Kwanini Mungu aliwapenda ,kuwatetea, kuwapigania na kuwalinda Wayahudi? Je mataifa mengine kwanini hawakupewa upendeleo huo mkubwa?

Kwanini Mungu aliwapenda ,kuwatetea, kuwapigania na kuwalinda Wayahudi? Je mataifa mengine kwanini hawakupewa upendeleo huo mkubwa?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
4,188
Reaction score
9,165
Wadau hamjamboni nyote?

Tafadhali toa sababu za msingi ukinukuu vyanzo makini

Lugha zisizo na staha haikubaliki

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu
 
In short anawapendelea ili aonyeshe ukuu wake, nyinyi watu wa mataifa si mna Miungu yenu
 
Mungu amelibariki taifa la isreal kupiia kwa Mzee Ibrahimu ambaye moyo wake ulisheheni imani kwa Mungu wetu kiasi kwamba alitii amri aliyopewa ya kumtoa mwanae wa pekee Isaka sadaka.(je ss tunaweza?). Kitendo hiki ndo kilipelekea kubariikiwa na Mungu na kuanzisha taifa la kiyahudi Ukisoma mwanzo 22.17-18 utaona kuwa kupitia yeye mataifa nayo aliyabariki lakini kwa sababu hatumwamini Yesu kristo ambaye alikufa kwa ajili ya dhambi zetu ,ni vigumu kuona baraka za Mungu kwetu Yoh 3.16. Mungu hapendelei na ss pia tutabarikiwa ikiwa tutaisikia sauti yake.Lakini tukichukiana namna hii tutazionaje baraka za Mungu?Baraka hazishuki toka mbinguni kama kifurushi hupitia kwa wanadamu kusikilizana kupendana na kuacha kunyanyapaa makundi mengine maana hayo yaliumbwa kwa mfano wake Mungu.
 
Back
Top Bottom