Wizi wa Data umerudi tena kwa kasi

WAZO2010

JF-Expert Member
Feb 19, 2021
1,610
3,738
Ni takribani miezi 2 baada ya Watanzania kulalamika juu ya kasi ya matumizi ya bando. Waziri wa Habari Nape Nnauye aliongelea pia suala hilo na matumizi ya bando za Internet na hali ili rejea kama kawaida.

Ila hivi karibuni kwa muda wa wiki 2 hivi nimekuwa nikifuatilia matumizi ya Bando za internet licha ya bei kuwa juu na uchumi kuwa mbovu, mitandao ya simu hasa VODACOM wamerejesha wizi wa data kwa ku BOOST data Usage (speed ya data leakage). Mfano, Kifurushi cha siku 7, cha MB 800, lazima kiishe ndani ya masaa 24 hata kama hu download vitu. Ni kama vile kuna settings wame command.

Pia kuna tabia ukiwa na data za nyuma mf, 3 GB za zamani kabla ya kuunga kifurushi kipya. Zile za zamani wana zifanya ziwe Dormant. Ukiangalia salio data ipo. Ila hazifanyi kazi hadi, uunge kifurushi kipya.

Lawama zangu ziende kwa awamu yote ya 6. Imekosa ueledi ktk kusimamia sheria, na kanuni mbalimbali nchini. Pili, ulegevu wa viongizi ktk kusimamia utendaji na uwajibikaji wa watumishi wao. Hii inachangiwa sana na rushwa. Binafsi nina wasiwasi kama TCRA hawahusiki ktk hili suala kwa kupokea rushwa. Badala ya kuwa watetezi wa Watanzania, wao TCRA wamekuwa watetezi wa Wakezaji (Makaburu). PCCB chunguzeni TCRA, VODACOM, AIRTEL, nk.

Iki bainika kuna mchezo, kampuni ipigwe faini hata 30% ya faida yake yote kwani imetokana na wizi. Haitokaa ijirudie. Ila hii tabia ya watanzania maskini kuibiwa afu mtu na tumbo lake anaenda ITV kusafisha wezi haina Afya na manufaa kwa taifa.

Je TCRA hawana Technology, mitambo na experts wa kufanya Daily Audits? Kama hawana huo uwezo, je nchi ipo salama kwa kiasi gani kama muekezaji ana uwezo wa kujiamulia cha kufanya muda wowote?

Pia napendekeza Chama cha kukutea Walaji (Consumers' Rights Union/) kiundwe na kipewe nguvu moja kwa moja.
 
Ni takribani miezi 2 baada ya Watanzania kulalamika juu ya kasi ya matumizi ya bando. Waziri wa Habari Nape Nnauye aliongelea pia suala hilo na matumizi ya bando za Internet na hali ili rejea kama kawaida.

Ila hivi karibuni kwa muda wa wiki 2 hivi nimekuwa nikifuatilia matumizi ya Bando za internet licha ya bei kuwa juu na uchumi kuwa mbovu, mitandao ya simu hasa VODACOM wamerejesha wizi wa data kwa ku BOOST data Usage (speed ya data leakage). Mfano, Kifurushi cha siku 7, cha MB 800, lazima kiishe ndani ya masaa 24 hata kama hu download vitu. Ni kama vile kuna settings wame command. Pia kuna tabia ukiwa na data za nyuma mf, 3 GB za zamani kabla ya kuunga kifurushi kipya. Zile za zamani wana zifanya ziwe Dormant. Ukiangalia salio data ipo. Ila hazifanyi kazi hadi, uunge kifurushi kipya.

Lawama zangu ziende kwa awamu yote ya 6. Imekosa ueledi ktk kusimamia sheria, na kanuni mbalimbali nchini. Pili, ulegevu wa viongizi ktk kusimamia utendaji na uwajibikaji wa watumishi wao. Hii inachangiwa sana na rushwa. Binafsi nina wasiwasi kama TCRA hawahusiki ktk hili suala kwa kupokea rushwa. Badala ya kuwa watetezi wa Watanzania, wao TCRA wamekuwa watetezi wa Wakezaji (Makaburu). PCCB chunguzeni TCRA, VODACOM, AIRTEL, nk.

Iki bainika kuna mchezo, kampuni ipigwe faini hata 30% ya faida yake yote kwani imetokana na wizi. Haitokaa ijirudie. Ila hii tabia ya watanzania maskini kuibiwa afu mtu na tumbo lake anaenda ITV kusafisha wezi haina Afya na manufaa kwa taifa.
Je TCRA hawana Technology, mitambo na experts wa kufanya Daily Audits? Kama hawana huo uwezo, je nchi ipo salama kwa kiasi gani kama muekezaji ana uwezo wa kujiamulia cha kufanya muda wowote?
Pia napendekeza Chama cha kukutea Walaji (Consumers' Rights Union/) kiundwe na kipewe nguvu moja kwa moja.
Nape kashasema watz tuna matumizi mabaya ya simujanja ambaye ni waziri mwenye dhamana ya kuwajibika anatoa majibu marahisi.....sasa unafikiri TCRA wao wafanyaje........wao ni kurelax tu
 
Ni takribani miezi 2 baada ya Watanzania kulalamika juu ya kasi ya matumizi ya bando. Waziri wa Habari Nape Nnauye aliongelea pia suala hilo na matumizi ya bando za Internet na hali ili rejea kama kawaida.

