Kwanini Mungu anaitwa Mungu na hakuitwa jina lingine? Kama Shetani ni mharibifu kwanini aliachwa hai?

Mungu siyo jina. Mungu ni cheo kama vile Rais. Pia Mungu hakummaliza Shetani sababu alitaka ifanyike fair trial. Kummaliza tu ingekuwa sawa na Lynching. Na hata wanaomuunga mkono wangemshangaa.
Well saidđź‘Ťsoma 38 na 45. Iko well detailed
 
Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?

Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?
Swali la kwanza linaonyesha una upeo finyu wa kufikiri. Kwamba kwa nini aitwe Mungu na si jina jingine!!? Ungependa aitwe nani labda? Mfano kwa nini mama yako umwite mama na sio jina jingine? Anyway MUNGU sio jina bali ni sifa, ok?

Kwamba kwa nini hakumuua shetani!? Hayo ni matakwa yako, lakini Mungu alichagua kumwadhibu kwa kumfukuza mbinguni. Mwanadamu naye alinunua kesi pale alipoamua kumuasi Mungu na kuisikiliza sauti ya shetani. Kwa hiyo haya ni mateso ya kujitakia, kwa nini alaumiwe Mungu?
 
Jehovah Mungu hakumuumba Shetani; labda useme Allah ndiye aliyemuumba Shetani(Allah siyo Mungu wa kweli). Tafadhali soma Ezekiel 28:13-19 utaona kuwa Shetani alikuwa Malaika mzuri kabisa na inadokeza kuwa alipewa pia jukumu fulani ktk Bustani ya Eden. Baada ya kuona uzuri na fahari aliyopewa akapata kiburi na hatimaye akamsingizia Jehovah kwa Hawa na baadae kwa Adam kuwa yeye Jehovah hakusema ukweli kuhusu TUNDA LA MTI WA KATI. Yesu alipokuwa hapa Duniani alizungumzia hilo ktk John 8:44 "Shetani hakusimama imara ktk kweli..." akaamua kusema uwongo. MANENO HAYO YAONESHA KUWA HAPO MWANZO ALIKUWA MALAIKA MZURI. Nikupe mfano: Baba na Mama wanapata mtoto mchanga matarajio yao ni mtoto huyo kuwa mtu mzima mwenye maadili mema. Endapo itatokea mtoto huyo akawa mwizi, wakulaumiwa si wazazi bali ni huyo mtoto kuwa alijiachi
Simple tu, huyo mtoto ningekuwa mimi ndio niliyemuumba, nisingemuumbia au kuumba tamaa kwake. Kumbuka mungu ndio mwanzo na muumba wa kila kitu
 
kwanini ilikuwa hivyo na sio tofauti ili kumaanisha hiki kinachomaanishwa?
Walioeka hivo viwakilishi wakaandika vitabu na kufundisha watu kua hivyo, waweza kutafsiri upendavyo nawe pia.

Usingoje kuambiwa mengi ni propaganda tu.
 
Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?

Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?
Ulimwengu umeanzishwa na aliyeuanzisha....anapanga atakalo.....ikiwa bosi wangu tu siwezi kumpinga katika majukumu anipangiayo sembuse aliyeuanzisha ulimwengu?!!!!

Shetani ni UASI na MATENDO yote yanayokwenda kinyume na "program" za ustawi/ubora wa mwili wa mwanadamu.....

Wanasema kuna "tukufu 3"...TRUTH...LOVE.... WISDOM....kinyume na hivyo vitatu ndio USHETANI WENYEWE.......

Kama lilivyo jua huwa linachomoza kila asubuhi na halikosei kuchomozea magharibi basi hata muumba jua alimuumba shetani ili ajaribu kuuharibu mfumo bora wa maumbile....aliharibu jua na "lichomoze kutokea magharibi" sasa binadamu katika ukamilifu wa akili na umbile lake akapewa utashi....na maelekezo kuwa ampinge shetani asishiriki katika huo uasi wa kutaka kulichomoza jua kutokea magharibi.......binadamu atakaye mtii shetani basi amekuwa ni rafiki yake na ATAPEWA ADHABU KAMA YA HUYO MUASI SHETANI.....

Fikiria jua likichomozea magharibi ni vipi utaratibu wa dunia na ustawi wake utakavyokuwa?!!!


