Sio sawa na kile CHAMA CHA MAUAJI?Kiboko na Mamba = ACT and Chama cha Demoghasia & Maombolezo


Yani kiboko ni kiboko aisee
Kwani kati ya mamba na kiboko nani kiboko?
Mkuu Orcas wanakula nyama vizuri kabisa...check your facts vizuri.Hii ni scientific fact au mawazo yako?
Great white shark hukua mpaka kufikia futi 28 ana psi kubwa na umbo kubwa na ni apex predator ila hua anauawa na orca whale ambaye hata hali nyama. Kwake humuua great white for fun.
Duh, huh uzi nimeupenda bure tuHii ni scientific fact au mawazo yako?
Great white shark hukua mpaka kufikia futi 28 ana psi kubwa na umbo kubwa na ni apex predator ila hua anauawa na orca whale ambaye hata hali nyama. Kwake humuua great white for fun.
Mkuu simba lazima amuogope tembo, balaa la tembo akipoteza mtoto si mchezo.mamba anakula watoto wa kiboko au mzoga wa kiboko. Kiboko ana nguvu kuliko mamba hivyo anajua kwamba akijaribu imekula kwake. Kuna wanyama wanaoheshimiana mfano Simba anamheshimu tembo, anaweza kumshambulia mtoto wa tembo aliyepotea lakini hawezi kumshambulia mtoto wa tembo na wazazi wa tembo wakiwepo.
Sikumalizia nilidhamiria kuandika 'hawali nyama ya great white'Mkuu Orcas wanakula nyama vizuri kabisa...check your facts vizuri.
Kwani kati ya mamba na kiboko nani kiboko?
Hii ni scientific fact au mawazo yako?
Great white shark hukua mpaka kufikia futi 28 ana psi kubwa na umbo kubwa na ni apex predator ila hua anauawa na orca whale ambaye hata hali nyama. Kwake humuua great white for fun.
Tembo hua anaonyesha meno gani mpaka hashambuliwi na simba?Ni scientific fact mkuu.
Tembo hua anaonyesha meno gani mpaka hashambuliwi na simba?
Kama mamba alivyo huwa hapigi kelele yeye ni kimyakimya ndivyo kiboko alivyo hapigi kelele yeye muda wote amenuna, hata ukimsalimu hajibu, mtu wa aina hiyo usimfanyie fujo achana naye.Huwa najiuliza sana, Mamba anakula nyama na Kiboko anakula nyasi, lakini wanaishi sehemu moja. Kwa tabia ya Mamba anakula mnyama yoyote anayekatiza mbele yake. Sasa mbona hamtafuni Kiboko na yuko nae muda mwingi?
So bado msimamo wako ni kwamba meno hutumiwa na wanyama kwa ajili ya vitisho?Tembo umbo lake tu ni kitisho tosha kwa vinyama vingine. Tembo ni babu lao.
So bado msimamo wako ni kwamba meno hutumiwa na wanyama kwa ajili ya vitisho?