Kwanini Mtandao wa TIGO unakula Data kwa kasi sana?

APA CHICAGO

JF-Expert Member
Oct 20, 2019
259
293
Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow hivyo nalazimika kutumia TIGO.Ila sasa data consumption ni hatari.
 
Kuna muda unaweza walaumu kumbe kifaa chako umekitega hovyo, ningekupa elimu nipo kanisani ngoja nisikilize kwanza neno la mungu
 
Natumia hiyo mitandao miwili na Airtel inakaa na data zaidi. Nikipima data usage simu inahesabu data zilezile zinazohesabiwa na Tigo ila inawahi kuisha.
Kasi zinalingana mitandao yote ila Airtel wako sahihi zaidi kwenye kupima kiwango ninachotumia. Tigo nikiwa na 30Gb ikifika kwenye 29.3Gb inagoma ila Airtel mpaka zile Kb za mwisho na ukimaliza wanakupa prompt kujulisha umeishiwa.

Huwa naamini sababu ni speed ya Tigo kuwa kubwa zaidi hivyo ads hazina loading ukifungua page zote zina-play kwa pamoja, hata ukifungua IG page kila kitu kinaonekana tofauti na Airtel ambayo inabana baadhi ya vitu visi-play kwa speed yake ndogo. Mpaka unaswipe kwenda kwingine unakuwa ushakwepa matumizi fulani
 
Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow hivyo nalazimika kutumia TIGO.Ila sasa data consumption ni hatari.
Tatizo hizi zinazoitwa MB ni vitu visivyoonekana kwa macho wala kushikika.

Unaweza kupokea ujume wa MB 500 kumbe kiuhalisia umepewa 300 na 200 ni hewa tu
 
Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow hivyo nalazimika kutumia TIGO.Ila sasa data consumption ni hatari.
IMG-20230430-WA0065.jpg


Tigo ni magwiji wa michezo yote michafu. Ndio maana hata nanihii inaitwa TIGO
 
Back
Top Bottom