Ila hivi karibuni kwa muda wa wiki 2 hivi nimekuwa nikifuatilia matumizi ya Bando za internet licha ya bei kuwa juu na uchumi kuwa mbovu, mitandao ya simu hasa VODACOM wamerejesha wizi wa data kwa ku BOOST data Usage (speed ya data leakage). Mfano, Kifurushi cha siku 7, cha MB 800, lazima kiishe ndani ya masaa 24 hata kama hu download vitu. Ni kama vile kuna settings wame command. Pia kuna tabia ukiwa na data za nyuma mf, 3 GB za zamani kabla ya kuunga kifurushi kipya. Zile za zamani wana zifanya ziwe Dormant. Ukiangalia salio data ipo. Ila hazifanyi kazi hadi, uunge kifurushi kipya.

Lawama zangu ziende kwa awamu yote ya 6. Imekosa ueledi ktk kusimamia sheria, na kanuni mbalimbali nchini. Pili, ulegevu wa viongizi ktk kusimamia utendaji na uwajibikaji wa watumishi wao. Hii inachangiwa sana na rushwa. Binafsi nina wasiwasi kama TCRA hawahusiki ktk hili suala kwa kupokea rushwa. Badala ya kuwa watetezi wa Watanzania, wao TCRA wamekuwa watetezi wa Wakezaji (Makaburu). PCCB chunguzeni TCRA, VODACOM, AIRTEL, nk.

Iki bainika kuna mchezo, kampuni ipigwe faini hata 30% ya faida yake yote kwani imetokana na wizi. Haitokaa ijirudie. Ila hii tabia ya watanzania maskini kuibiwa afu mtu na tumbo lake anaenda ITV kusafisha wezi haina Afya na manufaa kwa taifa.
Je TCRA hawana Technology, mitambo na experts wa kufanya Daily Audits? Kama hawana huo uwezo, je nchi ipo salama kwa kiasi gani kama muekezaji ana uwezo wa kujiamulia cha kufanya muda wowote?
Pia napendekeza Chama cha kukutea Walaji (Consumers' Rights Union/) kiundwe na kipewe nguvu moja kwa moja.
Download app inaitwa My Data Manager ipo play store. Then fanya setting ya limit ya data kwa siku. Itakusaidia kujua matumizi yako nani app gani imetumia data kwa wingi. Mara nyingi data inapotelea kwenye background apps ambazo hatuzioni zikiwa active. Pole.
 
Niliposikia Rostam mwenyekiti wa Zantel na Tigo imebidi nikae vizuri😃!

Kipigo kinaenda kushushwa soon.

Tanzania ukiwa mwadilifu wanakuua bora uendane nao tu maana kundi la majambazi kwenye system ni wengi kuliko kondoo
 
Ni takribani miezi 2 baada ya Watanzania kulalamika juu ya kasi ya matumizi ya bando. Waziri wa Habari Nape Nnauye aliongelea pia suala hilo na matumizi ya bando za Internet na hali ili rejea kama kawaida.

Ila hivi karibuni kwa muda wa wiki 2 hivi nimekuwa nikifuatilia matumizi ya Bando za internet licha ya bei kuwa juu na uchumi kuwa mbovu, mitandao ya simu hasa VODACOM wamerejesha wizi wa data kwa ku BOOST data Usage (speed ya data leakage). Mfano, Kifurushi cha siku 7, cha MB 800, lazima kiishe ndani ya masaa 24 hata kama hu download vitu. Ni kama vile kuna settings wame command. Pia kuna tabia ukiwa na data za nyuma mf, 3 GB za zamani kabla ya kuunga kifurushi kipya. Zile za zamani wana zifanya ziwe Dormant. Ukiangalia salio data ipo. Ila hazifanyi kazi hadi, uunge kifurushi kipya.

Lawama zangu ziende kwa awamu yote ya 6. Imekosa ueledi ktk kusimamia sheria, na kanuni mbalimbali nchini. Pili, ulegevu wa viongizi ktk kusimamia utendaji na uwajibikaji wa watumishi wao. Hii inachangiwa sana na rushwa. Binafsi nina wasiwasi kama TCRA hawahusiki ktk hili suala kwa kupokea rushwa. Badala ya kuwa watetezi wa Watanzania, wao TCRA wamekuwa watetezi wa Wakezaji (Makaburu). PCCB chunguzeni TCRA, VODACOM, AIRTEL, nk.

Iki bainika kuna mchezo, kampuni ipigwe faini hata 30% ya faida yake yote kwani imetokana na wizi. Haitokaa ijirudie. Ila hii tabia ya watanzania maskini kuibiwa afu mtu na tumbo lake anaenda ITV kusafisha wezi haina Afya na manufaa kwa taifa.
Je TCRA hawana Technology, mitambo na experts wa kufanya Daily Audits? Kama hawana huo uwezo, je nchi ipo salama kwa kiasi gani kama muekezaji ana uwezo wa kujiamulia cha kufanya muda wowote?
Pia napendekeza Chama cha kukutea Walaji (Consumers' Rights Union/) kiundwe na kipewe nguvu moja kwa moja.

B9FD6A28-DCF9-424A-9E82-C4D7DA1F269F.jpeg
 
Niliwahi msikia Nape akiongelea juu ya malalamiko ya data akajibu kama kuna mtu anaona anaibiwa awasiliane naye ampeleke TCRA ili ajiridhishe kwamba haibiwi ila MB ndivyo zinatakiwa kwenda.

Nilishangazwa na jibu lake.

Ila nikakumbuka kwamba kuna uwezekano jamaa hata hajui code ya kujiunga bando so sisi na yeye ni watu wawili tofauti.
 
Tatizo kubwa wanaopaswa kushughulikia tatizo hili wao wanawekewa bundle bure, gari la bure na posho ya mafuta.

Mtaandika sana lakini sidhani kama kuna suluhisho litapatikana.

Mimi mb kama za Tigo zikibaki 80 mgogoro unaanza na sijawahi kumaliza zote utake usitake mwenyewe utarecharge bundle, otherwise utaishia WhatsApp tu.
 
Back
Top Bottom