Kwanini Magufuli aliwaogopa sana Nape na January Makamba?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,836
Wote waliohusika kumsema Magufuli kwenye zile sauti zilizovuja, wote walipotezwa kisiasa kasoro Nape na Makamba.

Ngeleja japo hakuwa mshiriki mkubwa na kuwa wa kwanza kuomba msamaha lakini alipotezwa kwenye ubunge baada ya Magufuli kumfadhili mshindani wake.

Membe alifukuzwa, Kinana nae akawa suspended kwenye chama(hata hivyo baadae Magufuli alimrudisha licha ya Kinana kutoomba msamaha rasmi).

Lakini Nape na Makamba japo ndio walikuwa viongozi wakuu wa uasi ule, Magufuli aliwaacha wakapita kwenye kura za maoni ndani CCM na majina yao hakuyakata na wakarudi bungeni na sasa ni mawaziri wenye nguvu kwenye Serikali ya Samia.

Sasa nauliza kwa nini Magufuli alikuwa anaogopa kuwaadhibu hawa watu?

Leo hii wafuasi wa Magufuli wanateseka sana wakiona Nape na Makamba wanavyotesa na kuvimba huku wakiwatupia vijembe.
 
Mlishindwa mwelewa JPM, ni hili ndo kosa kubwa alilolifanya .

Kikawaida Adui, mtafune na ummalize jumla jumla.

Ila Kwakuwa JPM, mkristo wa watu, mahiri asiyekuwa na makuu.

Yeye baada ya kuwashughuli awali kama funzo, na akawaona kama Vijana wake ambao walihitaji tu kuelekezwa, aliamua kuwasamehe.

Na aliwasamehe Kwa Moyo mweupe kabisaaa , akiombwa na kubembelezwa na wazee !!.

Mzee wa watu akawasamehee, na wao wakamuaminisha hawana kinyongo.!!.


Leo tunaambiwa "Watu wazuri hawafi"....



 
Leo hii wafuasi wa Magufuli wanateseka sana wakiona Nape na Makamba wanavyotesa na kuvimba huku wakiwatupia vijembe
Makamba ndiye aliyeingilia mfumo wa tume ya uchaguzi na kupunguza kura za Lowasa ili za jiwe zitoshe.

Nape ndiye aliyepiga kampeni mpk akavunja mkono huko vijijini kabisa ili watu wampigie kura jiwe maana by then ccm ilikuwa imekanwa kabisa na watanzania.

In short ,these two guys are smarter by far than jiwe, hence jiwe was haunted by unspeakable fear for them.
 
Lakini Nape na Makamba japo ndio walikuwa viongozi wakuu wa uasi ule, Magufuli aliwaacha wakapita kwenye kura za maoni ndani CCM na majina yao hakuyakata na wakarudi bungeni na sasa ni mawaziri wenye nguvu kwenye serikali ya Samia
Hand goal gand Gola......Goli la mkono 2015
 
Wote waliohusika kumsema Magufuli kwenye zile sauti zilizovuja, wote walipotezwa kisiasa kasoro Nape na Makamba

Ngelejea japo hakuwa mshiriki mkubwa na kuwa wa kwanza kuomba msamaha lakini alipotezwa kwenye ubunge baada ya Magufuli kumfadhili mshindani wake

Membe alifukuzwa, Kinana nae akawa suspended kwenye chama(hata hivyo baadae Magufuli alimrudisha licha ya Kinana kutoomba msamaha rasmi),

Lakini Nape na Makamba japo ndio walikuwa viongozi wakuu wa uasi ule, Magufuli aliwaacha wakapita kwenye kura za maoni ndani CCM na majina yao hakuyakata na wakarudi bungeni na sasa ni mawaziri wenye nguvu kwenye serikali ya Samia

Sasa nauliza kwa nini Magufuli alikuwa anaogopa kuwaadhibu hawa watu?


