OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Pole kwa kuwa bado hujajitambua! Hoja ipi iliyokua sio ya kistaarabu,au na wewe ndio wale wale ambao hawana tofauti na Sindano inayowekwa Uzi kwa nyuma halafu inashona kwa mbele?
Huwa nashangaa na kujiuliza hivi watu km nyie mnalipwa bei gani kushinda humu kwenye mitandao kutetea Upuuzi?
Maana km ni ajira kweli imepata waajiriwa!
mkuu tatzo lang liko wap?nilicho jaribu kukuelez tu nikwamba ukileta uzi wa kistaarabu utajibiwa kistaarau,sasa tatzo ww umetumika kuleta uzi usiyo wa kistaarab kwasab umejikita zaid kweny kumshambulia mtu,majibu uliyopata kwa kiloriti ni hzki yako,ukishaona jina la lowassa humu jamvin makalio yko hayatulii kabs muda wote nikuwasha,ndio hilo tu mkuu siwez kukutukana nimekushauri kama usibadilika bs tutakupa mme humu jamvin