tausi900
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 238
- 179
Haaa haaa! Unajua kitu chochote kwenye maisha ni kujiamini na kuamini unaweza..Ukweli pia ni kwamba wanyama wote wakubwa, regardless ni predator ama la, ni tishio kwa mamba. Sema tu uoga wa mnyama anayewindwa halafu na taiming' ya mamba ndiyo silaha. Sasa Mr Hippo yeye ni confident all the time. Anaweza kuwa katikati ya mamba wengi, lakini bado akaekti very composed as if mkurugenzi kaalikwa kwenye mkutano wa kupongezwa kwa mafanikio aliyoyaleteleza kuhalmashauri. ^CONFIDENCE^ ndiyo key.
.