***************

Never give wisdom to unworthy because it's unfair to the knowledgeable
 
Swali la kwanza linaonyesha una upeo finyu wa kufikiri. Kwamba kwa nini aitwe Mungu na si jina jingine!!? Ungependa aitwe nani labda? Mfano kwa nini mama yako umwite mama na sio jina jingine? Anyway MUNGU sio jina bali ni sifa, ok?

Kwamba kwa nini hakumuua shetani!? Hayo ni matakwa yako, lakini Mungu alichagua kumwadhibu kwa kumfukuza mbinguni. Mwanadamu naye alinunua kesi pale alipoamua kumuasi Mungu na kuisikiliza sauti ya shetani. Kwa hiyo haya ni mateso ya kujitakia, kwa nini alaumiwe Mungu?
 
Mungu yupo nje ya time dimension.

So kifupi haeleweki na hatokaa aeleweke.

Ukitakaa uwe kichaa endelea kutaka kumwelewa.
Si kweli kuwa HAELEWEKI ukitaka kuishi kibusara....

Anaeleweka....vyovyote umuitavyo....ila ukiitambua thamani ya binadamu/ulimwengu na ubora alionao/ulionao basi yatosha tu kumjua na kumsifu aliyewaumba wanaadamu na ulimwengu.....
 
Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?

Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?
Ngoja siku mkionana umuulize hayo 'maswali' ambayo mara nyingi huuliza vichanga wanaoanza kujifunza kufikiri
 
Ulimwengu umeanzishwa na aliyeuanzisha....anapanga atakalo.....ikiwa bosi wangu tu siwezi kumpinga katika majukumu anipangiayo sembuse aliyeuanzisha ulimwengu?!!!!

Shetani ni UASI na MATENDO yote yanayokwenda kinyume na "program" za ustawi/ubora wa mwili wa mwanadamu.....

Wanasema kuna "tukufu 3"...TRUTH...LOVE.... WISDOM....kinyume na hivyo vitatu ndio USHETANI WENYEWE.......

Kama lilivyo jua huwa linachomoza kila asubuhi na halikosei kuchomozea magharibi basi hata muumba jua alimuumba shetani ili ajaribu kuuharibu mfumo bora wa maumbile....aliharibu jua na "lichomoze kutokea magharibi" sasa binadamu katika ukamilifu wa akili na umbile lake akapewa utashi....na maelekezo kuwa ampinge shetani asishiriki katika huo uasi wa kutaka kulichomoza jua kutokea magharibi.......binadamu atakaye mtii shetani basi amekuwa ni rafiki yake na ATAPEWA ADHABU KAMA YA HUYO MUASI SHETANI.....

Fikiria jua likichomozea magharibi ni vipi utaratibu wa dunia na ustawi wake utakavyokuwa?!!!


***************

Never give wisdom to unworthy because it's unfair to the knowledgeable
Maandiko yanamzungumzia shetani kama nani na kwa mfumo upi?
 
Mungu anayo majina mengine mengi kulingana na lugha, tamaduni na kabila.. Hivyo Mungu hana jina MOJA

