MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,016
- 16,813
Swali lako ni sawa na Kuuliza kwanini Wakili Tundu Lissu hamfanyii Fujo Rais John Magufuli?Huwa najiuliza sana, Mamba anakula nyama na Kiboko anakula nyasi, lakini wanaishi sehemu moja. Kwa tabia ya Mamba anakula mnyama yoyote anayekatiza mbele yake. Sasa mbona hamtafuni Kiboko na yuko nae muda mwingi?
Swali lako ni sawa na Kuuliza kwanini Wakili Tundu Lissu hamfanyii Fujo Rais John Magufuli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa ni comedian mzuri.We ushaona lile domo la kiboko na ile mijino yake kama nondo? Ni mamba gani mwenye ujasiri wa kulisogelea lile domo KUBWAA lililojaa visu na mashoka?
Ni lidude kubwa lile sio la mchezo! Akifungua lile domo lake ana uwezo wa kummeza mamba mzima mzima!
Mamba wana utambuzi wa asili kwamba Kiboko ni kiboko kweli kweli... THEIR FEAR AND RESPECT TO HIPPOS IS PRINTED IN THEIR DNA.
Hawathubutu hata siku moja kumsogelea kiboko! Hata kwa bahati mbaya!
In animal kingdoms ukubwa ndiyo kila kitu unampa mnyama advantage ya zaidi ya 50 percent meno au kucha au sumu vinamalizia 50 nyingine. Yaani ni kwamba nilivyokutajia tembo na ukaona hana meno yet ukubwa unambeba ilitakiwa ujue kwamba meno siyo sheria.Mkuu, ni scientific proved fact kwamba kuonyesha meno kwa wanyama "Canines" ni njia moja ya kumuogopesha mwenziwe.
Wanyama madume, wenye Canines wanapotaka kupambana katika ama kuhodhi territory au kutafuta majike kwanza hukenua midomo na kuunguruma na wakati huohuo huwa wanaangaliana hizo Canines na ku detect ukubwa na hapo hupima uwezo wake dhidi ya huyo mpinzani wake kwa kuona tu ukubwa wa hizo canines.
Nilipata kuangalia Documentary moja miaka mingi (10yrs or so) juu ya maisha ya Simba na huyo mtaalamu wa simba aliongelea jambo hilo.
Kwa upande wa wanyama (the non canines) hapo kwakweli sina hakika.
Mfano King Cobra anaweza dominate na kula nyoka wengine kwa ajili ya ukubwa wake siyo fangs wala venom.
Exception ni kama honeybadger ana umbo dogo lakini umbo lake na kucha na meno yake vinatosha kuward off potential predators.
Umesema najipinga ila chini umekubaliana na mimi kwamba meno siyo kila kitu na ndicho nilichokua namaanisha hapa.Sasa hapa huoni unajipinga wewe mwenyewe??!!.
King cobra ni mdogo kuliko Anaconda lakini King cobra anammeza Anaconda. Sasa ukubwa wa Anaconda umemsaidia nini mbele ya sumu nusu lita ya King cobra??, Honey Badger naye mbona Simba, sometimes, wanamkimbia licha ya udogo wake?!!
Juu ya yote meno nayo ni factor to reckon with coming in the issue of animal formidability.
SIMBa wanamkimbia honeyb just for fun simba aliyekuwa stressed anakafinyaSasa hapa huoni unajipinga wewe mwenyewe??!!.
King cobra ni mdogo kuliko Anaconda lakini King cobra anammeza Anaconda. Sasa ukubwa wa Anaconda umemsaidia nini mbele ya sumu nusu lita ya King cobra??, Honey Badger naye mbona Simba, sometimes, wanamkimbia licha ya udogo wake?!!
Juu ya yote meno nayo ni factor to reckon with coming in the issue of animal formidability.
SIMBa wanamkimbia honeyb just for fun simba aliyekuwa stressed anakafinya
Mimi naona kama kiboko ndio kiboko maana sio kwa ule mwili ni kitu kingineAcha kabisa.. Mamba ni Kiboko aisee..
Kwa hiyo kwa maelezo haya kinachomzuia mamba kumla kiboko ni uoga wa kumuogopa kiboko aliyekamilika kwa sababu ya uwezo wake wa nguvu na hakuna kingineMamba hula kiboko. Ikitokea kiboko mtoto ameachwa na wakubwa zake kuna chansi kubwa ya kushambuliwa na mamba.
Pia kiboko mwenye majeraha, anayeelekea umauti au mzoga tayari naye huweza kuliwa na mamba.
Ingawa kiboko anakula nyasi ila ana psi kubwa, meno na mdomo unaotanuka enough kumjeruhi mamba.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umeua mzee babaMimi najua kiboko ndio kiboko ila mamba kwa kiboko sio kiboko
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haya matusi sasaKwa sababu mamba na ujanja wake wote ule...kwa kiboko yeye ni shoga tu sawa na mwanamme wa Dar akikutana na rijali la Mkoani
Kama ni hvyo kwa nini kuku ana uwezo wa kulivunja yai lakini yai halina uwezo wa kumvunja kukuSiyo nani mkubwa, bali nani original. Ukipima kiukubwa, obviously yai ndiye kiboko ya kuku
Hahahahahahaha et mamba ni shoga tuKwa sababu mamba na ujanja wake wote ule...kwa kiboko yeye ni shoga tu sawa na mwanamme wa Dar akikutana na rijali la Mkoani
Hahahahahh no free Lunch in Africa πππ simba atakuwa anajiuguza sikio huko aliko.
NdiyoKwa hiyo kwa maelezo haya kinachomzuia mamba kumla kiboko ni uoga wa kumuogopa kiboko aliyekamilika kwa sababu ya uwezo wake wa nguvu na hakuna kingine
Teh teh teh π€£π€£π€£..dah!..hii mpya ya huu mwaka haaa haaa haaa πππ....ila wabongo bhana...teh teh teh..Kwa sababu mamba na ujanja wake wote ule...kwa kiboko yeye ni shoga tu sawa na mwanamme wa Dar akikutana na rijali la Mkoani
Mamba hula kiboko. Ikitokea kiboko mtoto ameachwa na wakubwa zake kuna chansi kubwa ya kushambuliwa na mamba.
Pia kiboko mwenye majeraha, anayeelekea umauti au mzoga tayari naye huweza kuliwa na mamba.
Ingawa kiboko anakula nyasi ila ana psi kubwa, meno na mdomo unaotanuka enough kumjeruhi mamba.