kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,994
- 17,893
Mtandao gani wa simu hujawahi kuuelewa au huwa unahisi unasumbua sana maeneo mengi na hujawahi kuuelewa
Mimi ni hii hapa sijawahi kuwaelewa
1.TTCL=Hawa hawajulikani kama ni kunguru au ni mwewe kiujumla ni watu wa hovyo wapo rafu tu kama geto la mvutabangi hawatabiliki saa yoyote wanaweza kulala yooo unaweza nunua umeme kwa TPesa ukalipia malipo ya umma ushaweka hela za watu msg ikaja kurudi 2025 hapo ushaonekana mwizi, hata mtandao wao haueleweki
2.AIRTEL=Hawa sehemu nyingi huwa hawapo utashangaa magomeni wapo ubungo hawapo mbezi wanakamata kibamba hawakamati, hawa hata kama una safari usiwaaamini kuwatumia utajuta sehemu nyingi ni mizinguo
3.TIGO: Hawa nao sijawahi kuwaelewa kote nilipowahi kupita lazima mtandao uwe na kasoro tu wana tabia ya kubadilika badilika mfano January mtandao unaweza ukawa unakamata vizur eneo moja ghafla feb mtandao ukawa haushiki kbs eneo hilo hilo hadi najiuliza hawa mitambo yao huwa wanakodi na kurudisha au coz hawanaga permanent kbs ya mtandao pia mtandao wao haujawahi kuwa strong lazima uwe slow slow tu.
4.HALOTEL: Hawa ni mabingwa kufake data gb 1 wakikupa ujuwe wamekupa mb 500 yaani ni sawa na mchele nusu uwekwe hamira utoke kilo moja ndo wataalam wa kunyonya mabando na pia hawa wana 4G ya mchongo....3G yao au H+ ina kasi kuliko 4G yao...Hawa sidhani km wana 4g...Mimi nilipo mtandao upo vizur sana lakini huwezi amini huwa naset 3G ndo inakua fasta kuliko 4G yao ya mchongo...fatilieni hii mtagundua kuwa wana 4G ya uwongo
Kwa mtazamo wapo unadhani ni mtandao upi hujawahi kuuelewa?
Mimi ni hii hapa sijawahi kuwaelewa
1.TTCL=Hawa hawajulikani kama ni kunguru au ni mwewe kiujumla ni watu wa hovyo wapo rafu tu kama geto la mvutabangi hawatabiliki saa yoyote wanaweza kulala yooo unaweza nunua umeme kwa TPesa ukalipia malipo ya umma ushaweka hela za watu msg ikaja kurudi 2025 hapo ushaonekana mwizi, hata mtandao wao haueleweki
2.AIRTEL=Hawa sehemu nyingi huwa hawapo utashangaa magomeni wapo ubungo hawapo mbezi wanakamata kibamba hawakamati, hawa hata kama una safari usiwaaamini kuwatumia utajuta sehemu nyingi ni mizinguo
3.TIGO: Hawa nao sijawahi kuwaelewa kote nilipowahi kupita lazima mtandao uwe na kasoro tu wana tabia ya kubadilika badilika mfano January mtandao unaweza ukawa unakamata vizur eneo moja ghafla feb mtandao ukawa haushiki kbs eneo hilo hilo hadi najiuliza hawa mitambo yao huwa wanakodi na kurudisha au coz hawanaga permanent kbs ya mtandao pia mtandao wao haujawahi kuwa strong lazima uwe slow slow tu.
4.HALOTEL: Hawa ni mabingwa kufake data gb 1 wakikupa ujuwe wamekupa mb 500 yaani ni sawa na mchele nusu uwekwe hamira utoke kilo moja ndo wataalam wa kunyonya mabando na pia hawa wana 4G ya mchongo....3G yao au H+ ina kasi kuliko 4G yao...Hawa sidhani km wana 4g...Mimi nilipo mtandao upo vizur sana lakini huwezi amini huwa naset 3G ndo inakua fasta kuliko 4G yao ya mchongo...fatilieni hii mtagundua kuwa wana 4G ya uwongo
Kwa mtazamo wapo unadhani ni mtandao upi hujawahi kuuelewa?