Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

Lowasa anapinga ufisadi kwa vitendo sio maneno matupu kama Chadomo
 
Yani hapo ni sawa na chenge litokee dili kama Epa,Escrow au Richmond aliache.....Lowasa hawezi fanya hivyo wakati yeye mwenyewe anatuhumiwa ni fisadi.....
 
katika wote waliotangaza nia Kuwania urais hakuna mwenye afadhali,LOWASSAau richmond ameshirikiana jamaa yake waliekutana barabarani kutuibia.MEMBE ndie ovyo kabisa ufisadi, unafiki kila kitu kulikoMEMBE bora hata kibajaj.NYALANDU yeye anafaa kua second lady wamarekani kwa namna wamarekani wanavyompenda sio urais wa Tanzania. PINDA na takataka zingine wala hawafai hata kujadiliwa,angalau aliebaki mwenye nafuu ingawa hajatangaza nia ni Prof.MWANDOSYA tu.
 
Nchiii hii mafisadi wana mapesa mengi,wakitaka kuweka fisadi mwenzao wTaweka tu hakuna wa kuwazuia isipokua mimi mana kura yangu ni ghari no one to buy!!!
 
Hata JK sijawahi msikia akikemea rushwa na ufisadi kstika hotuba zake.
 
Wewe umefocus mbali sana,Huyo mwandosya ndy angalau,mwngne magufuri.kwa ccm sioni watu wengne mana naamin wengi wao ni wapga dili tu
 
Natafuta speach ya Lowassa akikemea ufisadi, na matumizi mabaya ya mali ya umma.
Natanguliza shukrani zangu za dhati. Bujibuji

Kwa akili yako wewe unaona kupambana na ufisadi ni kuongea sio. Kweli wewe mbulula. Nenda Rwanda ufikiri utasikia hayo mambo bungen. Vita ya rushwa nivitendo zaid sio maneno kisha kimya inatusaidia nini sasa. Wewe ungekuwa muungwana ungesema cjawahi kuisikia CCM ikijal maslahi ya wananchi wa nchi hii ungeeleweka. Hv unafikir kuna ufisadi wa kutisha unaoweza kuuzungumzia ndan ya nchi hii kama hiki kitendo cha CCM kuchakachua rasimu ya Warioba kweli. Naona kila anaekuja hapa oo lowassa cjui Lowassa hv kwa akili yako maisha yote ya nchi hii ni magum coz ya Lowassa? Achen ungese bana kwenye mambo ya msingi usilete ushabiki. mimi ndan ya CCM namkubali zaidi Magufuli anafuatiwa na Lowassa halafu Mwakyembe japo kwa kiasi kikubwa nimeumizwa na kukaa kwao kimya pale Sitta na Chenge walivyoamua kuiuza nchi. tubadilike jaman nch ndio inaangamia usidanganyike na watu wanakwambia eti mimi sio fisadi. Nani alikuwa hamjui Kikwete. Kaingia ikulu mweupe yeye na familia yake sasa hiv ni bilionea na mwanae ndio usiseme.
 
Last edited by a moderator:
Kila nikiamka asubuhi naskia lowassa,nikienda Lala lowassa,duhh naiyona njia nyeupe kwa lowassa kuingia ikulu,na nilishasema kadri mnavyomtaja lowassa kwa ubaya au uzuri ndio mnazidi kumpaisha
Kinachokufurahisha nini kama si ulimbukeni endapo si kaka, shemeji, mdogo , binamu, hawara, mke mdogo, wifi, bibi, baba, wa huyo unayemfurahia.
 
Kwa akili yako wewe unaona kupambana na ufisadi ni kuongea sio. Kweli wewe mbulula. Nenda Rwanda ufikiri utasikia hayo mambo bungen. Vita ya rushwa nivitendo zaid sio maneno kisha kimya inatusaidia nini sasa. Wewe ungekuwa muungwana ungesema cjawahi kuisikia CCM ikijal maslahi ya wananchi wa nchi hii ungeeleweka. Hv unafikir kuna ufisadi wa kutisha unaoweza kuuzungumzia ndan ya nchi hii kama hiki kitendo cha CCM kuchakachua rasimu ya Warioba kweli. Naona kila anaekuja hapa oo lowassa cjui Lowassa hv kwa akili yako maisha yote ya nchi hii ni magum coz ya Lowassa? Achen ungese bana kwenye mambo ya msingi usilete ushabiki. mimi ndan ya CCM namkubali zaidi Magufuli anafuatiwa na Lowassa halafu Mwakyembe japo kwa kiasi kikubwa nimeumizwa na kukaa kwao kimya pale Sitta na Chenge walivyoamua kuiuza nchi. tubadilike jaman nch ndio inaangamia usidanganyike na watu wanakwambia eti mimi sio fisadi. Nani alikuwa hamjui Kikwete. Kaingia ikulu mweupe yeye na familia yake sasa hiv ni bilionea na mwanae ndio usiseme.
Rafiki yangu sikujui unatetea nini na unapinga nini? Nadhani hujui Lowassa ni nani katika siasa za Kibongo, nikuulize ile kampuni gani inatengeneza kadi za simu za kampuni letu la mafisadi? Ukitaka kumaliza kazi si unakata kichwa? Lowassa = Ufisadi. Unachekesha tena kusema jamaa aliingia mweupe, kwa ni sasa mweusi? Hujui wanasiasa, jiulize kwa nini Zengwe la ESCROW linamshinda? Na kama bunge, unajua kiingereza ni Parliament na kundi la bundi linaitwa parliament kwa hiyo hilo la kwenu limejaa bundi wengi kazi yao kulia na kushangilia.
 
Back
Top Bottom