Umenikumbusha uongo wa zamani kabla ya TV😂😂😂jini la kiboko ni refu kama mpini😂😂😂 tembo halali anajiegemeza kwenye mti mkubwaKwenye mto uliojaa mamba na viboko,ilitokea attempt ya mamba kumla mtoto wa kiboko akaishia kumjeruhi vibaya.Walichofanya viboko kulipiza kisasi maji ya mto yaligeuka damu.Mamba mmoja alipigwa jino la maana akawa vipande.Jino la kiboko ni refu kama mpini wa jembe
Ala! Hivi kumbe kuna mada zingine haifai kabisa kucomment, eti!??? Shame on your short-sightedness. Halafu, kwani mtu anatakiwa atume how many comments, kimfano, kwa kila uzi!??? Ule wimbo wa ^Huo ni Ushamba^ hakutungiwa mwingineyo, ila. Do you even pay for my air-time!???Nambie Google ,mjuaji wa kila comment ,unae fit kila mada . happy your own year 2021
Hapana hana umbo la chihuachihua yuko mastiff type.Ana mdomo mkubwa halafu umbo lake kama chihuahua?
mamba ukimuwekea nyama ya kiboko anaila safi kabisa mkuuHoja yako ni irrelevant mkuu,swali La mtoa hoja lina maana,simba kunawakati hula tembo lakini kwamwe huwezi kuta mamba akila kiboko kwanini?
Kiboko ni kibokoKwani kati ya mamba na kiboko nani kiboko?
Fuatilia Tz safari channel,au fanya utalii wa ndani,tour guide akupe maelezo kidogo kuhusu relation ya hao viumbe ,utakuja kunishkuru.lakini Kama unatafuta umaalufu na like ,si tunakupa shekhe .There is no limitation on comments but it seemed you know everything in this universe.Thus why l like to get you know ,your a winner.Ala! Hivi kumbe kuna mada zingine haifai kabisa kucomment, eti!??? Shame on your short-sightedness. Halafu, kwani mtu anatakiwa atume how many comments, kimfano, kwa kila uzi!??? Ule wimbo wa ^Huo ni Ushamba^ hakutungiwa mwingineyo, ila. Do you even pay for my air-time!???
Mamba anakula kiboko akiwa mtoto lakini ugomvi wao unakuwa ni mkubwa sana.ila kiboko nae akiwa na mtoto dimbwi aliloko mamba anatimuliwa kabisa tena maeneo hayo haruhisiwi kabisa ni sawa na kikao cha halmashauri kuu ya chama cha ccm eti aende hapo mtu wa cdm na uniform yakeHuwa najiuliza sana, Mamba anakula nyama na Kiboko anakula nyasi, lakini wanaishi sehemu moja. Kwa tabia ya Mamba anakula mnyama yoyote anayekatiza mbele yake. Sasa mbona hamtafuni Kiboko na yuko nae muda mwingi?
Sasa bro mastiff si anazipanga hata na mwanaume aliyeshibaHapana hana umbo la chihuachihua yuko mastiff type.
THUBUTUUU!!SIMBa wanamkimbia honeybadger just for fun simba aliyekuwa stressed anakafinya
Kabisa afu yana attitude ya kikorofi sana kama si ku obey oda likichanganyikiwa halishikiki sema tu yanakuaga matiifu sana kwa mfugaji wake.Sasa bro mastiff si anazipanga hata na mwanaume aliyeshiba
Kifaru?Kiboko ndio mnyama anayeongoza kwa kuua binadamu ingwa hali nyama ya binadamu
Kifaru
Kwani kati ya mamba na kiboko nani kiboko?
Acha kabisa.. Mamba ni Kiboko aisee..
Wengi wamechangia lakini jibu hasa wameshindwa kulitoa. Jibu ni kuwa mamba huua windo lake kwa kulizamisha majini na kufa kwa kukosa hewa. Pamoja na kuwa mamba ana meno makali na yanayojeruhi sana lakini kinachofanya aue windo lake kwa urahisi ni kwa sababu analizamisha kwenye maji na kufa kwa kukosa hewa. Na kiboko ni mkubwa na ana uwezo wa kukaa majini kwa muda mrefu bila kutoka kuvuta hewa. Hivyo kama mamba atajaribu kumshambulia mapigano yataendelea mpaka ndani ya maji na kwa ukubwa wa kiboko uwezekeno wa kushinda ni mkubwa.Mamba anakula kiboko akiwa mtoto lakini ugomvi wao unakuwa ni mkubwa sana.ila kiboko nae akiwa na mtoto dimbwi aliloko mamba anatimuliwa kabisa tena maeneo hayo haruhisiwi kabisa ni sawa na kikao cha halmashauri kuu ya chama cha ccm eti aende hapo mtu wa cdm na uniform yake