Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,312
Naombeni tutafakari ni kwanini Mpendazoe hakupewa mafao yake ya ubunge wakati ule,Lakini Zitto anapewa?
Hili si jambo la kupuuza kwa ustawi wa Demokrasia yetu na sheria za nchi.
Ni vema tujadili kujua kama bunge letu lina upendeleo wa sheria au kanuni?
Tujiulize angekuwa Lissu Mnyika,Wenje au Mnyaa wangepewa?
*************** Majibu kutoka kwa Zitto ****************
uliacha kupokea posho ,from the first day ulipo strike deal na ccm.
na hata kuacha kupokea posho kwako was a strategic means ya ku apima your fellow opposition MPs Kama wata fall to that trick,wakishinfwa uonekane wewe ndio unamachungu na taifa hili.
wadanganye maboya wenzako,
Last edited by a moderator: