Kwanini Mpendazoe hakupewa mafao Zitto apewe?

Naombeni tutafakari ni kwanini Mpendazoe hakupewa mafao yake ya ubunge wakati ule,Lakini Zitto anapewa?

Hili si jambo la kupuuza kwa ustawi wa Demokrasia yetu na sheria za nchi.

Ni vema tujadili kujua kama bunge letu lina upendeleo wa sheria au kanuni?

Tujiulize angekuwa Lissu Mnyika,Wenje au Mnyaa wangepewa?


*************** Majibu kutoka kwa Zitto ****************

To be honest.... Mpendazoe hakupewa hand shake yoyote ya ubunge Kama wengine kutokana na kutowakilishwa na Chama chake kwa kipindi hicho. Zito hapo na kukatalia. If you have facts please present them.
 
Last edited by a moderator:
Zitto si ni mamuluki waq CCM anahongwa mtu anayeacha alama za kiulizo kwenye mambo mengi nadhani walioshikilia maisha yake
 
Huyu ni mmoja ya Watanzania ambao serious auditing ya mali, mapato na matumizi ikipita hana uwezo wa ku account utajiri aliojilimbikizia kwa miaka kumi tu, ni sawa na EL tu huyu, labda anamwandalia pia nafasi ya kugombea urais EL huko ACT
 
Huyu ni mmoja ya Watanzania ambao serious auditing ya mali, mapato na matumizi ikipita hana uwezo wa ku account utajiri aliojilimbikizia kwa miaka kumi tu, ni sawa na EL tu huyu, labda anamwandalia pia nafasi ya kugombea urais EL huko ACT
Tatizo lenu mlio wengi mnafikiri kila mtu akipokea mshahara anakula na kusubiri mwingine kama walivyo watumishi wengi..

Unachotakiwa kuhoji ni vitega uchumi alivyo navyo mhusika kama haviendani na mali alizo nazo ndio uconnect dots sio unakimbilia hitimisho..
 
Tatizo lenu mlio wengi mnafikiri kila mtu akipokea mshahara anakula na kusubiri mwingine kama walivyo watumishi wengi..

Unachotakiwa kuhoji ni vitega uchumi alivyo navyo mhusika kama haviendani na mali alizo nazo ndio uconnect dots sio unakimbilia hitimisho..

Yaani changanya vitega uchumi vyote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom