wachawi huwa ndio waliaji wakubwa misibani,zitto is no exception...muulize kilichomsibu kikwete alipomteua kamati ya madini...alianza kumiliki hammer na vogue....mzalendo my ass.
Naomba niweke sawa kidogo tu kuondoa upotoshaji wa makusudi. Kwanza mimi nasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu suala la mafao. Halinisumbui. Nawakumbusha;
- Toka mwaka 2011 mwezi Juni niliacha kupokea posho za vikao. Kwa mwaka posho za vikao ni takribani shs 24 milioni.
- Wabunge hupewa msamaha wa kodi kwenye magari wanayonunua. Kwa kuwa napinga misamaha ya kodi nilikataa na mpaka namaliza ubunge sijatumia msamaha huo wa kodi.
Kwa hiyo suala la fedha sio suala la msingi kabisa kwangu kwenye maamuzi yangu.
Fact: Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo chake kwa muda wa miezi aliyotumikia Bunge. Sio kweli kwamba hakupewa kiinua mgongo chake. Alipewa na tunaweza kuthibitisha
Leta kwanza huo ushahidi wa kuambiwa!Mkuu acha kutudanganya...leta ushahidi hapa wakutolipwa....! tumesha ambiwa amelipwa.
Acha unafiki bwana mdogo, you think you smart and you can let us rest on complacent, we are no fools to idiotically let that deadly combination live even for a second, we know the eagle in the name of ACT has landed the menace to the political struggle
ZZK Usitake kutudanganya hapa.uliacha kuchukua fedha za posho za vikao huku unapokea fedha nyingine nyingi tu maradufu zaidi ya hizo toka CCM na serikali. Bisha hapa kama Rostam hakuwa anakupa fedha nyingi zaidi ya hizo posho ili kukihujumu chama chako kwa faida yako??!!watu sio wajinga wanaona kaka.
.....Msiamini maneno ya wanasiasa...., hilo gari nilipewa zawadi/ nunuliwa na rafiki zangu....., nionyesheni hilo gari liko wapi......!?!?!
Mimi nasema hivi ikiwa kweli umesaliti mageuzi kwasababu yeyote ile, ilihali ukijua fika hata wewe kwa wakati fulani uliishi maisha magumu yasiyokuwa na matumaini mpaka mageuzi yakakubadilishia history...... Mungu mwenyewe ajuaye mambo ya sirini akuhukumu!
What will it profit a man if he gains the whole world and loses his life/personality?
Hivi hizi ndio mnaziita akili za ukombozi!!!!!!!ZZK Usitake kutudanganya hapa.uliacha kuchukua fedha za posho za vikao huku unapokea fedha nyingine nyingi tu maradufu zaidi ya hizo toka CCM na serikali. Bisha hapa kama Rostam hakuwa anakupa fedha nyingi zaidi ya hizo posho ili kukihujumu chama chako kwa faida yako??!!watu sio wajinga wanaona kaka.
Swali la msingi sana hili.
ushamba mzigo
Muheshimiwa ingia kwa ID yako halisi ili twende sawa,wewe ni mzalendo huna haja ya kujifichaO.P umebaki chuki tu
Nyie mateka wa Mbowe na Dr.Slaa akili zenu za kushikiwa soma hii hapa chini.ngoja tukuletee ushahidi hapa msaliti mkubwa wee.acha kutapeli watu kwa kujiita mjamaa.mjamaa gani anafanyia mikutano Serena Hotel?uliuza majimbo ya chadema unajifanya una mapenzi na chama,umewauza mpaka wapiga kura wako kwa ccm na kukimbilia kigoma mjini.je umekuwa wa mwisho kutoka chadema?
Hili swali la kwanza sidhani kama ni la zito kabwe maana kwa mantinki tu siku zote kunapokuwa na mafahari wawili wanapambana akitokea mmoja akachomoka kutoka kundi moja na kwenda kwingine tule mwingine hufurahi kwa kuwa anapata sehemu ya kuanzia kupiga propaganda zakeMkuu namswali machache kwako!....ningependa kupata majibu....
1. Kwanini chama chako kinaungwa mkono na makada wengi wa CCM?..
2. Kwanini chama chako kina pambana na Chadema tu na sio CCM walio shika dola?
3 . kwanini watu walio kuzunguka na wenye kukunga mkono katika siasa zako hasa kwenye chama chako, Wana Watusi viongozi walio kulea kisiasa tena kwa dharau?...
Mfano...Msondo ambae ni mwanasheria wako.
Habibu mchange, na hawa wote ni makada wa Act!
ngoja tukuletee ushahidi hapa msaliti mkubwa wee.acha kutapeli watu kwa kujiita mjamaa.mjamaa gani anafanyia mikutano Serena Hotel?uliuza majimbo ya chadema unajifanya una mapenzi na chama,umewauza mpaka wapiga kura wako kwa ccm na kukimbilia kigoma mjini.je umekuwa wa mwisho kutoka chadema?
Sio kawaida yangu kukimbia mijadala. Mimi ni mtu wa mijadala. Chama cha ACT Tanzania kinaungwa mkono na wanyonge. Hakina ugomvi na chama kingine chochote cha upinzani. Ninawasihi tuelekeze nguvu dhidi ya CCM na sio kushinda kutwa kushambuliana.
Tunaweza kuwa na tofauti lakini tukawa tunalenga shabaha kwa adui mmoja. Tukomae kidemokrasia. Hii sio zero sum game. Tunaweza kufikia malengo yale yale hata kama tuna tofauti zetu. Nkrumah alisema One struggle Many fronts. Zingatieni hilo na acheni kusambaza chuki.
ZZK Usitake kutudanganya hapa.uliacha kuchukua fedha za posho za vikao huku unapokea fedha nyingine nyingi tu maradufu zaidi ya hizo toka CCM na serikali. Bisha hapa kama Rostam hakuwa anakupa fedha nyingi zaidi ya hizo posho ili kukihujumu chama chako kwa faida yako??!!watu sio wajinga wanaona kaka.
kazi hamfanyi kazi mapenzi tu ..fanyeni kazi
Naombeni tutafakari ni kwanini Mpendazoe hakupewa mafao yake ya ubunge wakati ule,Lakini Zitto anapewa?
Hili si jambo la kupuuza kwa ustawi wa Demokrasia yetu na sheria za nchi.
Ni vema tujadili kujua kama bunge letu lina upendeleo wa sheria au kanuni?
Tujiulize angekuwa Lissu Mnyika,Wenje au Mnyaa wangepewa?
*************** Majibu kutoka kwa Zitto ****************
Nilikuuliza huko pm lakini naona kimya,sasa lini mtatangaza kujiunga na UKAWA ili tuitoe CCM madarakani? Ningekuomba juu ya hili uwe direct kuliko kupinda pinda,ukubali ni lini au ukanushe haiwezekani kwa sababu ya nini? Asante!