Leo hii wafuasi wa Magufuli wanateseka sana wakiona Nape na Makamba wanavyotesa na kuvimba huku wakiwatupia vijembe
Kudukuana
 
Mlishindwa mwelewa JPM, ni hili ndo kosa kubwa alilolifanya .

Kikawaida Adui, mtafune na ummalize jumla jumla.

Ila Kwakua JPM , mkiristo wa watu ,mahili asiyekua na makuu.

Yeye baada ya kuwashughuli awali kama funzo, na akawaona kama Vijana wake ambao walihitaji tu kuelekezwa, aliamua kuwasamehe.

Na aliwasamehe Kwa Moyo mweupe kabisaaa , akiombwa na kubembelezwa na wazee !!.

Mzee wa watu akawasamehee, na wao wakamuaminisha hawana kinyongo.!!.


Leo tunaambiwa "Watu wazuri hawafi"....




Watajuana wenyewe bwana
 
Mlishindwa mwelewa JPM, ni hili ndo kosa kubwa alilolifanya .

Kikawaida Adui, mtafune na ummalize jumla jumla.

Ila Kwakua JPM , mkiristo wa watu ,mahili asiyekua na makuu.

Yeye baada ya kuwashughuli awali kama funzo, na akawaona kama Vijana wake ambao walihitaji tu kuelekezwa, aliamua kuwasamehe.

Na aliwasamehe Kwa Moyo mweupe kabisaaa , akiombwa na kubembelezwa na wazee !!.

Mzee wa watu akawasamehee, na wao wakamuaminisha hawana kinyongo.!!.


Leo tunaambiwa "Watu wazuri hawafi"....




Jesca Msambatavangu na Sofia Simba walifukuzwa chama kwa kumuunga mkono Lowassa, ambayo ilikuwa sio kosa kwa taratibu za chama
 
Wote waliohusika kumsema Magufuli kwenye zile sauti zilizovuja, wote walipotezwa kisiasa kasoro Nape na Makamba

Ngelejea japo hakuwa mshiriki mkubwa na kuwa wa kwanza kuomba msamaha lakini alipotezwa kwenye ubunge baada ya Magufuli kumfadhili mshindani wake

Membe alifukuzwa, Kinana nae akawa suspended kwenye chama(hata hivyo baadae Magufuli alimrudisha licha ya Kinana kutoomba msamaha rasmi),

Lakini Nape na Makamba japo ndio walikuwa viongozi wakuu wa uasi ule, Magufuli aliwaacha wakapita kwenye kura za maoni ndani CCM na majina yao hakuyakata na wakarudi bungeni na sasa ni mawaziri wenye nguvu kwenye serikali ya Samia

Sasa nauliza kwa nini Magufuli alikuwa anaogopa kuwaadhibu hawa watu?


Leo hii wafuasi wa Magufuli wanateseka sana wakiona Nape na Makamba wanavyotesa na kuvimba huku wakiwatupia vijembe
Acha kuwajaza bichwa waogopwe Kwa lipi
 
Mlishindwa mwelewa JPM, ni hili ndo kosa kubwa alilolifanya .

Kikawaida Adui, mtafune na ummalize jumla jumla.

Ila Kwakua JPM , mkiristo wa watu ,mahili asiyekua na makuu.

Yeye baada ya kuwashughuli awali kama funzo, na akawaona kama Vijana wake ambao walihitaji tu kuelekezwa, aliamua kuwasamehe.

Na aliwasamehe Kwa Moyo mweupe kabisaaa , akiombwa na kubembelezwa na wazee !!.

Mzee wa watu akawasamehee, na wao wakamuaminisha hawana kinyongo.!!.


Leo tunaambiwa "Watu wazuri hawafi"....




Mkristo safi anasemaje wazi kwamba anataka kuuvunja kabisa upinzani, na kuukataza usifanye mikutano ya hadhara inayokubaliwa kikatiba?

Magufuli alikuwa anatumia hizi nafasi kujisafisha kwamba yeye ni mtu Mkristo safi.

