Kwanini Mungu yupo?

Kwanini Mungu yupo?

Hapana...Hatuitaji kuamini Mungu ili kujenga mahusiano. Mungu Hana haja ya kuaminiwa ili binadamu tuendelee.
Tutadevelelop morals,justice, constitution, principles na governance bila hata kuhitaji kuamini Mungu.
Maana hivyo vitu vyote havihusiani na Mungu
basi tuhitimishe Mungu ni nadharia ya mwanadam kukabiliana na hofu na kujipa tumaini
 
Nakuabudu....Mungu wanguu...Eehh Mungu naomba unibariki. Usiponibariki ntaenda kucheki Kwa Mungu wa mwamposa, akishindwa ntaenda Kwa Mungu wa Waislam.
Ila yote haya ni kwaajili ya umasikini TU ..Mi najua siku nikitajirika ntaacha hata kwenda kanisani.
Umejitahidi at least
 
Mungu aliyetuumba binadamu wote na kuumba ulimwengu wote
Kwa muktadha huo, wewe unatambua uwepo wake Mungu, ila unatamani kujua kwanini Mungu yupo?

Jibu:
Mungu muumbaji wa ulimwengu wote wa kiroho na halisi (Spiritual and physical), yupo ili ulimwengu wote wa kiroho na halisi (Spiritual and physical) uwepo. Bila uwepo wa Mungu hakuna ulimwengu wote wa kiroho na halisi (Spiritual and physical).
 
Mi naona dini ndio imeleta maangamizi kwenye hii Dunia
1.Vita vya kidini(Jihad,Israel-palestine,Iran Vs USA,North vs South Sudan)
2.Utengano wa watu kisa dini (watu hawaoani kisa dini,Watu hawasalimiani kisa dini,Watu hawasalimiani kwenye shida kisa tofauti za kidini,mpaka misibani wengine hawafiki kisa dini)
3. Dictatorship kisa dini: System nyingi za kidini ni Dictatorship..Ukhalifa wa kina Muhammad na Umar ni udictator
Na Upapa ni udikteta (roman empire)
Dini inatawala Kwa mabavu, inafanya binadamu waishi kama jela kisa Imani za kidini, Saudia mtu anaogopa hata kusema Yesu anaweza kukatwa kichwa.
4.Mengineyo (Utumwa,ukandamizaji wa wanawake,Mauaji kisa dini,Ugaidi wa kidini,Usaliti,Unyang'anyi, nk. Nk )
kuna hoja nzito hapa.
najarib kufikiri kwamba bila uwepo wa hofu na tumaini, je mwanadam ataishi kwa mizania gani? ni sawa na kujadir uoteshaji wa mmea bila pa wapi utashikiria hata kama si lazma udongo! ndo Mungu, kwa mtazamo wangu, akaibuliwa.

ninachokubaliana na wewe ni kwamba huenda tungekuwa salama zaid kama tungeishi kwa kanuni za asili ikiwemo survival of the fittest, kuliko mtafaruku uliozalishwa na nadharia ya Mungu, mungu, imani na dini!

Adui yetu mkubwa ni KESHO!
 
Nakuabudu....Mungu wanguu...Eehh Mungu naomba unibariki. Usiponibariki ntaenda kucheki Kwa Mungu wa mwamposa, akishindwa ntaenda Kwa Mungu wa Waislam.
Ila yote haya ni kwaajili ya umasikini TU ..Mi najua siku nikitajirika ntaacha hata kwenda kanisani.
 
kma Mungu ni super energy na energy ndo imefanya maumbile yote yanayooneka na yasio uonekana yawepo katika frequence mbalimbal , nawezaje kusema hiyo energy haija umba kila kitu?kumbuka energy hiyo ipo kwenye mwendo na frequence mbalimbali ndo maana kuna maumbile mengne sio rahis kuyaona kutokana yapo kwenye speed kubwa na frequence ha hali ya juu.
Nilikuambia mwanzo kua uki set vi principle vya kijanja janja kwa malengo ya kuthibitisha jambo lisilo na uhalisia itakuwa ngumu sana kufika hitimisho wa jibu lako bila kuivuruga principle

Kwahiyo unakana hoja yako ya awali uliyosema kuwa Energy haiumbwi?
 
