Ndoa ndoana bora mm ambae sitaoaBabu na bibi zetu mpaka Leo wapo kwenye mahusiano .. Unakuta wtu wanatimiza miaka 60 ya kuish pamoja
Lakin kizaz Chetu ndoa zmekua zikivunjika kila kukichwa...nilishuhudia mke akipewa talaka siku moja baada ya harusi
Zama hzi ndoa ikifkisha miaka 10 ujue watu wamevumiliana sana...
Je, nini kinasababsha hili janga??
1) usaliti?
2) kutokua makini wakat wa kuchagua mwenza?
3) wanandoa kutojua wajibu wao?
4) utandawazi unachangia?
Tujadiliane huu Uzi wakuu
Sabuni inakuhusuNdoa ndoana bora mm ambae sitaoa
Unaweza kumpa mkeo kila KTU lakn akachepuka na houseboyNdoa bila Mapesa, sawa na Lipilau bila Kachumbali.
Upendo gunakosa nafasi yake.
Kama maziwa napata kwanini nifuge Ng'ombe mkuuSabuni inakuhusu
HahahahahahahKama maziwa napata kwanini nifuge Ng'ombe mkuu
Kama kawaida hatujaribiwiTatizo la siku hizi, mwanaume akitega, mwanamke naye anatega.... Mwanaume ukishafungulia, upande wa pili unamalizia
Wachache wanavumilia na kuthamini mahusiano... Tena wanayaumba ili mwanaume ajitambue... Baadhi wanakomoa hatari...Kama kawaida hatujaribiwi
, kubwa ni uvumilivu kitu ambacho hakipo siku hizi kwa wote tena wanaume na wanawake
Daaah......hii umetia chumvi aiseenilishuhudia mke akipewa talaka siku moja baada ya harusi