Kwanini Mwanza isipate Uwanja mzuri wa mpira?

Kwanini Mwanza isipate Uwanja mzuri wa mpira?

KOMANDO YOSO

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2023
Posts
819
Reaction score
2,864
B52A9157-062A-4F31-A347-AF5C80569A9F.jpeg
7D8BD7BC-5792-4B76-9B2B-4CDE2A6D8CD9.jpeg

KWANINI Mwanza isipatiwe kiwanja cha mpira kizuri kama jiji la Dar, Arusha na Dodoma.

1.Mwanza ni jiji la pili Tanzania kwa watu wengi

2.Mwanza inatoa vipaji vya mpira vingi sanaa kama Aisha masaka,mrisho ngasa na wengine wengi.

3.Mwanza pia ni jiji lenye vivutio vya utalii pia na ni central ya mikoa ya kanda ya ziwa

4.Mwanza pekee ndio jiji lenye stendi mbili za mabasi pia uwepo wa usafiri wa aina zote ndege,bus,Maji na kadhalika.

5.Mwanza ina vibe sana mtupe uwanja msitubainie ata sisi tunataka kiwanja cha mpira hii nchi isijengwe upande mmoja tu.
Sisi atuhitaji gofu la CCM kirumba tu nahitaj kiwanja cha umma.

Capacity ya uwanja watu elfu 70.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Na iitwe fish stadium 🏟
 
Tutaomba pesa kwenye Bajeti ya Serikali ya 2025/2026 ili tuboreshe CCM Kirumba Stadium! Na hili kila mwana Mwanza analiunga mkono. Uwanja upo katikati ya Jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilemela. Jirani kuna Rock City Mall na View nzuri ya Ziwa Victoria. CCM Kirumba Stadium kwakweli inatosha!
 
View attachment 3289939View attachment 3289940
KWANINI Mwanza isipatiwe kiwanja cha mpira kizuri kama jiji la Dar, Arusha na Dodoma.

1.Mwanza ni jiji la pili Tanzania kwa watu wengi

2.Mwanza inatoa vipaji vya mpira vingi sanaa kama Aisha masaka,mrisho ngasa na wengine wengi.

3.Mwanza pia ni jiji lenye vivutio vya utalii pia na ni central ya mikoa ya kanda ya ziwa

4.Mwanza pekee ndio jiji lenye stendi mbili za mabasi pia uwepo wa usafiri wa aina zote ndege,bus,Maji na kadhalika.

5.Mwanza ina vibe sana mtupe uwanja msitubainie ata sisi tunataka kiwanja cha mpira hii nchi isijengwe upande mmoja tu.
Sisi atuhitaji gofu la CCM kirumba tu nahitaj kiwanja cha umma.

Capacity ya uwanja watu elfu 70.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Na iitwe fish stadium 🏟
Hatizo ni ma CCM maana Kirumba iko chini yao na hawako tayari kuiboresha!
Mwanza barabara hovyo sana na hakuna anayejali!
 
Tutaomba pesa kwenye Bajeti ya Serikali ya 2025/2026 ili tuboreshe CCM Kirumba Stadium! Na hili kila mwana Mwanza analiunga mkono. Uwanja upo katikati ya Jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilemela. Jirani kuna Rock City Mall na View nzuri ya Ziwa Victoria. CCM Kirumba Stadium kwakweli inatosha!
Acha mbwembwe lile gofu tunahitaji uwanja wa umma nani alikwambia wanaunga mkono
 
View attachment 3289939View attachment 3289940
KWANINI Mwanza isipatiwe kiwanja cha mpira kizuri kama jiji la Dar, Arusha na Dodoma.

1.Mwanza ni jiji la pili Tanzania kwa watu wengi

2.Mwanza inatoa vipaji vya mpira vingi sanaa kama Aisha masaka,mrisho ngasa na wengine wengi.

