Naomba nami nichukue fursa kuendeleza mjadala ulioanza Kwa mtoa mada mmoja siku za awali kuuliza Mwenye kujua maslahi ya hawa Waheshimiwa Wabunge Kwa sasa:
1. Mshahara mnono (bila Kodi)
2. Posho ya vikao
3. Mkopo wa gari
4. Posho ya dereva
5. Mfuko wa Jimbo
7. Bima ya matibabu nje ya nchi
8. Kiinua mgongo baada ya kumaliza Ubunge
9. Pesa ya mafuta ya gari la mbunge
10. Posho vikao vya kamati
11. Posho ziara kwenye miradi, taasisi
12. Posho ziara za kimafunzo ughaibuni
NB: sifa za kuwa Mbunge zipo? Ni zipi?
1. Mshahara mnono (bila Kodi)
2. Posho ya vikao
3. Mkopo wa gari
4. Posho ya dereva
5. Mfuko wa Jimbo
7. Bima ya matibabu nje ya nchi
8. Kiinua mgongo baada ya kumaliza Ubunge
9. Pesa ya mafuta ya gari la mbunge
10. Posho vikao vya kamati
11. Posho ziara kwenye miradi, taasisi
12. Posho ziara za kimafunzo ughaibuni
NB: sifa za kuwa Mbunge zipo? Ni zipi?