Kwanini Mpendazoe hakupewa mafao Zitto apewe?

Kwanini Mpendazoe hakupewa mafao Zitto apewe?

Hata Mimi kama ningekuwa beneficiary wa ESCROW, $$$ za Uswis, Vitalu vya Gas, Bahasha za Mashirika ya Umma BOT, NSSF, Mafungu ya CCM ya Kuihujumu CHADEMA via A/c Maalum za TISS... nisingehangaika na Posho 24M kwa Mwaka, Nisingehangaika na Misamaha ya Kodi kamwe!!! Bora uwe kimya maana unaharibu Zaidi .. BTW, Mkakati wa kupunguza kura za UKAWA via Association of Criminals in Tanzania unafikiri itakujenga ama kukubomoa Zaidi?

propaganda propaganda propaganda. Lazima ifikie wakati watu mkue na kukubali matokeo. Mtazusha kila aina ya uzushi lakini kamwe hamwezi kuaminisha umma. Tuache porojo tujenge nchi.

Maamuzi yangu ni hayo. Tulitangaza kukataa posho, nikaacha posho. Tulipinga misamaha ya kodi nikaacha msamaha wa kodi.
Hayo mengine ni yako tu na unajua kuwa ni uzushi. Uzushi hausaidii hata kidogo nchi.
 
Hata Mimi kama ningekuwa beneficiary wa ESCROW, $$$ za Uswis, Vitalu vya Gas, Bahasha za Mashirika ya Umma BOT, NSSF, Mafungu ya CCM ya Kuihujumu CHADEMA via A/c Maalum za TISS... nisingehangaika na Posho 24M kwa Mwaka, Nisingehangaika na Misamaha ya Kodi kamwe!!! Bora uwe kimya maana unaharibu Zaidi .. BTW, Mkakati wa kupunguza kura za UKAWA via Association of Criminals in Tanzania unafikiri itakujenga ama kukubomoa Zaidi?

Huna hoja kabisa?
 
propaganda propaganda propaganda. Lazima ifikie wakati watu mkue na kukubali matokeo. Mtazusha kila aina ya uzushi lakini kamwe hamwezi kuaminisha umma. Tuache porojo tujenge nchi.

Maamuzi yangu ni hayo. Tulitangaza kukataa posho, nikaacha posho. Tulipinga misamaha ya kodi nikaacha msamaha wa kodi.
Hayo mengine ni yako tu na unajua kuwa ni uzushi. Uzushi hausaidii hata kidogo nchi.

Nondo....hizi asante sana
 
Umeamua kumtimua Mkuu, hawezi Kurudi

Sio kawaida yangu kukimbia mijadala. Mimi ni mtu wa mijadala. Chama cha ACT Tanzania kinaungwa mkono na wanyonge. Hakina ugomvi na chama kingine chochote cha upinzani. Ninawasihi tuelekeze nguvu dhidi ya CCM na sio kushinda kutwa kushambuliana.
Tunaweza kuwa na tofauti lakini tukawa tunalenga shabaha kwa adui mmoja. Tukomae kidemokrasia. Hii sio zero sum game. Tunaweza kufikia malengo yale yale hata kama tuna tofauti zetu. Nkrumah alisema One struggle Many fronts. Zingatieni hilo na acheni kusambaza chuki.
 
Kama leo mnaweza kumwamini Werema, architect wa wizi wa Escrow ! Unategemea mtu kama Werema aseme nini? Lazima alielie kwa sababu kawajibishwa kwa hoja. Kama angekuwa anajiamini msafi angebaki kama AG

Daaaa...
 
Sio kawaida yangu kukimbia mijadala. Mimi ni mtu wa mijadala. Chama cha ACT Tanzania kinaungwa mkono na wanyonge. Hakina ugomvi na chama kingine chochote cha upinzani. Ninawasihi tuelekeze nguvu dhidi ya CCM na sio kushinda kutwa kushambuliana.
Tunaweza kuwa na tofauti lakini tukawa tunalenga shabaha kwa adui mmoja. Tukomae kidemokrasia. Hii sio zero sum game. Tunaweza kufikia malengo yale yale hata kama tuna tofauti zetu. Nkrumah alisema One struggle Many fronts. Zingatieni hilo na acheni kusambaza chuki.

Hakuna mnyonge anayeiunga mkono ACT wachumia matumbo
 
Naomba niweke sawa kidogo tu kuondoa upotoshaji wa makusudi. Kwanza mimi nasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu suala la mafao. Halinisumbui. Nawakumbusha;


  1. Toka mwaka 2011 mwezi Juni niliacha kupokea posho za vikao. Kwa mwaka posho za vikao ni takribani shs 24 milioni.
  2. Wabunge hupewa msamaha wa kodi kwenye magari wanayonunua. Kwa kuwa napinga misamaha ya kodi nilikataa na mpaka namaliza ubunge sijatumia msamaha huo wa kodi.

Kwa hiyo suala la fedha sio suala la msingi kabisa kwangu kwenye maamuzi yangu.