3.Mwanza pia ni jiji lenye vivutio vya utalii pia na ni central ya mikoa ya kanda ya ziwa

4.Mwanza pekee ndio jiji lenye stendi mbili za mabasi pia uwepo wa usafiri wa aina zote ndege,bus,Maji na kadhalika.

5.Mwanza ina vibe sana mtupe uwanja msitubainie ata sisi tunataka kiwanja cha mpira hii nchi isijengwe upande mmoja tu.
Sisi atuhitaji gofu la CCM kirumba tu nahitaj kiwanja cha umma.

Capacity ya uwanja watu elfu 70.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Na iitwe fish stadium 🏟
Kuna Timu yakuchezea na kuutunza ? Mfano Brazil walijenga viwanja viingi ili vingine vimekuwa parking ya Magari Sababu kuu hakuna Timu za kuuchezea
 
Kwa hiyo Dodoma na Arusha waweze kuutunza na kupata timu ya kuchezea harafu Mwanza mji mkubwa ukose? Acha utoto!
Wana Tim Ndio maana uko hivo ,umeelewa nachokiongea mfano Uwanja WA Jamhuri Morogoro uko central ya mji ila kwakuwa hakuna Tim yakuelewaka kuuchezea Uwanja hauna matunzo sahihi
 
Tutaomba pesa kwenye Bajeti ya Serikali ya 2025/2026 ili tuboreshe CCM Kirumba Stadium! Na hili kila mwana Mwanza analiunga mkono. Uwanja upo katikati ya Jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilemela. Jirani kuna Rock City Mall na View nzuri ya Ziwa Victoria. CCM Kirumba Stadium kwakweli inatosha!
Yeah mkuu, mawazo yangu kama yako. Kirumba ifumuliwa isukwe vyema kiwe kiwanja kikaliiiii
 
Kuna hoja hapa
Mashindano ya AFCON , Mwanza ilitakiwa ipewe nafasi
1. Dodoma- Capital na ni njia mojawapo ya kuendeleza Jiji. Inafikika na watu wa kanda zote
2. Dar es Salaam- Hii inaeleweka kwanini! Jiji la Biashara
3. Arusha- Jiji kubwa na makao makuu ya EA. Kuna utalii
4. Zanzibar- Aman inaingiza watu 30,000, imepewa kwasababu ya Muungano! na kwa gharama za Mwanza

Kwanini Mwanza
  • Idadi ya watu wanaoweza kujaza Uwanja hata kufikia 100,000
  • Imekaa vizuri kufikika kutoka Kisumu, Kampala, Bujaumbura, Kigali hata DRC
n.k.

JokaKuu @
 
Kuna hoja hapa
Mashindano ya AFCON , Mwanza ilitakiwa ipewe nafasi
1. Dodoma- Capital na ni njia mojawapo ya kuendeleza Jiji. Inafikika na watu wa kanda zote
2. Dar es Salaam- Hii inaeleweka kwanini! Jiji la Biashara
3. Arusha- Jiji kubwa na makao makuu ya EA. Kuna utalii
4. Zanzibar- Aman inaingiza watu 30,000, imepewa kwasababu ya Muungano! na kwa gharama za Mwanza

Kwanini Mwanza
  • Idadi ya watu wanaoweza kujaza Uwanja hata kufikia 100,000
  • Imekaa vizuri kufikika kutoka Kisumu, Kampala, Bujaumbura, Kigali hata DRC
n.k.

JokaKuu @

..badala ya Dodoma wangepeleka mashindano Mwanza.

..pia Mwanza inastahili uwanja wa ndege wenye hadhi ya kimataifa.
 
Kama uligundua JIWE aliipenda sana Mwanza alianzisha Miradi mingi sana hata SGR bila kufosi isingefika Mwanza...Kwa muhula huu wa Kizimkazi Mwanza itapata tabu sanaa yaani hasa uwaambie swala la Uwanja hawawezi kuelewa zaidi watatoa 100M uwanja upigwe rangi ya bendera za TZ alafu ndio imeisha iyo
 
Back
Top Bottom