Kwanini mamba hamfanyii fujo Kiboko?

Kwanini mamba hamfanyii fujo Kiboko?

Ukweli pia ni kwamba wanyama wote wakubwa, regardless ni predator ama la, ni tishio kwa mamba. Sema tu uoga wa mnyama anayewindwa halafu na taiming' ya mamba ndiyo silaha. Sasa Mr Hippo yeye ni confident all the time. Anaweza kuwa katikati ya mamba wengi, lakini bado akaekti very composed as if mkurugenzi kaalikwa kwenye mkutano wa kupongezwa kwa mafanikio aliyoyaleteleza kuhalmashauri. ^CONFIDENCE^ ndiyo key .
Haaa haaa! Unajua kitu chochote kwenye maisha ni kujiamini na kuamini unaweza..
 
Hoja yako ni irrelevant mkuu,swali La mtoa hoja lina maana,simba kunawakati hula tembo lakini kwamwe huwezi kuta mamba akila kiboko kwanini?
Kuna kipindi wanakula,hasa viboko waliokufa kea jua kali kiangazi,unakuta maji yamepungua sana.
 
simba wenyewe wanamuogopa Nat Geo niliona simba wanamrukiarukia mgongoni ila akiwageukia wanatimua mbio wote.
 
Uzi uishie hapa. Jibu ni timing. Halafu stability na maneuverability ya kiboko majini ni kubwa kivita na kimashambulizi kuliko mamba, ndiyo sababu mamba hawezi kuwa kiboko ya kiboko. Japo mamba anadai kuwa kiboko ya almost viumbe wote wanaothubutu kuyasogelea maji, bado hawezi kuwa kiboko ya kiboko. Mamba anaweza tu kuwa kiboko ya kiboko mjeledi, lakini hafui dafu kwa kiboko kiboko mnyama kwa sababu kiboko mnyama ndiye kiboko kweli na pia ni kiboko wa wanyama wengi wa majini akiwemo mamba ambaye hujidai kuwa kiboko wa kiboko ingawa kiboko anajua kuwa anaweza kuzunguka tuu kwa maneno lakini ukweli ni kwamba kiboko ndiye hasa kiboko wa viboko vyote.
Thiredi ufungwe.
Nasema uongo ndugu zangu??
 
Huwa najiuliza sana, Mamba anakula nyama na Kiboko anakula nyasi, lakini wanaishi sehemu moja. Kwa tabia ya Mamba anakula mnyama yoyote anayekatiza mbele yake. Sasa mbona hamtafuni Kiboko na yuko nae muda mwingi?
Mamba akitaka kuhamia nchi kavu milele ni HAJARIBU kugusa nyama ya KIBOKO
 
Mamba mikwara mingi halafu namfananisha na mchezaji anaye chagua pitch

Yani mchezaji aliyezoa kucheza vizuri akiwa pale kwa mkapa ndio huyo huyo anayeigharimu timu kwenye viwanja vya mikoani

Mamba nje ya maji anaweza kupiga hadi na kicheche
 
Back
Top Bottom