wanamuogopa. Kama ni uongo au kweli mi sijui. Jamani mtafanya tuandike tusiopenda kuandika, tunaomba hizi personal topics zifungwe!
Kwahiyo hiyo point ya pili nai crash, ile ya kwanza unaweza kuwa sahihi.
FD