Acha kabisa.. Mamba ni Kiboko aisee..Kwani kati ya mamba na kiboko nani kiboko?
Hoja yako ni irrelevant mkuu,swali La mtoa hoja lina maana,simba kunawakati hula tembo lakini kwamwe huwezi kuta mamba akila kiboko kwanini?they are all giants. hata simba ni ngumu kumfanyia vurugu tembo ingawa tembo anakula nyasi
HahahahahaKwani kati ya mamba na kiboko nani kiboko?
Kwahiyo mamba ndio huyohuyo kiboko na kiboko ni kiboko?Kwasababu kiboko na mamba mamba ndo kiboko
Mamba hula kiboko. Ikitokea kiboko mtoto ameachwa na wakubwa zake kuna chansi kubwa ya kushambuliwa na mamba.Hoja yako ni irrelevant mkuu,swali La mtoa hoja lina maana,simba kunawakati hula tembo lakini kwamwe huwezi kuta mamba akila kiboko kwanini?
Bro, herufi "Z" inafanya kazi kwenye simu yako?Kiboko anauweo mkubwa wa kumuuwa mamba ila mamba hana uweo
Kiboko ni mbabe mamba akicheza ataondolewa majini!Huwa najiuliza sana, Mamba anakula nyama na Kiboko anakula nyasi, lakini wanaishi sehemu moja. Kwa tabia ya Mamba anakula mnyama yoyote anayekatiza mbele yake. Sasa mbona hamtafuni Kiboko na yuko nae muda mwingi?
mamba anakula watoto wa kiboko au mzoga wa kiboko. Kiboko ana nguvu kuliko mamba hivyo anajua kwamba akijaribu imekula kwake. Kuna wanyama wanaoheshimiana mfano Simba anamheshimu tembo, anaweza kumshambulia mtoto wa tembo aliyepotea lakini hawezi kumshambulia mtoto wa tembo na wazazi wa tembo wakiwepo.Hoja yako ni irrelevant mkuu,swali La mtoa hoja lina maana,simba kunawakati hula tembo lakini kwamwe huwezi kuta mamba akila kiboko kwanini?
Kwan kiboko na mamba nani kibokoKwahiyo mamba ndio huyohuyo kiboko na kiboko ni kiboko?
Mimi najua kiboko ndio kiboko ila mamba kwa kiboko sio kibokoKwan kiboko na mamba nani kiboko
Uzi uishie hapa. Jibu ni timing. Halafu stability na maneuverability ya kiboko majini ni kubwa kivita na kimashambulizi kuliko mamba, ndiyo sababu mamba hawezi kuwa kiboko ya kiboko. Japo mamba anadai kuwa kiboko ya almost viumbe wote wanaothubutu kuyasogelea maji, bado hawezi kuwa kiboko ya kiboko. Mamba anaweza tu kuwa kiboko ya kiboko mjeledi, lakini hafui dafu kwa kiboko kiboko mnyama kwa sababu kiboko mnyama ndiye kiboko kweli na pia ni kiboko wa wanyama wengi wa majini akiwemo mamba ambaye hujidai kuwa kiboko wa kiboko ingawa kiboko anajua kuwa anaweza kuzunguka tuu kwa maneno lakini ukweli ni kwamba kiboko ndiye hasa kiboko wa viboko vyote.Mamba hula kiboko. Ikitokea kiboko mtoto ameachwa na wakubwa zake kuna chansi kubwa ya kushambuliwa na mamba.
Pia kiboko mwenye majeraha, anayeelekea umauti au mzoga tayari naye huweza kuliwa na mamba.
Ingawa kiboko anakula nyasi ila ana psi kubwa, meno na mdomo unaotanuka enough kumjeruhi mamba.