Mungu ni MMOJA tu, wengine wote ni miungu!!!Budha hajawahi jiita Mungu acha uwongo. Fuatilia dini za wenzako ukristo sio dini ya kwanza na sio ya mwisho, how do u know ni dini ya ukweli na ni ya Mungu wa ukweli na wengine ni wa uwongo
Njia ya Mbinguni ni Moja tu, Yesu Kristo,zingine ni njia fake zinazoelekea upotevuni, mautini, Jehanum.
Amen