macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,310
- 57,088
Mamba ujanja wake mkubwa wa kuua ni kwa kuzamisha ndani ya maji windo lake na kufa kwa kukosa hewa. Inapofika kwa kiboko anakwama kwani kiboko naye ana uwezo wa kuzama ndani ya maji kwa muda mrefu bila kufa. Hivyo mapigano yataendelea hata ndani ya maji na kwa ukubwa wa kiboko uwezekano wa kushinda ni mkubwa.Huwa najiuliza sana, Mamba anakula nyama na Kiboko anakula nyasi, lakini wanaishi sehemu moja. Kwa tabia ya Mamba anakula mnyama yoyote anayekatiza mbele yake. Sasa mbona hamtafuni Kiboko na yuko nae muda mwingi?

.
New Year 2021