Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

Impossible... Haiwezekeni Hana maamuzi magumu kama sio mmoja wa walio wachafu
 
japo simuungi mkono lowasa kuwa raisi mwaka 2015,, lakin niliwahi kumsikia akikemea rushwa alipohojiwa na DW Radio,,

una kila sababu ya kutomuunga mkono rushwa ipo Tz yeye akaikemee kwa kuzungukia ujerumani. Anajua yuko kwenye nyumba ya vioo na huko uwezekano wa mawe ya kurushwa kwa mkono kumfikia ni kidogo.
 
wekeni basi hiyo speech.nataka ni burn copy nyingi sana ili nipate hela ya piracy.
 
Wewe lete HOTUBA yake Lowassa aliyokuomba kama unayo. Kama huna kaa kimya.

Hii ya shule za kata, ifungulie thread yake. BTW, naona hapa matokeo ya Secondary, form 4 mwaka 2013 ni mazuri mno.

matokeo.png


Well answered mkuu muelewa ameelewa. Ujasiri mwingine wa Lowassa ni kuwatimua Net group ya SA, kulsambaza maji ya ziwa victoria na ujenzi wa shule za kata kwa kutaja chache. Fuatilia kuanzia Lowassa alipojiuzulu kwa kuundiwa njama za richmond serikali ya JK iliparalais hadi sasa inaishia na kashfa kubwakubwa.
 
Lowassa alipinga matokeo ya kushindwa kwa Kikwete....tafuta magazeti ya siku moja baada ya Kizota nomination....ni waziri yupi aliyekaa chini ukumbini akilia kwa uchungu kupinga kushindwa kwa Kikwete.... Hiyo ilitosha kwa Serikali mpya kumuweka pembeni.

Rejea speech ya Mheshimiwa Mwinyi baada tu ya Mkapa kupitishwa na Mkutano Mkuu...alimshukuru Mwalimu, alimpongeza Mkapa na kumuomba ktk awamu yake asiwaache Jakaya na Edward, akikiri ni vijana hodari, wachapakazi na waaminifu ambao watamsaidia ktk kuendesha nchi.

Ninaamini unakumbuka siku alipowaamuru wana Dar kujitwalia mabati yaloizunguka Mnazi mmoja...kwa mdomo wake na ukali alisema watu wa jiji wamekula rushwa na kuuza eneo la wazi....akasema yeye anaruhusu uzio uvunjwe na anayeona kaonewa atangulie mahakamani.

Haya yatakutosha kama una umri wa miaka 30 tu tangu umezaliwa

Ktk kuongoza nchi haya ndiyo mwisho wako?? Duuuu
 
Nachelea kusema watu tunatumiwa vibaya, hv rushwa imetamalaki kila kona, hv kukemea rushwa bla vitendo kunasaidia? wangapi wamekemea ufisadi cjui malecela ane n.k lakima vitendo hamna. anakemea rushwa anakula rushwa. hvyo basi mleta mada huna nia ya dhati kwa hili bali sema una kambi fulani tu na hapa unamtumikia bosi ako......
 
Sikonge,
ufaulu umeongezeka, je vipi ufahamu wa wanafunzi wetu, je nao umeongezeka?
Nakwambia ni kituko, mtoto ana division two na hajui kwamba c
China haiko Asia, anajua ulaya tuuuuuu.
Wewe lete HOTUBA yake Lowassa aliyokuomba kama unayo. Kama huna kaa kimya.

Hii ya shule za kata, ifungulie thread yake. BTW, naona hapa matokeo ya Secondary, form 4 mwaka 2013 ni mazuri mno.

matokeo.png
 
Last edited by a moderator:
Nachelea kusema watu tunatumiwa vibaya, hv rushwa imetamalaki kila kona, hv kukemea rushwa bla vitendo kunasaidia? wangapi wamekemea ufisadi cjui malecela ane n.k lakima vitendo hamna. anakemea rushwa anakula rushwa. hvyo basi mleta mada huna nia ya dhati kwa hili bali sema una kambi fulani tu na hapa unamtumikia bosi ako......



Kwa nn mnakimbilia kuwa lowassa anachafuliwa, mkemea rushwa kwa vitendo lazima ataongea hilo sehemu flani. Sasa tuambieni wapi amekemea Rushwa na ufisadi ???
Simply tafuteni leteni.
 
Ajiseme mwenyewe! Ajifunze kutoka hotuba za Kinana.....ungomvi wetu na wananchi ni maadiri ya viongozi'...tutalilekebisha.....'

CCM wajilekebishe? kama si uongo ni nini? wapeni nchi mwone 2015 kama kuna kitakacho rekebika.
 
Kwa nn mnakimbilia kuwa lowassa anachafuliwa, mkemea rushwa kwa vitendo lazima ataongea hilo sehemu flani. Sasa tuambieni wapi amekemea Rushwa na ufisadi ???
Simply tafuteni leteni.
Lowassa hajawahi kuwa msafi, halafu mbaya zaidi anajilinganisha na EDWARD MORINGE SOKOINE
 
Kafanye shughuli za ujenzi wa taifa. Hizo speech HAZIPO. Atajikemeaje, ebu acha masihara!
 
kama miguu haijakuingia tumboni sijui ! Maana unachokitafuta hakipo nchi hii , utahangaika halafu bila mafanikio .
 
Back
Top Bottom