Fact: Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo chake kwa muda wa miezi aliyotumikia Bunge. Sio kweli kwamba hakupewa kiinua mgongo chake. Alipewa na tunaweza kuthibitisha

Thibitisha wewe mamluki
 
Hata Mimi kama ningekuwa beneficiary wa ESCROW, $$$ za Uswis, Vitalu vya Gas, Bahasha za Mashirika ya Umma BOT, NSSF, Mafungu ya CCM ya Kuihujumu CHADEMA via A/c Maalum za TISS... nisingehangaika na Posho 24M kwa Mwaka, Nisingehangaika na Misamaha ya Kodi kamwe!!! Bora uwe kimya maana unaharibu Zaidi .. BTW, Mkakati wa kupunguza kura za UKAWA via Association of Criminals in Tanzania unafikiri itakujenga ama kukubomoa Zaidi?

Hivi we msukuma gani mshamba hivi!
 
Nikuulize mambo machache Bwana Zito, 'kwa yote yaliyotokea, kwa kuiangalia nafsi yako, mpaka mahali ulipo leo, kuanzia kuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mbunge hadi kutimuliwa kwa tuhuma za usaliti, kuna mahali popote unadhani ulikosea au unaamini yote uliyoyafanya yalikuwa ni sahihi? Unadhani kwenda ACT kumekuongezea au kukupunguzia nguvu za kisiasa? Nini ulichojifunza katika safari yako ya kisiasa mpaka hapo ulipofikia?
 
Sio kawaida yangu kukimbia mijadala. Mimi ni mtu wa mijadala. Chama cha ACT Tanzania kinaungwa mkono na wanyonge. Hakina ugomvi na chama kingine chochote cha upinzani. Ninawasihi tuelekeze nguvu dhidi ya CCM na sio kushinda kutwa kushambuliana.
Tunaweza kuwa na tofauti lakini tukawa tunalenga shabaha kwa adui mmoja. Tukomae kidemokrasia. Hii sio zero sum game. Tunaweza kufikia malengo yale yale hata kama tuna tofauti zetu. Nkrumah alisema One struggle Many fronts. Zingatieni hilo na acheni kusambaza chuki.

Acha unafiki bwana mdogo, you think you smart and you can let us rest on complacent, we are no fools to idiotically let that deadly combination live even for a second, we know the eagle in the name of ACT has landed the menace to the political struggle
 
Sio kawaida yangu kukimbia mijadala. Mimi ni mtu wa mijadala. Chama cha ACT Tanzania kinaungwa mkono na wanyonge. Hakina ugomvi na chama kingine chochote cha upinzani. Ninawasihi tuelekeze nguvu dhidi ya CCM na sio kushinda kutwa kushambuliana.
Tunaweza kuwa na tofauti lakini tukawa tunalenga shabaha kwa adui mmoja. Tukomae kidemokrasia. Hii sio zero sum game. Tunaweza kufikia malengo yale yale hata kama tuna tofauti zetu. Nkrumah alisema One struggle Many fronts. Zingatieni hilo na acheni kusambaza chuki.

Zito wewe ni mwanasiasa talented na smart sana,naamini haya yote unazushiwa tu kwa sababu ya wivu coz mti wenye matunda ndo upigwao mawe,Tunataka ukombozi na ukombozi wa ukweli ni kufuata misingi ya uasisi wa taifa letu kama ACT inavyosema.Tuna imani na wewe tuna imani na ACT pia.
 
Sio kawaida yangu kukimbia mijadala. Mimi ni mtu wa mijadala. Chama cha ACT Tanzania kinaungwa mkono na wanyonge. Hakina ugomvi na chama kingine chochote cha upinzani. Ninawasihi tuelekeze nguvu dhidi ya CCM na sio kushinda kutwa kushambuliana.
Tunaweza kuwa na tofauti lakini tukawa tunalenga shabaha kwa adui mmoja. Tukomae kidemokrasia. Hii sio zero sum game. Tunaweza kufikia malengo yale yale hata kama tuna tofauti zetu. Nkrumah alisema One struggle Many fronts. Zingatieni hilo na acheni kusambaza chuki.

Safi sana kwa hilo lakini ukiangalia timu yako ya akina mchange, nyakarungu na msando mbona wao adui yao ni chadema tu walileta hapa listi ya waliokufuata ACT wote ni chadema je unataka kuuaminisha umma kuwa hakuna WA ccm aliekufuata. Mbn maneno yao wamewalenga upinzani tu eti watachukua majimbo ya CUF pwani why wasiseme ya CCM
 
Kama leo mnaweza kumwamini Werema, architect wa wizi wa Escrow ! Unategemea mtu kama Werema aseme nini? Lazima alielie kwa sababu kawajibishwa kwa hoja. Kama angekuwa anajiamini msafi angebaki kama AG
that doesn't keep you off the hook,i wonder hadi leo tume ya maadili haijakuita kukuhoji kwa mlungula wa escrow!jiulize kwa nini ccm wanakupenda sana?infact sisi wazalendo wa kweli tunajiuliza hilo swali day in day out.Wewe unajua jibu lake.
 
Back
Top Bottom