Kwanini mamba hamfanyii fujo Kiboko?

Kwanini mamba hamfanyii fujo Kiboko?

Sababu ni hii,Mamba anakula nyama lakini kiboko anakula nyasi kwahiyo hakuna kugombea chakula wanakaa pamoja lakini interest zao zipo tofauti,...kiboko ni mbabe kutokana na umbo lake kubwa na meno yake kwahiyo kuamsha kwa mamba ni easy tu, mamba anao uwezo wa kula kiboko lakini kiboko mzee au mtoto japo sio rahisi kumla mtoto wa kiboko maana mda wote anakua na wazazi wake.
 
WANYAMA WENGI MARA NYINGI HUTISHIANA KWA UKUBWA WA MENO YAO MARA KIBOKO AMWONAPO MAMBA ANAMFUATA FUATA HUFUNGUA MDOMO WAKE NA KUONYESHA UKUBWA WAJINO WANYAMA WENGI HUFAHAMU SANA YA KUWA MENO NDIO KIUMIO NA JINSI LINAVYOKUWA KUBWA NDIO HATARI ZAIDI
Hii ni scientific fact au mawazo yako?

Great white shark hukua mpaka kufikia futi 28 ana psi kubwa na umbo kubwa na ni apex predator ila hua anauawa na orca whale ambaye hata hali nyama ya great white. Kwake humuua great white for fun.
 
Sababu ni hii,Mamba anakula nyama lakini kiboko anakula nyasi kwahiyo hakuna kugombea chakula wanakaa pamoja lakini interest zao zipo tofauti,...kiboko ni mbabe kutokana na umbo lake kubwa na meno yake kwahiyo kuamsha kwa mamba ni easy tu, mamba anao uwezo wa kula kiboko lakini kiboko mzee au mtoto japo sio rahisi kumla mtoto wa kiboko maana mda wote anakua na wazazi wake.
Vipi kuhusu kiboko mzee yeye huwa hawi na wajukuu/watoto zake?
 
We ushaona lile domo la kiboko na ile mijino yake kama nondo? Ni mamba gani mwenye ujasiri wa kulisogelea lile domo KUBWAA lililojaa visu na mashoka?

Ni lidude kubwa lile sio la mchezo! Akifungua lile domo lake ana uwezo wa kummeza mamba mzima mzima na kumvunja vunja!

Mamba wana utambuzi wa asili kwamba Kiboko ni kiboko kweli kweli... THEIR FEAR AND RESPECT TO HIPPOS IS PRINTED IN THEIR DNA.

Hawathubutu hata siku moja kumsogelea kiboko! Hata kwa bahati mbaya!
 
Uzi uishie hapa. Jibu ni timing. Halafu stability na maneuverability ya kiboko majini ni kubwa kivita na kimashambulizi kuliko mamba, ndiyo sababu mamba hawezi kuwa kiboko ya kiboko. Japo mamba anadai kuwa kiboko ya almost viumbe wote wanaothubutu kuyasogelea maji, bado hawezi kuwa kiboko ya kiboko. Mamba anaweza tu kuwa kiboko ya kiboko mjeledi, lakini hafui dafu kwa kiboko kiboko mnyama kwa sababu kiboko mnyama ndiye kiboko kweli na pia ni kiboko wa wanyama wengi wa majini akiwemo mamba ambaye hujidai kuwa kiboko wa kiboko ingawa kiboko anajua kuwa anaweza kuzunguka tuu kwa maneno lakini ukweli ni kwamba kiboko ndiye hasa kiboko wa viboko vyote.
bac hakika Kiboko ndio kiboko wa viboko
 
Huwa najiuliza sana, Mamba anakula nyama na Kiboko anakula nyasi, lakini wanaishi sehemu moja. Kwa tabia ya Mamba anakula mnyama yoyote anayekatiza mbele yake. Sasa mbona hamtafuni Kiboko na yuko nae muda mwingi?
Kwa sababu mamba na ujanja wake wote ule...kwa kiboko yeye ni shoga tu sawa na mwanamme wa Dar akikutana na rijali la Mkoani
 
Back
Top Bottom