Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Kinara wa ufisadi Lowassa azungumzie ufisadi? Thubutu!! Uliisha ona nyoka anang'ata mkia wake mwenyewe?
Nakanusha, Lowasa si fisadi.
Kinara wa ufisadi Lowassa azungumzie ufisadi? Thubutu!! Uliisha ona nyoka anang'ata mkia wake mwenyewe?
i am not going to reply with the same offensive words like you did, because i am not a person of that kind. kumchana mtu sio kwamba nasapoti au sisapoti anachoongea. unachotakiwa kufanya ni kuleta hoja safi na kuijenga ili kuwaconvince watu wakubaliane na unachoongea. ukiwa unaongea kwa matusi na ukiwa na mahasira ya ajabu kama hayo uliyoandika hapa, haufaidiki kitu na mtu anaweza kudharau kile unachoongea hata kama ulikuwa unaongea cha maana. however, what you speak or write is what defines you! have a nice day ndugu.
Ila unamshambulia bure huyo bhana alichoandika hata mimi nimekielewa..sijapenda lugha aliyoandika kukujibu siyo ya kiungwana..humu ndani kuna washabiki wa viongozi mbalimbali na wengine blindly wanawapenda ama kuwachukia viongozi fulani katika nchi yetu. Lakini ukweli uko pale pale kwamba LOWASA hajawahi hata siku moja katika kufuatilia kwangu mijadala na maoni yake hata ukosoaji wake kwa Chama Tawala au utawala kwa ujumla kuzungumzia RUSHWA ama UFISADI kama ni tatizo katika Tanzania..maamuzi magumu kwake hayazungumzii RUSHWA ama UFISADI asilani..We need to connect dots on this why!! Hata wewe jiulize swali hili japo he is excellent in speech!! Japo si lazima kuzungumzia RUSHWA lakini serikali inakwama mara zote katika mipango yake kwa sababu ya upotevu wa fedha kwa njia hizi za KIFISADI na RUSHWA. Vijana wanashindwa kusaidilika kwa sababu ya RUSHWA (ya upendeleo) pamoja na UFISADI. Maskini wanaongezeka kwa sababu hiyo hiyo..ni lazima tumshauri abadilike na aikemee rushwa kama Mh. Rais anavyoichukia japo imemuelemea
Ero Mong'oo! Yaani Matusi yote haya ni ktk kumtetea tu Fisadi? Eti ndio Rais ajae! Labda rais wa TFF.Umelishwa yamini na Lowassa na huku ukiendelea kunufaika na pesa alizoiba halafu leo unataka tukuunge mkono ktk kumtetea Fisadi!
Huna hata haya kuniambia niweke ushahidi wa ufisadi alioufanya!?
Kwani hujui kuwa nini kilimfukuzisha Uwaziri mkuu? Km hujui basi nina mashaka na Uwezo wako wa kichwa kutunza kumbukumbu.
Mimi ninajua tu lazima una Mimba yake ndio maana huishi kumsifia! AISIFIAE MVUA, UJUE LAZIMA ILIMNYEA!!
Mimi sina mtu ninae mtetea hapa zaidi ya nchi yangu Tanzania kwa ajili ya watoto na wajukuu wangu baadae.
Wewe umeishia kumtetea Mwanaume mwenzio,je hakuna sababu hapo?
Na wako utahamia kwenye ma------!!!
Kuna mwana CCM yoyote anaweza kuzungumzia rushwa au ufisadi?. Huwezi kukaa tawi ulilokalia!. CCM ni rushwa na ufisadi, na ufisadi na rushwa ndio CCM yenyewe!. EL hana sababu yoyote ya kuzungumzia rushwa na ufisadi!.
Kiukweli sisi Watanzania tumeishaizoea rushwa na ufisadi mpaka sio tatizo tena kwetu na 2015 tutaichagua tena CCM kwa kishindo pamoja marushwa yake yote!.
Pasco
Jembe la kuzolea mavi, jembe la kukwapua raslimali za Taifa. Ndio maana Nyerere alisema halifai kwa urais.
