Watchtower
Member
- Sep 18, 2022
- 93
- 182
Wakuu, Mimi Simu kadi yangu namba moja ni Airtel, Nimekuwa na Chip hii for years ila kwa sasa ni almost mwaka mtandao wa Airtel hauko stable kabisa, Unasumbua sana kwenye Mawasiliano ya Calls kuna wakati humsikii mtu au wote hamsikilizani
Nataka ni opt kuachana nao niubakize kwenye data tu (Internet) kwani uko bado wanafanya vizuri je mtandao gani ni mzuri kwa maeneo ya kanda ya Kati na Pwani ndo maeneo muda mwingi nipo
Nataka ni opt kuachana nao niubakize kwenye data tu (Internet) kwani uko bado wanafanya vizuri je mtandao gani ni mzuri kwa maeneo ya kanda ya Kati na Pwani ndo maeneo muda mwingi nipo