Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 943
- 1,988
Hayati Magufuli asingeweza kufanya kazi na tapeli hata siku moja.
Hayati Magufuli asingeweza kufanya kazi na mbabaishaji hata siku Moja.
Hayati Magufuli alikuwa smart na straight forward. Alikuona wewe ni hovyo akakuweka kando. Sasa umebaki na taarabu tu.
Wewe pamoja na kinana mlikuwa na mpango mchafu dhidi ya jemedari. Jemedari akashtuka akawaweka kando.
Mlipata aibu pamoja na kwamba mliomba radhi. Watanzania tunajua mlimtukana kamanda wetu nasi tuliwadharau Sana.
Endeleeni kumpiga maneno ya kejeli mkidhani mnajisafisha kwa wananchi. Mlichosahau ni kwamba nanyi pia ni marehemu watarajiwa. Ni suala la muda tu.
Hayati JPM aliwashinda akiwa hai na atawashinda akiwa kaburini
Pia soma
Hayati Magufuli asingeweza kufanya kazi na mbabaishaji hata siku Moja.
Hayati Magufuli alikuwa smart na straight forward. Alikuona wewe ni hovyo akakuweka kando. Sasa umebaki na taarabu tu.
Wewe pamoja na kinana mlikuwa na mpango mchafu dhidi ya jemedari. Jemedari akashtuka akawaweka kando.
Mlipata aibu pamoja na kwamba mliomba radhi. Watanzania tunajua mlimtukana kamanda wetu nasi tuliwadharau Sana.
Endeleeni kumpiga maneno ya kejeli mkidhani mnajisafisha kwa wananchi. Mlichosahau ni kwamba nanyi pia ni marehemu watarajiwa. Ni suala la muda tu.
Hayati JPM aliwashinda akiwa hai na atawashinda akiwa kaburini
Pia soma