Mkuu Mzito K, ntake radhi!.Mkuu Pasco mimi naamini wapo wana CCM wasafi. Wana CCM wasiokula rushwa wapo. Tatizo lililopo ni kuwa wanajipambanua wao kama wao badala ya sifa hiyo njema kubebwa na Chama.
Rushwa ndani ya CCM imekuwa ni kama pumzi ya uhai ya chama. İn absence of rushwa CCM haiexist.
Lakini wana CCM 'wasafi' wapo. Hata wewe ni mmojawapo wa wana CCM wasafi. Vibahasha sio rushwa so hujachafuka mkuu Pasco
mbna hapo hujatukanwa,hapo nimekusifia tu!!ukitukanwa utasemaje?hayo uliyokuw unayaandka hapo huyaoni!!hpo nilikuw najaribu kukueleza ukweli,ulivyoleta uzi huu wala lengo lako ilikuw ciyo kuleta hoja ijadiliwe.lengo ni umetumika kuleta upuuzi wa kumchafua lowassa humu jamvin,kwahyo ulichokipata ninsaiz yako kabs!!usifikir ww tu ndo mwenye uwezo wa kuandka matusi,tuna uwezo wa kukutusi mpak sehem ya kiungo ambacho kiko kwa mzaz aliyekuzaa,na tuka kuambia kikoje,
ni tumekustahi tu!!wakat mwingen unapo tumwa manake naamini kabs umetumwa kuleta upuuzi humu jamvin jaribu kuchanganya na zako,usiwe unakurupuka tu matokeo yake ndo unakutan na haya uliyokutana nayo leo,na ukiuza utumbo usiogope inzi
mnataka mjibiwe kistaarabu,bs muwe mnaleta hoja ambazo nizakistaarabu,ukileta utumbo unajibiwa kiutumbo zaid
Sikiliza wewe Ng'ombe wa Kienyeji! Matusi huwa siogopi wala kupigwa ban siwazii!
Tunajuwa kuwa siku zote Unachimbwa kwa nyuma. Umekuwa kama Sindano inayowekwa "Uzi"kwa nyuma halafu inashona kwa mbele!!
Situmiki na mtu yeyote km wewe na ndio maana umeona kuwa hoja zangu siku zote hazijikiti ktk kumsifia mtu awaye yote. Kwa kifupi tu labda uwaombe uongozi wa JF wakupe mada zote ambazo niliwahi kupost humu km kuna hata moja ambayo niliwahi msifia mtu.
Wewe unajulikana kuwa kazi yako kubwa ni kumsifia Mwanaume mwenzio siku zote! Lowassa mwenyewe unaejaribu kumtetea ni sawa na unafanya kazi bure kwani uchafu uliomgandia haubanduki hata kwa Msasa wa Chuma.
Nilipost hoja na hata km nilimtaja Lowassa kwani kuna shida gani hadi wewe ufikie mahali badala ya kujibu kwa hoja unaniambia eti hata Mke wangu akilala anamuota Lowassa!
Km unadhani wewe mke wa Lowassa unamuota kila mara ni kila mtu anamuota? Lazima wewe umuote kwa kuwa tayari kuna unalofaidika nalo kutoka kwake.
Wenzako huwa hatuwatetei wanaume wenzetu,na ukiona mtu mwenye tabia km zako basi tambua kuwa huyo anatumika km Condom!
Huna mamlaka wewe ya kukataza watu kumjadili Lowassa. Wewe ni nani hata uwe kimbelembele kiasi hiki kumtetea Mwanaume mwenzio? Je wewe kweli ni Riziki?
Wacha ujinga km unataka kumtetea Mumeo basi mtetee kwa hoja.halafu kuwatusi Wazazi huo sio ujanja ni Usengelenyuma. Wewe mwenyewe umezaliwa na hao hao unaowatusi nashangaa!!
SAFI SANA , HIYO ULIYOMPA HUYO KIROLIT INAITWA LUGHA YA KUFUNDISHIA ! CC - yOUNG TANZANIAN