Lakini ukiangalia mengi aliyofanya, inaonekana kama hakuamini uwepo wa Mungu, aliamini yeye ndiye Mungu.

They were there to kiss the Pope's ring, and Magufuli was the Pope.

It's a power consolidation move.

Keep your friends close, and your enemies closer.
 
Mlishindwa mwelewa JPM, ni hili ndo kosa kubwa alilolifanya .

Kikawaida Adui, mtafune na ummalize jumla jumla.

Ila Kwakua JPM , mkiristo wa watu ,mahili asiyekua na makuu.

Yeye baada ya kuwashughuli awali kama funzo, na akawaona kama Vijana wake ambao walihitaji tu kuelekezwa, aliamua kuwasamehe.

Na aliwasamehe Kwa Moyo mweupe kabisaaa , akiombwa na kubembelezwa na wazee !!.

Mzee wa watu akawasamehee, na wao wakamuaminisha hawana kinyongo.!!.


Leo tunaambiwa "Watu wazuri hawafi"....




Nakubaliana na wewe! Nyoka mkate kichwa kabisa.
 
Ni memba wa ka sindiketi ka wapiganaji na wahuni wanaodhani uongozi wa nchi hii ni urithi kutoka kwa baba zao.

BTW, hakuwaogopa, aliwahurumia. Alishawatia nyavuni, angeamua kuwamaliza walikuwa hawana pa kukimbilia. Moyo wake wa huruma ulimponza, leo wanakenua kenua meno na kuongea upuuzi juu yake.
 
Wote waliohusika kumsema Magufuli kwenye zile sauti zilizovuja, wote walipotezwa kisiasa kasoro Nape na Makamba

Ngelejea japo hakuwa mshiriki mkubwa na kuwa wa kwanza kuomba msamaha lakini alipotezwa kwenye ubunge baada ya Magufuli kumfadhili mshindani wake

Membe alifukuzwa, Kinana nae akawa suspended kwenye chama(hata hivyo baadae Magufuli alimrudisha licha ya Kinana kutoomba msamaha rasmi),

Lakini Nape na Makamba japo ndio walikuwa viongozi wakuu wa uasi ule, Magufuli aliwaacha wakapita kwenye kura za maoni ndani CCM na majina yao hakuyakata na wakarudi bungeni na sasa ni mawaziri wenye nguvu kwenye serikali ya Samia

Sasa nauliza kwa nini Magufuli alikuwa anaogopa kuwaadhibu hawa watu?


Leo hii wafuasi wa Magufuli wanateseka sana wakiona Nape na Makamba wanavyotesa na kuvimba huku wakiwatupia vijembe
Dkt Magufuli alikuwa mzalendo sana, aliamini ktk vijana ndiyo maana akawaacha. Ila kwa sasa laana inawatesa sana Nape na January.
 
Sioni sababu kwanini unawasifu hao waliojipambanua kama walafi wa madaraka, wanaodhani wao na familia zao ndio wenye hati miliki ya kuwa viongozi serikalini hata wakikosea, Magufulu atleast aliwaonesha wao sio kitu.

Kitendo cha Makamba kumchora Magufuli kwa vikatuni twitter kisa alikosa "shavu" alilotarajia kwa sababu anaamini alimuwezesha Magufuli kuingia ikulu, ule ulikuwa ni ubinafsi uliopitiliza.

Na ndio maana kwa sababu ya ubinafsi huo, sasa amejaa kiburi akijiona yeye ndie mwenye nchi, asieguswa hata akiharibu, anavimba kichwa kwa sababu ya kuongozwa na mjinga kwenye serikali yake, asiyejua kupima performance ya watendaji wake sasa anajiona genious.

Kumbe kwa Magufuli aliyekuwa na standard zake, alimuona zero kule wizara ya Muungano aliyompa ndio maana akamtumbua, lakini yeye kwa ujinga wake akadhani ameonewa, hili ndio tatizo la mitoto inayodekezwa na wazazi.
 
Back
Top Bottom