Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,330
- 33,958
Kabla ya Mwaka 1968 Tanzania ilikuwa ni mojawapo ya nchi yenye akiba kubwa ya fedha za kigeni. Zaidi ya asilimia 40 ya fedha hizo zilitokana na kuuza nje zao la Mkonge. Bei ya zao la mkonge lilipoporomoka na uchumi wa Tanzania nao ukatisika.
Ni kwa nini soko la ndani siyo imara sana na la kutegemeka kwa mazao ambayo tunayaita ya kibiashara? Yaani Kahawa, Korosho, Parachichi, na mazao mengine mengi,soko lake ndani ya nchi ni dogo sana chini ya asilimia tano.
Jee hali hiyo inatokana na kutokuwa na kipato cha kutosha kwa watanzania kiasi cha kushindwa kununua mazao hayo au ni ukosefu wa tamaduni wa kutumia mazao hayo??
Ni kwa nini soko la ndani siyo imara sana na la kutegemeka kwa mazao ambayo tunayaita ya kibiashara? Yaani Kahawa, Korosho, Parachichi, na mazao mengine mengi,soko lake ndani ya nchi ni dogo sana chini ya asilimia tano.
Jee hali hiyo inatokana na kutokuwa na kipato cha kutosha kwa watanzania kiasi cha kushindwa kununua mazao hayo au ni ukosefu wa tamaduni wa kutumia mazao hayo??