Maana yangu ni hii kwamba mtu ajue vitu vidogo vya awali kwanza ndipo awe na msingi wa kuweza kujua vitu vikubwa.

Ameuliza kwanini Mungu yupo ilhali yeye mwenyewe hajui kwanini yeye yupo !!!--- Yeye yupo kwasababu Mungu kamuumba ili amuabudu Yeye Mungu hivyo basi Mungu yupo kwasababu, tofauti na sifa ya binadamu na vitu vingine, Yeye Mungu anayo sifa ya UMILELE, sifa inayojitambua na yenye nidhamu, sifa ya umilele ni kwamba haiumbwi na wala haina mwanzo wala mwisho na kila kitu chenye Umri (muhula) kimetokana na huo umilele isitoshe huo umilele unaweza kuumba vitu vya milele mfano Roho, Malaika na vingine tusivyovijua. Sasa jibu la swali lake kwanini Mungu yupo ni hilo kwamba Yeye yupo kwasababu ya sifa yake ya UMILELE, yaani umilele hauna mwanzo wala mwisho na ndio maana Mungu alikuwepo, yupo na atakuwepo daima.

Hivyo yampasa ajue sio tu kwamba Mungu yupo leo bali alikuwepo, yupo na atakuwepo DAIMA.
Yeye yupo kwa ajili ya kumuabudu Mungu tu?

Ni kumuabudu tu au kuna kingine cha ziada?

Yani ni sawa uajiri watu uwe unawalipa mshahara mnono kwa kazi ya kukusifia tu

Inshort umemfanya Mungu wako aonekane hana malengo au sababu za msingi za yeye kuumba watu

Mungu katuumba kwa kazi ya uchawa
 
Yeye yupo kwa ajili ya kumuabudu Mungu tu?

Ni kumuabudu tu au kuna kingine cha ziada?

Yani ni sawa uajiri watu uwe unawalipa mshahara mnono kwa kazi ya kukusifia tu

Inshort umemfanya Mungu wako aonekane hana malengo au sababu za msingi za yeye kuumba watu

Mungu katuumba kwa kazi ya uchawa

Kwanza lazima ujue Mungu anapotaka kuumba kitu anakiamuru kiwe na kinakuwa wala katika hilo hahitaji ushauri kutoka popote, Yeye ndiye Causa causan.

Kwa yeye kukuumba wewe ili umuabudu ni kwa ajili ya faida yako wewe kwani unapomuabudu anakulipa, kifupi ni kwamba katika ibada ni wewe ndiye unafaidika wala sio Yeye kwani Yeye amejitosheleza na kila kitu ukiwemo wewe ni mali yake na kama angependa angekuumba nyumbu ili ukawe chakula cha fisi na mamba.

Umshukuru Yeye kukuumba binadamu unayejitambua basi toa shukrani zako kwake aliyekuumba na fanya ibada kwake.
 
Hakukuwa na error isipokuwa amevipa viumbe free will na ujuzi wa kutambua baya na jema lakini wanatakiwa na anawataka wafanye mema na yule mwenye kushinda huo mtihani atazawadiwa na aliyeshindwa ataadhibiwa.
Binadamu hatuna free will kama mungu anajua yote yatakayo tokea mbeleni na kingine ww unajuaje una free will
 
Mungu ni baba, kwa maana rahisi ni mzazi, furaha yake ni watoto alioumba, ametuumba kwasababu anafurahia kuwa mzazi, hali kadhalika wewe kuna jambo au hali fulani unayofurahia pale unapoitwa baba ndio maana unatamani kuwa na watoto
Je wewe kama mzazi mwanao akikosea unamuua au unampa adhabu ya milele
 
Kulingana na imani za dini, Mungu alikuwepo, yupo na ataendelea kuwepo (haitaji sababu ya nje ili awepo)

Kama hilo jibu halijitoshelezi kwako, basi inabidi uipinge hiyo imani na kukataa kabisa uwepo wa Mungu.
Mungu yupo ila dini zetu ndio za uongo, uongo mwingi sana kwenye dini zetu
 
Back
Top Bottom