1. ADONAI-Mungu Mwenye Enzi Yote Mwanzo 15:2-8

2. EL – SHADAI-Mungu ututoshelezae/Mungu mtoshelezi
Mwanzo 17:1

3.EL-OHEENU- Bwana Mungu Wetu Zaburi 99:5,8,9

4. EL- GIBBOR- Mungu Mwenye Nguvu, Isaya 9:6-9

5. EL-OHEEKA- Bwana Mungu Wako Kut 20:2,5,7

6. EL-ELYON -Mungu Aliye Juu Sana Mwanzo 14:18

7. EL-OHIM- Muumbaji wa Milele Mwa 1:1

8. YEHOVA- SABAOTH Bwana wa Majeshi 1Samwel 1:3

9. JEHOVA TSIDKEMU -Bwana ni Haki Yetu Yeremia 23:6

10. JEHOVA RAPHA- Mungu Atuponyae,kutoka 15:26

11. JEHOVA MEKADDISHKEM- Mungu atutakasaye Kutoka 31:13

12. JEHOVA ROHI-Bwana Mchungaji Wangu Zaburi 23:1

13. JEHOVA JIREH- Mungu Atupaye /Atoaye Mwanzo 22:14

14. JEHOVA HOSEENU -Bwana Aliyetuumba Zaburi 95:6

15. JEHOVA NISSI- Bwana ni Beramu (Bendera)
yangu
Kutoka17:15

16. JEHOVA SHALOM -Bwana ni Amani, waamuzi 6:24

17. JEHOVA SHAMMAH -Bwana Yupo Hapa, Ezekiel 48:35

18.El-hai-Mungu aliyehai,Joshua 3:10,1 Samwel 17:26

19.El-elohe-israel-Mungu wa Israel, Mwanzoh 33:20

20.El-Olam-Mungu wa milele,Ufunuo 4:8,kutoka 3:14


Majina haya yapo katika Lugha za kiebrania

Shetani sio mwili ni roho na roho ikizaliwa haifi
Kama shetani ni roho... Sawa.
Unataka kusema Mungu muweza wa yote, Mungu mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hawezi kuua roho?
 
Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?

Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?
Kwani wapi Mungu alijitambulisha kuwa yeye jina lake anaitwa Mungu? Na hata kama tunamwita Mungu, kwani kuna shida gani kumpa utambulisho huo, alimradi kila tunapoita hilo jina yeye ndio awe mlengwa?
 
Mimi sikuchagua kuwa Tanzania.
Mimi sikuchagua kuwepo era hii.
Mimi sikuchagua hata kuja duniani ama nisije.

Therefore...
Free will ni illusion tu.
 
Mungu yupo nje ya time dimension.

So kifupi haeleweki na hatokaa aeleweke.

Ukitakaa uwe kichaa endelea kutaka kumwelewa.
Haeleweki? Afu habari za Kuwa nje ya time dimension ni mafundisho labda..

Au jamani haeleweki tu kwasababu hayupo maana huu utata bhan...
 
Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?

Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?
In short dini ni kisingizio Cha binadamu kukosa maarifa. Mtu mwenye akili hawezi kuamini story za Mungu na shetani, ni hekaya za watu wa kale tu ambao hawakujua hata jua linaenda wapi usiku.
 
Mungu anayo majina mengine mengi kulingana na lugha, tamaduni na kabila.. Hivyo Mungu hana jina MOJA

1. ADONAI-Mungu Mwenye Enzi Yote Mwanzo 15:2-8

2. EL – SHADAI-Mungu ututoshelezae/Mungu mtoshelezi
Mwanzo 17:1

3.EL-OHEENU- Bwana Mungu Wetu Zaburi 99:5,8,9

4. EL- GIBBOR- Mungu Mwenye Nguvu, Isaya 9:6-9

5. EL-OHEEKA- Bwana Mungu Wako Kut 20:2,5,7

6. EL-ELYON -Mungu Aliye Juu Sana Mwanzo 14:18

7. EL-OHIM- Muumbaji wa Milele Mwa 1:1

8. YEHOVA- SABAOTH Bwana wa Majeshi 1Samwel 1:3

9. JEHOVA TSIDKEMU -Bwana ni Haki Yetu Yeremia 23:6

10. JEHOVA RAPHA- Mungu Atuponyae,kutoka 15:26

11. JEHOVA MEKADDISHKEM- Mungu atutakasaye Kutoka 31:13

12. JEHOVA ROHI-Bwana Mchungaji Wangu Zaburi 23:1

13. JEHOVA JIREH- Mungu Atupaye /Atoaye Mwanzo 22:14

14. JEHOVA HOSEENU -Bwana Aliyetuumba Zaburi 95:6

15. JEHOVA NISSI- Bwana ni Beramu (Bendera)
yangu
Kutoka17:15

16. JEHOVA SHALOM -Bwana ni Amani, waamuzi 6:24

17. JEHOVA SHAMMAH -Bwana Yupo Hapa, Ezekiel 48:35

18.El-hai-Mungu aliyehai,Joshua 3:10,1 Samwel 17:26

19.El-elohe-israel-Mungu wa Israel, Mwanzoh 33:20

20.El-Olam-Mungu wa milele,Ufunuo 4:8,kutoka 3:14


Majina haya yapo katika Lugha za kiebrania

Shetani sio mwili ni roho na roho ikizaliwa haifi
Mbona naona majina ya Ki-Israel tu?

Tuseme kulikua hakuna wanadamu wengine duniani huko?

Ninakotoka wanamuita RUWA MANGI!

Ujinga mtupu huu!

Wanadamu created God with their own image na kumuita God

Fvck GOD!
 
Back
Top Bottom